Mstoiki
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 4,365
- 8,384
🙄🙄🙄Hata mimi nakukataa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙄🙄🙄Hata mimi nakukataa.
Kutotapanya nguvu zako? Unamaanisha nini?Pole Sana .
Ila jifunze kanuni ya kutotapanya nguvu yako .
Hii itakusaidia hata Kama upo financial broke watu hawatajua na itakusongeza with right peoples.
Pole mwana.Mimi ni ME late 20s, nimekuwa kwa mahusiano na binti wa kaskazini kwa miaka 3 kasoro.
To cut long story short,
Nampenda sana na nilihope angekuwa wangu wa maisha, niliwekeza my time/everything nilichokuwa nacho kwa huyu binti, nikiamini amenielew kwa hali na mali. Nikiwa na tumaini tutafika wote kw kilele cha mafanikio.
SHIDA iko hapa, nimezaliwa kwenye umaskini (si kigezo) na mpaka sasa sijatusua kimaisha kipato kidgo.
Now, wazazi wa binti HAWANITAKI.
Wamezuia mahusiano kati yangu na binti kw kigezo sina mbele wa nyuma, sina pesa, wanaona nitaharibu maisha ya binti.
Mpenz wangu huyu, umeungana na familia, akidai haoni future na mim tena, ilihali amekuw na mm kipind chote na haikuwah kuwa ishu before.
Nimepigwa pigo la Kimaisha na Kimapenzi pia
*Nimezongwa na maumivu, fedheha. Muda huu siwez kufikiria straight
Tafadhal naombeni ushauri/maoni/suggestions.
Asanteni
hakuna shida we pambana kutafuta pesa na utapata mwanamke anayekufaaMimi ni ME late 20s, nimekuwa kwa mahusiano na binti wa kaskazini kwa miaka 3 kasoro.
To cut long story short,
Nampenda sana na nilihope angekuwa wangu wa maisha, niliwekeza my time/everything nilichokuwa nacho kwa huyu binti, nikiamini amenielew kwa hali na mali. Nikiwa na tumaini tutafika wote kw kilele cha mafanikio.
SHIDA iko hapa, nimezaliwa kwenye umaskini (si kigezo) na mpaka sasa sijatusua kimaisha kipato kidgo.
Now, wazazi wa binti HAWANITAKI.
Wamezuia mahusiano kati yangu na binti kw kigezo sina mbele wa nyuma, sina pesa, wanaona nitaharibu maisha ya binti.
Mpenz wangu huyu, umeungana na familia, akidai haoni future na mim tena, ilihali amekuw na mm kipind chote na haikuwah kuwa ishu before.
Nimepigwa pigo la Kimaisha na Kimapenzi pia
*Nimezongwa na maumivu, fedheha. Muda huu siwez kufikiria straight
Tafadhal naombeni ushauri/maoni/suggestions.
Asanteni
Wewe ni late 20s (28 or 29yrs). Bado una muda, jipange, tafuta. Jifunze kujijali wewe kwanza, enjoy your own company kama huna uchumi mzuri. Hao wanawake utakutana nao automatically mambo yako yakiwa mazuri.Mimi ni ME late 20s, nimekuwa kwa mahusiano na binti wa kaskazini kwa miaka 3 kasoro.
To cut long story short,
Nampenda sana na nilihope angekuwa wangu wa maisha, niliwekeza my time/everything nilichokuwa nacho kwa huyu binti, nikiamini amenielew kwa hali na mali. Nikiwa na tumaini tutafika wote kw kilele cha mafanikio.
SHIDA iko hapa, nimezaliwa kwenye umaskini (si kigezo) na mpaka sasa sijatusua kimaisha kipato kidgo.
Now, wazazi wa binti HAWANITAKI.
Wamezuia mahusiano kati yangu na binti kw kigezo sina mbele wa nyuma, sina pesa, wanaona nitaharibu maisha ya binti.
Mpenz wangu huyu, umeungana na familia, akidai haoni future na mim tena, ilihali amekuw na mm kipind chote na haikuwah kuwa ishu before.
Nimepigwa pigo la Kimaisha na Kimapenzi pia
*Nimezongwa na maumivu, fedheha. Muda huu siwez kufikiria straight
Tafadhal naombeni ushauri/maoni/suggestions.
Asanteni
Sasa nani anataka maskini kwake? Sema qalitakiwa kuwekeza binti Yao mapema asilete maskini Kwa Wazazi wake vinginevyo asepe huko na huyo fukara wake 😆😆Mimi ni ME late 20s, nimekuwa kwa mahusiano na binti wa kaskazini kwa miaka 3 kasoro.
To cut long story short,
Nampenda sana na nilihope angekuwa wangu wa maisha, niliwekeza my time/everything nilichokuwa nacho kwa huyu binti, nikiamini amenielew kwa hali na mali. Nikiwa na tumaini tutafika wote kw kilele cha mafanikio.
SHIDA iko hapa, nimezaliwa kwenye umaskini (si kigezo) na mpaka sasa sijatusua kimaisha kipato kidgo.
Now, wazazi wa binti HAWANITAKI.
Wamezuia mahusiano kati yangu na binti kw kigezo sina mbele wa nyuma, sina pesa, wanaona nitaharibu maisha ya binti.
Mpenz wangu huyu, umeungana na familia, akidai haoni future na mim tena, ilihali amekuw na mm kipind chote na haikuwah kuwa ishu before.
Nimepigwa pigo la Kimaisha na Kimapenzi pia
*Nimezongwa na maumivu, fedheha. Muda huu siwez kufikiria straight
Tafadhal naombeni ushauri/maoni/suggestions.
Asanteni
Maskini Kwa maskini sawa ila maskini Kwa wenye nacho hapanaWazazi wengi sana wanageuza watoto kuwa mradi hilo wala lisikuumize sana jambo la msingi tafuta pesa, kuna bwana mkubwa mmoja alikua ni mtangazaji huko nje ya nchi kakaa huko kakutana na warembo wa kila aina lakini hakuwa kufanya ndoa mpaka kaja tanzania ndo kaoa akiwa na miaka mingi tu ndoa haifosiwi ukifosi umeumia mkuu tunafosi ku JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala tu
Manka hii imekaa kitoto sana, ukizishika kula kimya kimyaSiku ukijipata usiache kwenda kuwasalimia wauone ukuu wa mungu
Kwa mimi hapana kuwa na mwanamke ambaye hajiwezi naona najipiga kitanzi kikubwa sana wanawake sio wastahamilivu ata kuvumilia na umaskini wako lakni akitokea mwenye nanyo akimuhitaji meza inapinduliwa tuMaskini Kwa maskini sawa ila maskini Kwa wenye nacho hapana
Sawa ngoshaManka hii imekaa kitoto sana, ukizishika kula kimya kimya
😂😂😂😂Sawa ngosha
Mkuu naomba kueleweshwa, kutotapanya nguvu ndo kufanyaje/kukoje?Pole Sana .
Ila jifunze kanuni ya kutotapanya nguvu yako .
Hii itakusaidia hata Kama upo financial broke watu hawatajua na itakusongeza with right peoples.