Kwa sababu ya umasikini wangu wazazi wa binti wamenikataa

Kwa sababu ya umasikini wangu wazazi wa binti wamenikataa

Sasa nani anataka maskini kwake? Sema qalitakiwa kuwekeza binti Yao mapema asilete maskini Kwa Wazazi wake vinginevyo asepe huko na huyo fukara wake 😆😆

Kuoa binti maskini is okey ila kuolewa na mwanaume maskini ni mtihani.

Mwisho hata ungekuwa wewe ndio Wazazi ungekubali?
Mim kam mzazi wa baade (no kids now), ningependa binti yangu awe na furaha. Achague yule anayedhan anamfaa kwke.
Zaid mim nitatoa ushaur tu ambao si lazima. Kitachojir itakuwa ni funzo kwake.
Tusiende mbal, mim binafsi sipendi kuchaguliwa who to marry na wazaz.

Acha nijifunze, maisha yatanifunza. Plus sina mvi muda wa kupamban upo.
Pia sijawah kumtendea vbaya huyu binti wa watu. issue money tu
 
Mimi ni ME late 20s, nimekuwa kwa mahusiano na binti wa kaskazini kwa miaka 3 kasoro.

To cut long story short,

Nampenda sana na nilihope angekuwa wangu wa maisha, niliwekeza my time/everything nilichokuwa nacho kwa huyu binti, nikiamini amenielew kwa hali na mali. Nikiwa na tumaini tutafika wote kw kilele cha mafanikio.

SHIDA iko hapa, nimezaliwa kwenye umaskini (si kigezo) na mpaka sasa sijatusua kimaisha kipato kidgo.
Now, wazazi wa binti HAWANITAKI.

Wamezuia mahusiano kati yangu na binti kw kigezo sina mbele wa nyuma, sina pesa, wanaona nitaharibu maisha ya binti.

Mpenz wangu huyu, umeungana na familia, akidai haoni future na mim tena, ilihali amekuw na mm kipind chote na haikuwah kuwa ishu before.

Nimepigwa pigo la Kimaisha na Kimapenzi pia

*Nimezongwa na maumivu, fedheha. Muda huu siwez kufikiria straight

Tafadhal naombeni ushauri/maoni/suggestions.

Asanteni
Tafuta pesa muda huo binti anahangaika kutafuta mwenye makalio na kende (mbele na nyuma). Ukifanikiwa kujipata, binti atakuwa single maza ama amechakaa sasa yeye ndio atakuwa hana mbele wala nyuma.

Tafuta hela
Tafuta hela
Tafuta hela.

Huu ndio ushauri wangu kwako
 
Mimi Kuna age Fulani kwenye Maisha MAPENZI YAKAINGILIA KATI..

Ndio kwanza nimemaliza first degree sina mbele Wala nyuma..

NIKAENDA KUMTAMBULISHA MCHUMBA KWA MZEE..alipo ondoka mzee akanishangaa sina hata masters nakimbilia kuoa..eti na haraka na maisha 🤣🤣😂😂
Kusema UKWELI sikupata ushirikiano mzuri kwa wazazi nikampoteza yule mwanamke nilie mpenda Sanaa..

Unajua zile ngoja,kesho,baadae wanawake wengi huchoka kuzingojelea...ni story ndeefu...
"" LOVE IS JUST LIKE A WAR EASY TO START DIFFICULT TO END""
Maisha yakaenda Kasi tukasikiliza wazee now tuna familia zenye furaha TU.
Mambo mengine hutokea for DEVINE PURPOSES.
Ni mjasiriamali mdogo
May be wazee huona mbali, wako protective. Like you umepoteza lakin umepata mwngne along the journey. Huwenda ikatokea kwangu pia.
Nakubaliana na wewe DEVINE NATURE imechukua mkondo wako.
Thanks man
 
Mimi ni ME late 20s, nimekuwa kwa mahusiano na binti wa kaskazini kwa miaka 3 kasoro.

To cut long story short,

Nampenda sana na nilihope angekuwa wangu wa maisha, niliwekeza my time/everything nilichokuwa nacho kwa huyu binti, nikiamini amenielew kwa hali na mali. Nikiwa na tumaini tutafika wote kw kilele cha mafanikio.

SHIDA iko hapa, nimezaliwa kwenye umaskini (si kigezo) na mpaka sasa sijatusua kimaisha kipato kidgo.
Now, wazazi wa binti HAWANITAKI.

Wamezuia mahusiano kati yangu na binti kw kigezo sina mbele wa nyuma, sina pesa, wanaona nitaharibu maisha ya binti.

Mpenz wangu huyu, umeungana na familia, akidai haoni future na mim tena, ilihali amekuw na mm kipind chote na haikuwah kuwa ishu before.

Nimepigwa pigo la Kimaisha na Kimapenzi pia

*Nimezongwa na maumivu, fedheha. Muda huu siwez kufikiria straight

Tafadhal naombeni ushauri/maoni/suggestions.

Asanteni
Mbona bado kijana mdogo sana we chukulia kama huyo mpenzi wako ni daladala umetelemka kesho utapanda nyingine.
 
Umasikini ni mbaya sana kaka, pambana upate pesa acha kulia lia mwanaume. Piga hata dili haramu mafanikio yanataka watu jasiri wanao gusa sehemu tofauti tofauti, chukia umasikini upige vita kwa vitendo.
Umaskin utanipeleka sehem hat kw mtutu wa bunduk nisingeenda, shukran man
 
Mimi Kuna age Fulani kwenye Maisha MAPENZI YAKAINGILIA KATI..

Ndio kwanza nimemaliza first degree sina mbele Wala nyuma..

NIKAENDA KUMTAMBULISHA MCHUMBA KWA MZEE..alipo ondoka mzee akanishangaa sina hata masters nakimbilia kuoa..eti na haraka na maisha 🤣🤣😂😂
Kusema UKWELI sikupata ushirikiano mzuri kwa wazazi nikampoteza yule mwanamke nilie mpenda Sanaa..

Unajua zile ngoja,kesho,baadae wanawake wengi huchoka kuzingojelea...ni story ndeefu...
"" LOVE IS JUST LIKE A WAR EASY TO START DIFFICULT TO END""
Maisha yakaenda Kasi tukasikiliza wazee now tuna familia zenye furaha TU.
Mambo mengine hutokea for DEVINE PURPOSES.
Wazee wako nayo miyeyusho mkuu kwahiyo masters ndo inaoa?
 
Sijui nimeenda nje ya mada, ila binafsi sinaga mtu ambaye nampenda kiasi cha kuweza kusema kwamba akiniacha ataniumiza "kimapenzi"! Kwanza demu akinimwaga/akikaribia kunimwaga huwa nainjoi huku nikimuigizia kuumia! Yaani katika maumivu ambayo huwa sipati basi ni ya mapenzi. Yaani mtu awepo, asiwepo mimi mzani always upo sawa tu, hasa nikizingatia tabia za hawa watoto wa afumbili ndo kabisaaa!

Kama ni tatizo nishaurini niende hata kwa Mwamposa nikaombewe nami mahaba yaanze kuniua na kunigalagaza.

NB: nami nipo late 20s ila sijui hata nitaoa lini maana hata kupenda sipendi.
Hauko nje ya mada, inaonekan una high emotional tolerance. Ni nzur coz huwez kuyumbishw na ishu kam hiz
 
Pesa huwa ananuka kama harufu mbaya. Wewe hebu fikiria watu uliosoma nao waliofanikiwa sana bila shaka unajua habari zao ila makapuku huna habari nao. Namaanisha atafute ela awe na pesa kweli sio pesa ya kununua subaru xt halafu aseme kafanikiwa.
Ni kweli kuna mwanangu mmoja nilisoma nae Yan najua detail zake 😅Ila yeye detail zangu hazjui nasikia oya mwana kitengo siku hzi
 
Back
Top Bottom