Kwa saini yako kwenye mkataba wa DP World, Waziri wa Ujenzi na uchukuzi bado upo madarakani kweli?

Kwa saini yako kwenye mkataba wa DP World, Waziri wa Ujenzi na uchukuzi bado upo madarakani kweli?

Magufuli 05

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2023
Posts
1,433
Reaction score
2,791
Najiuliza tu, ni kweli wewe waziri wa Ujenzi ulisaini ule mkataba ukiwa na akili timamu?

Nini hasa ilikuwa dhamira yako? Nani alikuwa nyuma yako? Wewe na waliokuwa nyuma yako mnajisikiaje kwasasa? Je, ni Mtanzania yupi mwenye akili timamu anaweza kukuamini wewe kwasasa?

Huoni aibu kwani? Na unaongoza wizara ya Ujenzi ipi? Je, unafaa tukuite waziri wetu kwa sasa?

Umetuaibisha, umetudhihaki na umetufedhehesha kwa kutaka kutuchuuza kwa hao Jamaa wa DP. Ni aibu kwako na aliyekuteua. Hufai kuendelea kukaa kwenye ofisi ya umma. Ondoka mzee ili ulinde heshima yako huko mbele.

Kwa sasa tunazima Radio na TV kila tukisikia unaongea. Hufai na hufai Tena.
Usipoteze muda kumshambulia Mpina kwa kuhalalisha maovu yako kwetu, hatuna Imani na wewe tena kwa hiki ulichotaka kutuletea kwenye Taifa letu.

Ni aibu ni aibu kubwa. Wala hukujali kabisa maisha ya Watanzania. Ninachosikitika zaidi ni kuona wewe ni msomi tena professor lakini ulisaini memorandum ya hovyo Sana. Wewe siyo mzalendo.

Tafadhali mzee tupishe kwenye ofisi zetu za umma. Yale uliyotufanyia yanatosha, hatukuamini tena. Hata ikitumika nguvu kuzima sakats hili haisadii, tayari ukweli tunao Watanzania.

Wasomi wamenena.
Diaspora wamenena.
Wanasiasa wamenena.
Je, hawa wote wanachuki na wewe na aliyekuteua?
Ondoka mzee, Viva Tanzania 🇹🇿
 
Najiuliza tu, ni kweli wewe waziri wa Ujenzi ulisaini ule mkataba ukiwa na akili timamu?
Nini hasa ilikuwa dhamira yako? Nani alikuwa nyuma yako? Wewe na waliokuwa nyuma yako mnajisikiaje kwasasa?
Je ni Mtanzania yupi mwenye akili timamu anaweza kukuamini wewe kwasasa? Huoni aibu kwani? Na unaongoza wizara ya Ujenzi ipi? Je unafaa tukuite waziri wetu kwasasa?
Umetuaibisha, umetudhihaki na umetufedhehesha kwa kutaka kutuchuuza kwa hao Jamaa wa DP.
Ni aibu kwako na aliyekuteua.
Hufai kuendelea kukaa kwenye ofisi ya umma. Ondoka mzee ili ulinde heshima yako huko mbele.
Kwasasa tunazima Radio na TV kila tukisikia unaongea. Hufai na hufai Tena.
Usipoteze muda kumshambulia Mpina kwa kuhalalisha maovu yako kwetu, hatuna Imani na wewe Tena kwa hiki ulichotaka kutuletea kwenye Taifa letu. Ni aibu ni aibu kubwa. Wala hukujali kabisa maisha ya Watanzania.
Ninachosikitika zaidi ni kuona wewe ni msomi Tena professor lakini ulisaini memorandum ya hovyo Sana.
Wewe siyo mzalendo
Tafadhali mzee tupishe kwenye ofisi zetu za umma.
Yale uliyotufanyia yanatosha,hatukuamini Tena.
Hata ikitumika nguvu kuzima SAKATA hili haisadii, tayari ukweli tunao Watanzania.
Wasomi wamenena.
Diaspora wamenena
Wanasiasa wamenena
Je , Hawa wote wanachuki na wewe na aliyekuteua??
Ondoka mzee,
Viva Tanzania [emoji1241]
Ni aibu, ni aibu ya karne!
 
Aibu,aibu ,aibu..Si utoke tuuu..Kweli Wewe ni Prof????Sisomi Tena Shule.
 
Najiuliza tu, ni kweli wewe waziri wa Ujenzi ulisaini ule mkataba ukiwa na akili timamu?
Nini hasa ilikuwa dhamira yako? Nani alikuwa nyuma yako? Wewe na waliokuwa nyuma yako mnajisikiaje kwasasa?
Je ni Mtanzania yupi mwenye akili timamu anaweza kukuamini wewe kwasasa? Huoni aibu kwani? Na unaongoza wizara ya Ujenzi ipi? Je unafaa tukuite waziri wetu kwasasa?
Umetuaibisha, umetudhihaki na umetufedhehesha kwa kutaka kutuchuuza kwa hao Jamaa wa DP.
Ni aibu kwako na aliyekuteua.
Hufai kuendelea kukaa kwenye ofisi ya umma. Ondoka mzee ili ulinde heshima yako huko mbele.
Kwasasa tunazima Radio na TV kila tukisikia unaongea. Hufai na hufai Tena.
Usipoteze muda kumshambulia Mpina kwa kuhalalisha maovu yako kwetu, hatuna Imani na wewe Tena kwa hiki ulichotaka kutuletea kwenye Taifa letu. Ni aibu ni aibu kubwa. Wala hukujali kabisa maisha ya Watanzania.
Ninachosikitika zaidi ni kuona wewe ni msomi Tena professor lakini ulisaini memorandum ya hovyo Sana.
Wewe siyo mzalendo
Tafadhali mzee tupishe kwenye ofisi zetu za umma.
Yale uliyotufanyia yanatosha,hatukuamini Tena.
Hata ikitumika nguvu kuzima SAKATA hili haisadii, tayari ukweli tunao Watanzania.
Wasomi wamenena.
Diaspora wamenena
Wanasiasa wamenena
Je , Hawa wote wanachuki na wewe na aliyekuteua??
Ondoka mzee,
Viva Tanzania 🇹🇿
mkuu mjumbe hauwawi, anayepashwa kupisha ni aliyetenda uhaini huu kwa taifa, ni yule aliyeruhusu mkataba huu usainiwe. waziri hana shida mwenye shida ni No. 1, na kwa bahati mbaya mpaka sasa haoni kama kuna shida.
 
Najiuliza tu, ni kweli wewe waziri wa Ujenzi ulisaini ule mkataba ukiwa na akili timamu?
Nini hasa ilikuwa dhamira yako? Nani alikuwa nyuma yako? Wewe na waliokuwa nyuma yako mnajisikiaje kwasasa?
Je ni Mtanzania yupi mwenye akili timamu anaweza kukuamini wewe kwasasa? Huoni aibu kwani? Na unaongoza wizara ya Ujenzi ipi? Je unafaa tukuite waziri wetu kwasasa?
Umetuaibisha, umetudhihaki na umetufedhehesha kwa kutaka kutuchuuza kwa hao Jamaa wa DP.
Ni aibu kwako na aliyekuteua.
Hufai kuendelea kukaa kwenye ofisi ya umma. Ondoka mzee ili ulinde heshima yako huko mbele.
Kwasasa tunazima Radio na TV kila tukisikia unaongea. Hufai na hufai Tena.
Usipoteze muda kumshambulia Mpina kwa kuhalalisha maovu yako kwetu, hatuna Imani na wewe Tena kwa hiki ulichotaka kutuletea kwenye Taifa letu. Ni aibu ni aibu kubwa. Wala hukujali kabisa maisha ya Watanzania.
Ninachosikitika zaidi ni kuona wewe ni msomi Tena professor lakini ulisaini memorandum ya hovyo Sana.
Wewe siyo mzalendo
Tafadhali mzee tupishe kwenye ofisi zetu za umma.
Yale uliyotufanyia yanatosha,hatukuamini Tena.
Hata ikitumika nguvu kuzima SAKATA hili haisadii, tayari ukweli tunao Watanzania.
Wasomi wamenena.
Diaspora wamenena
Wanasiasa wamenena
Je , Hawa wote wanachuki na wewe na aliyekuteua??
Ondoka mzee,
Viva Tanzania [emoji1241]
Yes keshasaini. Kwa hiyo ndo mtamfanya ni zaidi ya kulialia tu humu
 
CCCm ikifa, na DP World, habari Yao ndo itakuwa imeisha hivyo.
 
Najiuliza tu, ni kweli wewe waziri wa Ujenzi ulisaini ule mkataba ukiwa na akili timamu?
Nini hasa ilikuwa dhamira yako? Nani alikuwa nyuma yako? Wewe na waliokuwa nyuma yako mnajisikiaje kwasasa?
Je ni Mtanzania yupi mwenye akili timamu anaweza kukuamini wewe kwasasa? Huoni aibu kwani? Na unaongoza wizara ya Ujenzi ipi? Je unafaa tukuite waziri wetu kwasasa?
Umetuaibisha, umetudhihaki na umetufedhehesha kwa kutaka kutuchuuza kwa hao Jamaa wa DP.
Ni aibu kwako na aliyekuteua.
Hufai kuendelea kukaa kwenye ofisi ya umma. Ondoka mzee ili ulinde heshima yako huko mbele.
Kwasasa tunazima Radio na TV kila tukisikia unaongea. Hufai na hufai Tena.
Usipoteze muda kumshambulia Mpina kwa kuhalalisha maovu yako kwetu, hatuna Imani na wewe Tena kwa hiki ulichotaka kutuletea kwenye Taifa letu. Ni aibu ni aibu kubwa. Wala hukujali kabisa maisha ya Watanzania.
Ninachosikitika zaidi ni kuona wewe ni msomi Tena professor lakini ulisaini memorandum ya hovyo Sana.
Wewe siyo mzalendo
Tafadhali mzee tupishe kwenye ofisi zetu za umma.
Yale uliyotufanyia yanatosha,hatukuamini Tena.
Hata ikitumika nguvu kuzima SAKATA hili haisadii, tayari ukweli tunao Watanzania.
Wasomi wamenena.
Diaspora wamenena
Wanasiasa wamenena
Je , Hawa wote wanachuki na wewe na aliyekuteua??
Ondoka mzee,
Viva Tanzania 🇹🇿
Hivi ni mbunge wa wapi? au wa kuteuliwa viti maalum vya mkuu. Aende wapi kwani ni wa mafia au pale jirani Pemba. Muda utaongea
 
Najiuliza tu, ni kweli wewe waziri wa Ujenzi ulisaini ule mkataba ukiwa na akili timamu?

Nini hasa ilikuwa dhamira yako? Nani alikuwa nyuma yako? Wewe na waliokuwa nyuma yako mnajisikiaje kwasasa? Je, ni Mtanzania yupi mwenye akili timamu anaweza kukuamini wewe kwasasa?

Huoni aibu kwani? Na unaongoza wizara ya Ujenzi ipi? Je, unafaa tukuite waziri wetu kwa sasa?

Umetuaibisha, umetudhihaki na umetufedhehesha kwa kutaka kutuchuuza kwa hao Jamaa wa DP. Ni aibu kwako na aliyekuteua. Hufai kuendelea kukaa kwenye ofisi ya umma. Ondoka mzee ili ulinde heshima yako huko mbele.

Kwa sasa tunazima Radio na TV kila tukisikia unaongea. Hufai na hufai Tena.
Usipoteze muda kumshambulia Mpina kwa kuhalalisha maovu yako kwetu, hatuna Imani na wewe tena kwa hiki ulichotaka kutuletea kwenye Taifa letu.

Ni aibu ni aibu kubwa. Wala hukujali kabisa maisha ya Watanzania. Ninachosikitika zaidi ni kuona wewe ni msomi tena professor lakini ulisaini memorandum ya hovyo Sana. Wewe siyo mzalendo.

Tafadhali mzee tupishe kwenye ofisi zetu za umma. Yale uliyotufanyia yanatosha, hatukuamini tena. Hata ikitumika nguvu kuzima sakats hili haisadii, tayari ukweli tunao Watanzania.

Wasomi wamenena.
Diaspora wamenena.
Wanasiasa wamenena.
Je, hawa wote wanachuki na wewe na aliyekuteua?
Ondoka mzee, Viva Tanzania 🇹🇿
Ulitegemea ajiuzulu? Umeula wa chuya mkuu 🤣🤣🤣, hakunaga utaratib huo ndan ya CCM!!!
 
Najiuliza tu, ni kweli wewe waziri wa Ujenzi ulisaini ule mkataba ukiwa na akili timamu?

Nini hasa ilikuwa dhamira yako? Nani alikuwa nyuma yako? Wewe na waliokuwa nyuma yako mnajisikiaje kwasasa? Je, ni Mtanzania yupi mwenye akili timamu anaweza kukuamini wewe kwasasa?

Huoni aibu kwani? Na unaongoza wizara ya Ujenzi ipi? Je, unafaa tukuite waziri wetu kwa sasa?

Umetuaibisha, umetudhihaki na umetufedhehesha kwa kutaka kutuchuuza kwa hao Jamaa wa DP. Ni aibu kwako na aliyekuteua. Hufai kuendelea kukaa kwenye ofisi ya umma. Ondoka mzee ili ulinde heshima yako huko mbele.

Kwa sasa tunazima Radio na TV kila tukisikia unaongea. Hufai na hufai Tena.
Usipoteze muda kumshambulia Mpina kwa kuhalalisha maovu yako kwetu, hatuna Imani na wewe tena kwa hiki ulichotaka kutuletea kwenye Taifa letu.

Ni aibu ni aibu kubwa. Wala hukujali kabisa maisha ya Watanzania. Ninachosikitika zaidi ni kuona wewe ni msomi tena professor lakini ulisaini memorandum ya hovyo Sana. Wewe siyo mzalendo.

Tafadhali mzee tupishe kwenye ofisi zetu za umma. Yale uliyotufanyia yanatosha, hatukuamini tena. Hata ikitumika nguvu kuzima sakats hili haisadii, tayari ukweli tunao Watanzania.

Wasomi wamenena.
Diaspora wamenena.
Wanasiasa wamenena.
Je, hawa wote wanachuki na wewe na aliyekuteua?
Ondoka mzee, Viva Tanzania [emoji1241]
Sema unazima tv wewe mbona mimi naangalia
 
Ana kosa gani wakati Wabunge nao wamepitisha hayo yaliyosainiwa ?

Inamaanisha hata Mbunge yoyote, Rais, Waziri Mkuu n.k. angekuwa kwenye nafasi ya huyo Waziri na yeye angefanya kilichofanyika Hence tusitoe lawama kwa mafungu wala kuchaguana tuzimwage kwa wote...

Na wale ambao wapo Bungeni na wanakaa Kimya hawasikiki wakipinga ni kwamba nao wanaafiki waliyoyapitisha....
 
Najiuliza tu, ni kweli wewe waziri wa Ujenzi ulisaini ule mkataba ukiwa na akili timamu?

Nini hasa ilikuwa dhamira yako? Nani alikuwa nyuma yako? Wewe na waliokuwa nyuma yako mnajisikiaje kwasasa? Je, ni Mtanzania yupi mwenye akili timamu anaweza kukuamini wewe kwasasa?

Huoni aibu kwani? Na unaongoza wizara ya Ujenzi ipi? Je, unafaa tukuite waziri wetu kwa sasa?

Umetuaibisha, umetudhihaki na umetufedhehesha kwa kutaka kutuchuuza kwa hao Jamaa wa DP. Ni aibu kwako na aliyekuteua. Hufai kuendelea kukaa kwenye ofisi ya umma. Ondoka mzee ili ulinde heshima yako huko mbele.

Kwa sasa tunazima Radio na TV kila tukisikia unaongea. Hufai na hufai Tena.
Usipoteze muda kumshambulia Mpina kwa kuhalalisha maovu yako kwetu, hatuna Imani na wewe tena kwa hiki ulichotaka kutuletea kwenye Taifa letu.

Ni aibu ni aibu kubwa. Wala hukujali kabisa maisha ya Watanzania. Ninachosikitika zaidi ni kuona wewe ni msomi tena professor lakini ulisaini memorandum ya hovyo Sana. Wewe siyo mzalendo.

Tafadhali mzee tupishe kwenye ofisi zetu za umma. Yale uliyotufanyia yanatosha, hatukuamini tena. Hata ikitumika nguvu kuzima sakats hili haisadii, tayari ukweli tunao Watanzania.

Wasomi wamenena.
Diaspora wamenena.
Wanasiasa wamenena.
Je, hawa wote wanachuki na wewe na aliyekuteua?
Ondoka mzee, Viva Tanzania [emoji1241]
Kabla ya kusaini wanawafanyia haya
1. Wanawaweka busy siku nzima kuwachosha
2. Wanawapeleka sehemu nzuri za bata na vivutio vingine
3. Anahakikishiwa % yake kwa kukabidhiwa kabisa ATM card yake inayosoma tarakimu figure 7
4. Anakuwa kapangishiwa hotel ya nyota 5 na vidosho vya ukweli sana
5. Anakuwa keshaahidiwa zawadi na misaada mbalimbali kisiasa kifamilia na hata ndugu
Kabla ya kusaini anapewa bufee la ukweli sana.. Akishashiba na ule uchovu wa siku nzima na ile hamu ya kunyandua vitoto vizuri, hatakumbuka tena kusoma walau page moja bali pale pa kutia sahihi tuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najiuliza tu, ni kweli wewe waziri wa Ujenzi ulisaini ule mkataba ukiwa na akili timamu?

Nini hasa ilikuwa dhamira yako? Nani alikuwa nyuma yako? Wewe na waliokuwa nyuma yako mnajisikiaje kwasasa? Je, ni Mtanzania yupi mwenye akili timamu anaweza kukuamini wewe kwasasa?

Huoni aibu kwani? Na unaongoza wizara ya Ujenzi ipi? Je, unafaa tukuite waziri wetu kwa sasa?

Umetuaibisha, umetudhihaki na umetufedhehesha kwa kutaka kutuchuuza kwa hao Jamaa wa DP. Ni aibu kwako na aliyekuteua. Hufai kuendelea kukaa kwenye ofisi ya umma. Ondoka mzee ili ulinde heshima yako huko mbele.

Kwa sasa tunazima Radio na TV kila tukisikia unaongea. Hufai na hufai Tena.
Usipoteze muda kumshambulia Mpina kwa kuhalalisha maovu yako kwetu, hatuna Imani na wewe tena kwa hiki ulichotaka kutuletea kwenye Taifa letu.

Ni aibu ni aibu kubwa. Wala hukujali kabisa maisha ya Watanzania. Ninachosikitika zaidi ni kuona wewe ni msomi tena professor lakini ulisaini memorandum ya hovyo Sana. Wewe siyo mzalendo.

Tafadhali mzee tupishe kwenye ofisi zetu za umma. Yale uliyotufanyia yanatosha, hatukuamini tena. Hata ikitumika nguvu kuzima sakats hili haisadii, tayari ukweli tunao Watanzania.

Wasomi wamenena.
Diaspora wamenena.
Wanasiasa wamenena.
Je, hawa wote wanachuki na wewe na aliyekuteua?
Ondoka mzee, Viva Tanzania 🇹🇿
Kwanini unakimbilia kwa waziri unamuacha huyu?
 

Attachments

  • IMG_7387.jpg
    IMG_7387.jpg
    54.2 KB · Views: 4
Hata kama amesaini, uwezekano wa kuuvunja mkataba huu upo wazi kabisa. Kinachohitajika zaidi ni:-

1. Commitment ya kweli ya Watanganyika wote na wa Vyama, Dini na Makabila yote.

2. Uzalendo wa kweli kwa Tanganyika yetu.

Ili kufanikisha hilo, tutatakiwa kuwashinikiza viongozi wote wa chama na Serikali iliyopo madarakani wa Ngazi zote na kuwataka:-

*Wauvunje huo mkataba haraka iwezekanavyo kwa kipindi tutakachowapangia.

*Kama watakuwa hawajatekeleza hilo kwa muda tuliowapangia, tutawataka wajiuzuru nyadhifa zao zote za Serikali na chama.

*Kama watakuwa hawajatekeleza hilo kwa muda tuliowapangia, tutawalazimisha kufanya hivyo kwa lazima.
Tunawamudu kwa zaidi ya 100%, hatujaamua tu, tukiamua tunaweza vizuri kabisa.
 
Najiuliza tu, ni kweli wewe waziri wa Ujenzi ulisaini ule mkataba ukiwa na akili timamu?

Nini hasa ilikuwa dhamira yako? Nani alikuwa nyuma yako? Wewe na waliokuwa nyuma yako mnajisikiaje kwasasa? Je, ni Mtanzania yupi mwenye akili timamu anaweza kukuamini wewe kwasasa?

Huoni aibu kwani? Na unaongoza wizara ya Ujenzi ipi? Je, unafaa tukuite waziri wetu kwa sasa?

Umetuaibisha, umetudhihaki na umetufedhehesha kwa kutaka kutuchuuza kwa hao Jamaa wa DP. Ni aibu kwako na aliyekuteua. Hufai kuendelea kukaa kwenye ofisi ya umma. Ondoka mzee ili ulinde heshima yako huko mbele.

Kwa sasa tunazima Radio na TV kila tukisikia unaongea. Hufai na hufai Tena.
Usipoteze muda kumshambulia Mpina kwa kuhalalisha maovu yako kwetu, hatuna Imani na wewe tena kwa hiki ulichotaka kutuletea kwenye Taifa letu.

Ni aibu ni aibu kubwa. Wala hukujali kabisa maisha ya Watanzania. Ninachosikitika zaidi ni kuona wewe ni msomi tena professor lakini ulisaini memorandum ya hovyo Sana. Wewe siyo mzalendo.

Tafadhali mzee tupishe kwenye ofisi zetu za umma. Yale uliyotufanyia yanatosha, hatukuamini tena. Hata ikitumika nguvu kuzima sakats hili haisadii, tayari ukweli tunao Watanzania.

Wasomi wamenena.
Diaspora wamenena.
Wanasiasa wamenena.
Je, hawa wote wanachuki na wewe na aliyekuteua?
Ondoka mzee, Viva Tanzania [emoji1241]
Unamwonea tuu waziri, shida ni mkuu wake
 
Duniani hakuna bure. Rais wetu alipoenda Dubai picha yake ikawekwa kwenye lile jumba refu tukaambiwa kwamba lile tangazo halikulipiwa ni bure sasa ndio malipo yake mkataba wa kwanza huu nasikia walisaini jumla mikatba 17. Mimi najiuliza kuna siri gani na hii kampuni ya Dubai maana naona nguvu inayotumika na kiwango cha fedha ni kubwa mno wakina Zembwela wapo huko Dubai n juzi kampuni hii ikatangaza kuwatoa hofu Watanzania kwamba hawajasaini mkataba....Sielewi nini kinaendelea. Mimi nashauri kama hawa jamaa wa Dubai ni wataalamu basi serikali iwaajiri alafu serikali inunue hiyo mitambo ya kutendea kazi bandari ibaki 100% ya Watanzania
 
Raisi kaweka saini, waziri anakataaje kuweka saini?
Hata asingekua mbarawa, bado ungesainiwa tu. Hujui wakuu walikubaliana nini
 
Najiuliza tu, ni kweli wewe waziri wa Ujenzi ulisaini ule mkataba ukiwa na akili timamu?

Nini hasa ilikuwa dhamira yako? Nani alikuwa nyuma yako? Wewe na waliokuwa nyuma yako mnajisikiaje kwasasa? Je, ni Mtanzania yupi mwenye akili timamu anaweza kukuamini wewe kwasasa?

Huoni aibu kwani? Na unaongoza wizara ya Ujenzi ipi? Je, unafaa tukuite waziri wetu kwa sasa?

Umetuaibisha, umetudhihaki na umetufedhehesha kwa kutaka kutuchuuza kwa hao Jamaa wa DP. Ni aibu kwako na aliyekuteua. Hufai kuendelea kukaa kwenye ofisi ya umma. Ondoka mzee ili ulinde heshima yako huko mbele.

Kwa sasa tunazima Radio na TV kila tukisikia unaongea. Hufai na hufai Tena.
Usipoteze muda kumshambulia Mpina kwa kuhalalisha maovu yako kwetu, hatuna Imani na wewe tena kwa hiki ulichotaka kutuletea kwenye Taifa letu.

Ni aibu ni aibu kubwa. Wala hukujali kabisa maisha ya Watanzania. Ninachosikitika zaidi ni kuona wewe ni msomi tena professor lakini ulisaini memorandum ya hovyo Sana. Wewe siyo mzalendo.

Tafadhali mzee tupishe kwenye ofisi zetu za umma. Yale uliyotufanyia yanatosha, hatukuamini tena. Hata ikitumika nguvu kuzima sakats hili haisadii, tayari ukweli tunao Watanzania.

Wasomi wamenena.
Diaspora wamenena.
Wanasiasa wamenena.
Je, hawa wote wanachuki na wewe na aliyekuteua?
Ondoka mzee, Viva Tanzania 🇹🇿
Hama nchi mwehu wewe
 
Huyu Waziri hata aongee nini nimemdharau sana.
Hakuna hata chembe ya uzalendo wala hofu ya Mungu..
Very dangerous...
Ni kitu gani kilimkuta huyu Mzee?..hakusoma?..alishinikizwa?...unawezaje kusaini kitu kama hujasoma?...unakubalije kushinikizwa kusaini terms kama zile?...
Mimi sipingi uwekezaji wa Dp world.
 
Yupo aliyemtuma afanye vile, ndio maana ameachwa mpaka leo.
 
Back
Top Bottom