Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Beleive thatShukran sana, bless you
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Beleive thatShukran sana, bless you
We umekula mbususu miaka mitatu free unaumia nini sasa. Tafuta mwingine kula mbususu maidha yasogeeMimi ni ME late 20s, nimekuwa kwa mahusiano na binti wa kaskazini kwa miaka 3 kasoro.
To cut long story short,
Nampenda sana na nilihope angekuwa wangu wa maisha, niliwekeza my time/everything nilichokuwa nacho kwa huyu binti, nikiamini amenielew kwa hali na mali. Nikiwa na tumaini tutafika wote kw kilele cha mafanikio.
SHIDA iko hapa, nimezaliwa kwenye umaskini (si kigezo) na mpaka sasa sijatusua kimaisha kipato kidgo.
Now, wazazi wa binti HAWANITAKI.
Wamezuia mahusiano kati yangu na binti kw kigezo sina mbele wa nyuma, sina pesa, wanaona nitaharibu maisha ya binti.
Mpenz wangu huyu, umeungana na familia, akidai haoni future na mim tena, ilihali amekuw na mm kipind chote na haikuwah kuwa ishu before.
Nimepigwa pigo la Kimaisha na Kimapenzi pia
*Nimezongwa na maumivu, fedheha. Muda huu siwez kufikiria straight
Tafadhal naombeni ushauri/maoni/suggestions.
Asanteni
Wanaita "assertive anger", nitaitumia vzur.Piga moyo konde endelea na mitikasi Yako.
Hukuzaliwa nae Bhana acha kujipa stress Mzee.
Hamishia hasira, masikitiko Yako kwenye kusaka noti na mipango Yako.
Akunyimae kunde amekupunguzia MASHUZI tu.
Kinachoniuma san si fedheha ya pesa, ila ni mpenz kutonipambania, kupoteza imani juu yngu.
Ni vema kaonesha rangi mapema, asante man
Wote wawil tulikuwa makin san, tulitak tuwe stable kwnza at least kw upande wangu.miaka mitatu bila mimba uliwekezaji dogo..
Asante kw kujal man, I can take that.M
Mwekee vituo asome kwa umakin mkuu...hapa ni kama umempa skonzi bila chai+ stress za kuachwa ni ka unamtesa tu
stable wewe au yeye ...halali wamekufurushaWote wawil tulikuwa makin san, tulitak tuwe stable kwnza at least kw upande wangu.
Tafuta binti kutoka familia ya level ya kawaidaKumpenda bint na mteremko kuna uhusiano gan, sijasema nilienda kuomba familia ya binti pesa.
Mm mtazamo kwa binti yangu ni , huyo kijana awe naNgoja kwanza, jukumu la kwanza la baba kwa binti yake mkubwa ni kumuozesha kwa kijana anayeamini kuwa ataweza kumtunza binti yake huyo.
Sasa turudi kwako kiongozi, je wewe utakubali binti yako kuolewa na mtu ambaye unaamini kabosa hatoweza kumtunza na kufanya naye maisha bora?.
Usisikitike, ni swala la vipaumbele na machaguo kiongozi.
Si mim niliyesema sina mbele wala nyuma, waliofanikiwa kimaish tanzania kw umri wangu hawafiki 30%.Tufanye wewe ndio wazazi wa huyo binti, ungekubali kweli kumuozesha binti yako kwa hohehae kama ulivyo sasa unasema huna mbele wala nyuma, binti alikupa chance, akakuvumilia umeshindwa kupambana...achana nae pambana utapata mzuri zaidi yake. Kumbuka alikupa nafasi pia akijua hali yako, chuki weka pembeni kaza nyoro
AmeenMimi kama mzazi ningekubali kwasababu nitakua nimesha muendeleza binti yangu Kielimu na kiuchumi na anajitengemea. Binti akijipata ata mpenzi wake akiwa haja jipata binti hata teseka kwasababu atakua na kipato chake yani ana jimudu.
Safi sana!!Umri mdogo kuendekeza mapendi, jitafute kwanza, tafuta ela hao wanawake hawajawahi kuisha duniani na utawaacha!! Pambana toka maghetoni gadamiti weweee, acha utegemezi toka, kuzaliwa maskini sio kosa, ila kufa maskini ni kosa kenge wewe....!!
Mwaka unapinduka unawaza wanawake tu na mapenzi, bora hiyo familia wamekukata ndio uongeze mapambano gadamiti!! Hakuna atakayekuheshimu ukiwa maskini tena kijana mdogo kabisa hata 30 hujafika umeanza kulialia, una utoto mwingi sana, ushakuwa mtu mzima acha wenge
AmeenM
Ma binti muwe na jicho la tatu!! wengi wenu huwa mnatuhukumu kwa muonekano wa wakati ulipo.
Kwahiyo unaona ni sawa aendelee kupigika na maisha kwa kukosa kwako?tafuta hela broSi mim niliyesema sina mbele wala nyuma, waliofanikiwa kimaish tanzania kw umri wangu hawafiki 30%.
Kufanikiw na mapambano yanayoenda na bahati.
Kupata na kukosa ni maisha, kam mzee wako ana mkwanja nakubaliana na wewe.
Umekua kwenye dunia hyo
Ntapamban kam Real Madrid, mkwanja unavuta mpk ndgu usiowajua. Asante ten 😀Mkuu Mungu akitujalia 2025 pambana ya ela yote, mafanikio yako ndio rafiki yako wa kweli, yani kwenye haya maisha inabidi uwe unapambana kama Real madrid wakiwa knockout stage UEFA
AmeenBeleive that
Nakuliana na wewe, na huu unaweza kuwa mtazamo wangu kwenye swali kam hili.Mm mtazamo kwa binti yangu ni , huyo kijana awe na
1> kijana awe na akili timamu
2> kijana awe na muonekano ili niwe na wajukuu wazuri
3> kijana asiwe shoga wa mlevi na vingine vya kufanana na hivyo.
Pesa watatafu wote.
Nampana, ila ishukuwa.Kwahiyo unaona ni sawa aendelee kupigika na maisha kwa kukosa kwako?tafuta hela bro
Mimba itaturudisha wote nyuma, ni mzigo, na pia itathibitisha point yao. ShukranPiga mimba tuuu