Kwa sababu ya umasikini wangu wazazi wa binti wamenikataa

Kwa sababu ya umasikini wangu wazazi wa binti wamenikataa

Sasa nani anataka maskini kwake? Sema qalitakiwa kuwekeza binti Yao mapema asilete maskini Kwa Wazazi wake vinginevyo asepe huko na huyo fukara wake 😆😆

Kuoa binti maskini is okey ila kuolewa na mwanaume maskini ni mtihani.

Mwisho hata ungekuwa wewe ndio Wazazi ungekubali?
Mimi kama mzazi ningekubali kwasababu nitakua nimesha muendeleza binti yangu Kielimu na kiuchumi na anajitengemea. Binti akijipata ata mpenzi wake akiwa haja jipata binti hata teseka kwasababu atakua na kipato chake yani ana jimudu.
 
Mimi kama mzazi ningekubali kwasababu nitakua nimesha muendeleza binti yangu Kielimu na kiuchumi na anajitengemea. Binti akijipata ata mpenzi wake akiwa haja jipata binti hata teseka kwasababu atakua na kipato chake yani ana jimudu.
Upo sahihi kwa kiasi chake Ila umakini tu huyo kijana asije kuwatoa kafara
 
Mimi kama mzazi ningekubali kwasababu nitakua nimesha muendeleza binti yangu Kielimu na kiuchumi na anajitengemea. Binti akijipata ata mpenzi wake akiwa haja jipata binti hata teseka kwasababu atakua na kipato chake yani ana jimudu.
Hapo binti hajajipata Bali anategemea Mali za Wazazi yaani Yuko kwako Bora angekuwa na mishe zake huko
 
Hahaha iko funny, si unajua ile "siwez pata mwngine kam wewe" ndo huwa inatutesa wengi.
I like ur comment thou imeniambia "kuna plenty of fish in the sea", asante
Akudanganye rejea wimbo wa diamond "nimpende nani anasema wazuri ni wengi lakini kumpata mwenye mapenzi ya kweli ndo balaa wengi wajanja wamejawa utapeli zamaa
 
Mimi ni ME late 20s, nimekuwa kwa mahusiano na binti wa kaskazini kwa miaka 3 kasoro.

To cut long story short,

Nampenda sana na nilihope angekuwa wangu wa maisha, niliwekeza my time/everything nilichokuwa nacho kwa huyu binti, nikiamini amenielew kwa hali na mali. Nikiwa na tumaini tutafika wote kw kilele cha mafanikio.

SHIDA iko hapa, nimezaliwa kwenye umaskini (si kigezo) na mpaka sasa sijatusua kimaisha kipato kidgo.
Now, wazazi wa binti HAWANITAKI.

Wamezuia mahusiano kati yangu na binti kw kigezo sina mbele wa nyuma, sina pesa, wanaona nitaharibu maisha ya binti.

Mpenz wangu huyu, umeungana na familia, akidai haoni future na mim tena, ilihali amekuw na mm kipind chote na haikuwah kuwa ishu before.

Nimepigwa pigo la Kimaisha na Kimapenzi pia

*Nimezongwa na maumivu, fedheha. Muda huu siwez kufikiria straight

Tafadhal naombeni ushauri/maoni/suggestions.

Asanteni
Pole sana!! Mm ni mhanga pia wa hili tatizo!! kipindi cha ujana. nilipenda sana wasichana wa kaskani!! nilifanikiwa kumpata Pendo Shirima wa Rombo mashati. Kilichonikuta, Mungu anajua! Yale maumivu yalipelekea nifanye kazi kwa bidii!! na Sasa niko vizuri kiuchumi Nina biashara zangu Kahama na Igunga. hivyo dogo pambana utatoboa tu. Tz tuna frusa nyingi sana!! Pambana mwanakwetu!
 
Mkuu mbona una matusi ya ki Godlove sana wewe?

Ushauri gani huo kwa mwenzako!
Maneno mawili, tusi, mh!

Hata kama ushauri ni mzuri kiasi gani, ukizidi kuhomoka, unaharibu kila kitu.
Asnte kw kuliona hilo, but naamin watu wana namn tofaut ya kuexpress maoni/mawazo yao.
Pia i can take it, we need people like u asante once again
 
Tafuta pesa kwa kadri uwezavyo.. hata wewe ukija kuwa na binti utapenda aende kwa mtu mwenye nafuu na sio tia tia maji
 
Komaa mpaka 35 ndio uoe. Tumia hayo maumivu ili kutafuta pesa uwe tajiri waje kuwa wanakuona kwenye tv ukitoa mahala msaada wa vitanda mara madawati mar unawapa zawadi waliofanya vizuri,mara umejitolea milioni 600 kusaidia watt yatima. Mara umelipia wagonjwa waliokuwa wanadaiwa hospital ya muhimbili takribani milioni mia tatu muda huo binti atakasirika na kuwatukana wazazi wake na ataanza kukitafuta.
That's how men rise weak fall down.
Mie nikipata tukio Kama hili nakuambia natumia hayo maumivu kusonga mbele zaidi. Yaani they're driving force and energy to me.
Strong men rise from broken up, bankruptcy etc.
Utapata demu mmoja mzuri huko mbeleni adi utakuja kushukuru Mungu why huyu akakutaa
Nitapamban na I pray maneno haya yakawe reality. Be blessed man
 
Ngoja kwanza, jukumu la kwanza la baba kwa binti yake mkubwa ni kumuozesha kwa kijana anayeamini kuwa ataweza kumtunza binti yake huyo.

Sasa turudi kwako kiongozi, je wewe utakubali binti yako kuolewa na mtu ambaye unaamini kabosa hatoweza kumtunza na kufanya naye maisha bora?.

Usisikitike, ni swala la vipaumbele na machaguo kiongozi.
 
Unafanya kazi?? Maana kutusua au kutotusua hayo ni Mambo mengine..!! Fanya jitihada ujifunze hata BODABODA then unajiweka kijiweni ukiomba Daywaka..

Ukipata hyo salio hata buku 2 usiende kutafuta chakula LA Asha!!

NENDA KABET/KABASHIRI MPIRA KILA UKIIKUTA Maniyuu we andika itafungwa..
Ntajaribu, thanks man
 
Kama ulikuwa ukimtunza dem kwa miaka mitatu na mnafurahia maisha, wewe ni kidume kuliko wengi wanavyokuchulia.

Sema nini huyo demu kuungana na wazazi wake kukukataa badala ya kukusapoti wewe na kukutia moyo, ndipo ilipo shida yenyewe.

Huyo ni aina ya wanawake wapenda kitonga na matapeli, Mungu kakuonesha mapema rangi yake halisi, achana naye.
Kinachoniuma san si fedheha ya pesa, ila ni mpenz kutonipambania, kupoteza imani juu yngu.
Ni vema kaonesha rangi mapema, asante man
 
Usijipe na tumaini mimi mwanamke aliyenikataa alimaliza Chuo mwaka mmoja akakaa bila kazi mwisho wa siku Kaja kupata bwana kamnunulia na gari mimi bado nalanda labda mtaani usiku compare kabsa
Laiti ungejua Sauli angekuja kuwa Paulo, usingefanya huu ujinga!!
 
Back
Top Bottom