Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa usilaumu wazazi wako maana jukumu lao kwako liliisha ulipo fikisha miaka 18 tu..sasa hadi unafika late 20s means una 29 utuambie miaka yotee 11ulikuwa unafanya nini hadi uendelee kubaki ulivyo..Mimi ni ME late 20s, nimekuwa kwa mahusiano na binti wa kaskazini kwa miaka 3 kasoro.
To cut long story short,
Nampenda sana na nilihope angekuwa wangu wa maisha, niliwekeza my time/everything nilichokuwa nacho kwa huyu binti, nikiamini amenielew kwa hali na mali. Nikiwa na tumaini tutafika wote kw kilele cha mafanikio.
SHIDA iko hapa, nimezaliwa kwenye umaskini (si kigezo) na mpaka sasa sijatusua kimaisha kipato kidgo.
Now, wazazi wa binti HAWANITAKI.
Wamezuia mahusiano kati yangu na binti kw kigezo sina mbele wa nyuma, sina pesa, wanaona nitaharibu maisha ya binti.
Mpenz wangu huyu, umeungana na familia, akidai haoni future na mim tena, ilihali amekuw na mm kipind chote na haikuwah kuwa ishu before.
Nimepigwa pigo la Kimaisha na Kimapenzi pia
*Nimezongwa na maumivu, fedheha. Muda huu siwez kufikiria straight
Tafadhal naombeni ushauri/maoni/suggestions.
Asanteni
🤣🤣🤣🤣 trilion, tz au ,cheche hcheNina thamani ya matrilioni ya pesa. Huwezi nichukua ukanitese na njaa zako. Kama umeshindwa kutafuta pesa utawezaje kunitafuta mimi
Shukran sana, bless youPole sana mkuu kwa unayopitia, achana na hiyo familia kubali yaishe na upambanie maisha yako huenda labda sio fungu lako.
Kisicho riziki hakiliki mkuu.
Ameen, umenena vema. Mungu wetu soteJitahidi usahau na usonge mbele. Hii ikupe hasira ufight zaidi.
Hiyo ni bonge moja la booster. Na siku ukifanikiwa afahamu.
Asante 🙂Hata mimi nakukataa.
Thanks man, acha nafight tuSio inshu ya kukuumiza hiyo,haikuwa Riziki yako hiyo Songa mbele.
Wanawake wamejaa kibao,tafuta Hela utawakimbia wewe.
Haikuwa target yangu, sikuwah kuwaza hvyo. Asante manSure ungemharibia maisha huyo Binti wengi huwa wanawataka kuoa familia za wenye pesa ili wavizie kitonga Cha maisha mkisanukiwa mapema na wanafamilia inakuwa sio bahati yenu
Asante sana
Ninachek zaid kwa hiyo kanuniPole Sana .
Ila jifunze kanuni ya kutotapanya nguvu yako .
Hii itakusaidia hata Kama upo financial broke watu hawatajua na itakusongeza with right peoples.
Well said, niliwaza hvyo pia. Mahusiano ya binti yao ni transaction.Wazazi wengi sana wanageuza watoto kuwa mradi hilo wala lisikuumize sana jambo la msingi tafuta pesa, kuna bwana mkubwa mmoja alikua ni mtangazaji huko nje ya nchi kakaa huko kakutana na warembo wa kila aina lakini hakuwa kufanya ndoa mpaka kaja tanzania ndo kaoa akiwa na miaka mingi tu ndoa haifosiwi ukifosi umeumia mkuu tunafosi ku JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala tu
Hahahah kikubwa uzima, asante man 😀Kawaida mkuu. Sijaona RIP kwa profile yako, kwa hiyo hizi mambo utakutana nazo sana mpaka siku unaondoka.
Pambania ndoto zako.
Umeenyooka, napenda hard truth.Umri mdogo kuendekeza mapendi, jitafute kwanza, tafuta ela hao wanawake hawajawahi kuisha duniani na utawaacha!! Pambana toka maghetoni gadamiti weweee, acha utegemezi toka, kuzaliwa maskini sio kosa, ila kufa maskini ni kosa kenge wewe....!!
Mwaka unapinduka unawaza wanawake tu na mapenzi, bora hiyo familia wamekukata ndio uongeze mapambano gadamiti!! Hakuna atakayekuheshimu ukiwa maskini tena kijana mdogo kabisa hata 30 hujafika umeanza kulialia, una utoto mwingi sana, ushakuwa mtu mzima acha wenge
PreachAliyekuambia mtu anayetegemea mwingine ndio ale ana thamani ninani?