Kwa sababu ya umasikini wangu wazazi wa binti wamenikataa

Kwa sababu ya umasikini wangu wazazi wa binti wamenikataa

Mimi ni ME late 20s, nimekuwa kwa mahusiano na binti wa kaskazini kwa miaka 3 kasoro.

To cut long story short,

Nampenda sana na nilihope angekuwa wangu wa maisha, niliwekeza my time/everything nilichokuwa nacho kwa huyu binti, nikiamini amenielew kwa hali na mali. Nikiwa na tumaini tutafika wote kw kilele cha mafanikio.

SHIDA iko hapa, nimezaliwa kwenye umaskini (si kigezo) na mpaka sasa sijatusua kimaisha kipato kidgo.
Now, wazazi wa binti HAWANITAKI.

Wamezuia mahusiano kati yangu na binti kw kigezo sina mbele wa nyuma, sina pesa, wanaona nitaharibu maisha ya binti.

Mpenz wangu huyu, umeungana na familia, akidai haoni future na mim tena, ilihali amekuw na mm kipind chote na haikuwah kuwa ishu before.

Nimepigwa pigo la Kimaisha na Kimapenzi pia

*Nimezongwa na maumivu, fedheha. Muda huu siwez kufikiria straight

Tafadhal naombeni ushauri/maoni/suggestions.

Asanteni
We umekula mbususu miaka mitatu free unaumia nini sasa. Tafuta mwingine kula mbususu maidha yasogee
 
Piga moyo konde endelea na mitikasi Yako.

Hukuzaliwa nae Bhana acha kujipa stress Mzee.

Hamishia hasira, masikitiko Yako kwenye kusaka noti na mipango Yako.

Akunyimae kunde amekupunguzia MASHUZI tu.
Wanaita "assertive anger", nitaitumia vzur.
Kikubwa nilinyimwa kunde, asante man
 
Kaka mimi nilishakataliwa na wanawake watatu age yako wote ni below 23 wanasema wanataka wajitafute kwanza ety wakishajenga nyumba wakawa na magari na wako fika 25 and above ndio wataolewa
Kinachoniuma san si fedheha ya pesa, ila ni mpenz kutonipambania, kupoteza imani juu yngu.
Ni vema kaonesha rangi mapema, asante man
 
Ngoja kwanza, jukumu la kwanza la baba kwa binti yake mkubwa ni kumuozesha kwa kijana anayeamini kuwa ataweza kumtunza binti yake huyo.

Sasa turudi kwako kiongozi, je wewe utakubali binti yako kuolewa na mtu ambaye unaamini kabosa hatoweza kumtunza na kufanya naye maisha bora?.

Usisikitike, ni swala la vipaumbele na machaguo kiongozi.
Mm mtazamo kwa binti yangu ni , huyo kijana awe na
1> kijana awe na akili timamu
2> kijana awe na muonekano ili niwe na wajukuu wazuri
3> kijana asiwe shoga wa mlevi na vingine vya kufanana na hivyo.
Pesa watatafu wote.
 
Tufanye wewe ndio wazazi wa huyo binti, ungekubali kweli kumuozesha binti yako kwa hohehae kama ulivyo sasa unasema huna mbele wala nyuma, binti alikupa chance, akakuvumilia umeshindwa kupambana...achana nae pambana utapata mzuri zaidi yake. Kumbuka alikupa nafasi pia akijua hali yako, chuki weka pembeni kaza nyoro
Si mim niliyesema sina mbele wala nyuma, waliofanikiwa kimaish tanzania kw umri wangu hawafiki 30%.
Kufanikiw na mapambano yanayoenda na bahati.

Kupata na kukosa ni maisha, kam mzee wako ana mkwanja nakubaliana na wewe.
Umekua kwenye dunia hyo
 
Mimi kama mzazi ningekubali kwasababu nitakua nimesha muendeleza binti yangu Kielimu na kiuchumi na anajitengemea. Binti akijipata ata mpenzi wake akiwa haja jipata binti hata teseka kwasababu atakua na kipato chake yani ana jimudu.
Ameen
 
Umri mdogo kuendekeza mapendi, jitafute kwanza, tafuta ela hao wanawake hawajawahi kuisha duniani na utawaacha!! Pambana toka maghetoni gadamiti weweee, acha utegemezi toka, kuzaliwa maskini sio kosa, ila kufa maskini ni kosa kenge wewe....!!
Mwaka unapinduka unawaza wanawake tu na mapenzi, bora hiyo familia wamekukata ndio uongeze mapambano gadamiti!! Hakuna atakayekuheshimu ukiwa maskini tena kijana mdogo kabisa hata 30 hujafika umeanza kulialia, una utoto mwingi sana, ushakuwa mtu mzima acha wenge
Safi sana!!
 
Si mim niliyesema sina mbele wala nyuma, waliofanikiwa kimaish tanzania kw umri wangu hawafiki 30%.
Kufanikiw na mapambano yanayoenda na bahati.

Kupata na kukosa ni maisha, kam mzee wako ana mkwanja nakubaliana na wewe.
Umekua kwenye dunia hyo
Kwahiyo unaona ni sawa aendelee kupigika na maisha kwa kukosa kwako?tafuta hela bro
 
Mkuu Mungu akitujalia 2025 pambana ya ela yote, mafanikio yako ndio rafiki yako wa kweli, yani kwenye haya maisha inabidi uwe unapambana kama Real madrid wakiwa knockout stage UEFA
Ntapamban kam Real Madrid, mkwanja unavuta mpk ndgu usiowajua. Asante ten 😀
 
Mm mtazamo kwa binti yangu ni , huyo kijana awe na
1> kijana awe na akili timamu
2> kijana awe na muonekano ili niwe na wajukuu wazuri
3> kijana asiwe shoga wa mlevi na vingine vya kufanana na hivyo.
Pesa watatafu wote.
Nakuliana na wewe, na huu unaweza kuwa mtazamo wangu kwenye swali kam hili.
Pesa zinatafutwa, zinakuja pia zinapotea, kuna kupata na kukosa. Ila Quality ya mtu haiwez kupotea daima.
Wewe ni mzaz mzur, bless.
 
Back
Top Bottom