Hakuna cha elimu ya vitendo wala nini ,suala ni kwamba ajira hamna na mitaji na mazingira ni mabovu kitaani kwa hao wahitimu kujiajiri kupitia fani zao .Unachosema nikweli, ajira zimekua ngumu Sana kupatikana, nataman kama nchi ingejikita zaidi kwenye elimu ya vitendo Kwa zaidi ya 70%.
Wanamaliza wahitimu zaidi elfu 20 wa Accounting kwa level ya degree hapa Tanzania kila mwaka, lakini ajira rasmi za kudumu za kuwaajiri (tena za mchongo balaa) hazifiki hata 300 kwa mwaka, hao wengine wanakwenda wapi?
Serikali haajiri wengi na wala haajiri kila mwaka, na taasisi binafsi zenye kuajiri ni chache, kwa uchache sana huajiri, tena huajiri wenye uzoefu mkubwa na mzuri. Sasa mhitimu mpya anavukaje hapo?
Kazi za darasa la Saba ni zipi mkuuUna uhakika na hilo kwa wasomi wa degree?
Okay, sawa wanasoma ili kupata maarifa, sasa inakuwaje baada ya kumaliza wako busy kusaka ajira?
Vipi sasa baada ya kukosa ajira wanarejea kufanya kazi za darasa la saba badala ya kutumia hayo maarifa ya degree zao?
Exactly ,sekta viwanda ikiwa kubwa na komavu ndio solution , maana manufacturing ina beba almost kila faniBila uchumi wa viwanda nchi hii vijana wahitimu watapuyanga sana
Mmh!Elimu ni uwekezaji mzuri sana tu.
Kama una fursa ya kusoma no vyema uitumie vizuri, usiache kwa kigezo kuwa kazi hakuna.
Halafu hiyo elimu pia inapanua ufahamu wako na inaweza kukusaidia pindi utakapoamua kujikita kwenye sekta zingine za uzalishaji.
Kumbe basi tusilaumu mfumo wa elimu yetu. Kuna tatizo zaidi ya mfumo wa elimu.
Kumbe hadi mainjinia wanakosa kazi?Mimi mwenyewe ni mhanga wa kozi mojawapo hapo, sema nilisoma zamani nikapata ajira ambayo haiendani na nilichosomea ndo inaniweka mjini.
Wenye ahueni ni wale waliosomea Bachelor of Science in/with education hao kwa masomo hayo ya PCM wana ajira, ila wale waliosoma Bachelor of science in Maths, phys au chem pamoja na hao wa engr wengi hakuna rangi wanaacha kuiona mtaani.
Hyo mathe ,phys, mbna walimu wanaajiriwa sana wa masomo hayo.20. Mineral processing engr
21. Bachelor of art with education
22. Fine art and design
23. Statistics
24.Mathematics
25.Physics
26. Civil engr
27. Chemistry
28. Agroeconomy
29. Biochemistry
30. French
31. Arabic
32.
33.
34.
Kama huna industrial base / sekta ya viwanda na technology iliyokomaa ,hicho unachoandika na kudhani ndio solution ni kazi bure .Hamna haja ya kulalamika wakati mnafurahia kufaulisha 100%. Mitihani inatakiwa iwe migumu ili tupate wahitimu wachache wanaohitajika.
Dunia haihitaji watu wengi wenye degree.. inahitaji watendaji, mafundi wengi ambao ni certificate.. na wasimamizi wachache wa kati ambao ni diploma.. degree holders wanaandaliwa kuwa wasimamizi wakuu.. ambao ni wachache zaidi
Tuamshe veta, tuzisurport na kuzichangamkia tutaongea lugha nyingine kabisa
Alaf unakakuta haka kajamaa kanasubiri mshahara laki 6 mwisho wa mwezi.Mkuu hakuna degree nzuri au mbaya. Hata medicine wapo kitaa wanaendesha bodaboda.
Tatizo kubwa in lipo kwenye mtazamo (mindset) wa wasomi. Wengi mmejengwa na kuandaliwa kupewa ajira. Hapa ndipo penye kosa kubwa.
Lengo la degree siyo kuajiriwa kwenye fani uliyosomea kama mleta mada unavyotaka kutuaminisha. Lengo la degree ni kupanua mawanda ya kufikiri ili msomi aweze kuyakabili mazingira yake kwa namna toauti na asiyesoma.
Kwahiyo ktk nchi kama Tanzania iliyobarikiwa ardhi kubwa yenye rutuba na imezungukwa na mito, maziwa na bahati ni aibu kwa wasomi kuleta mada za kulalamikikia kukosa kuajiriwa. Mlienda chuo kudanga, kubet na kuvuta shisha badala ya kujielimisha. Shubamiti, ndengeleki ninyi!
Mm niko huku Katavi naloma na kufunga. Endeleeni kushare kuliko na kupost huko mitandaoni muone kama uzeeni hamtaishia kuwa wachawi tu.Alaf unakakuta haka kajamaa kanasubiri mshahara laki 6 mwisho wa mwezi.
Mukiona neno Mathe, Physics nk munawaza walimu tu hata hamuwazi kuwa hizo ni Branch kuu za sayansi zina specializations zakeHyo mathe ,phys, mbna walimu wanaajiriwa sana wa masomo hayo.
20. Mineral processing engr
21. Bachelor of art with education
22. Fine art and design
23. Statistics
24.Mathematics
25.Physics
26. Civil engr
27. Chemistry
28. Agroeconomy
29. Biochemistry
30. French
31. Arabic
32.
33.
34.
Sasa braza au sisita,kumbuka nyingine za mchongo.Ukweli usemwe na usemwe wazi ili kila mtu aujue. Wigo wa watanzania kusoma mpaka chuo kikuu ili kupata degree umekuwa mkubwa lakini huo mfumo umekuwa ni hasara na upotevu wa rasimali (muda, pesa na nguvu) kwa 90%.
Ajira mtaani kwa 90% hakuna kwa fani nyingi, ni sawa na kucheza kamili, na elimu ya vyeti vya chuo kikuu haina mchango wowote wa mhitimu wa level ya degree kuweza kujiajiri moja kwa moja. Hapa chini ni baadhi ya fani zinazoangukia kwenye kundi hilo.
1. Public administration
2. Political science
3. Business administration
4. Procurement and supply
5. Human resource
6. Sociology
7. Environment
8. Language
9. Mass communication
10. Tourism
11. Banking
12. Accounting
13. Economy
14. Finance
15. History
16. Insurance
17. Tax
18. Cooperative
19. Marketing
20.
Kama wewe ni mhitimu wa hizo fani kwa miaka ya karibuni utaelewa hicho nilichokiandika, na kama wewe ni mwanafunzi wa hizo fani anza kujiandaa kisaikolojia, hali ni mbaya mtaani. Wahitimu ni wengi na hawana ajira yoyote, wamechoka vibaya, wameshazunguka na mabahasha mpaka soli za viatu kuchakaa, wamejitolea mpaka basi, wameshikiza mpaka wamedondoka na wengi wamekata tamaa kabisa, vyeti vyao wamesahau hata vipo wapi, havina msaada. Bado wanakula, kulala na kutunzwa na wazazi wao, mashemeji au wajomba. Wengine wameamua kujiajiri katika fani zingine ambazo hazina uhusiano wowote wa fani walizosomea na zenye kuhitaji elimu ya darasa la nne tu.
Wajanja wengine wameamua kurudi chuo, hususani kwa ngazi ya Diploma kusoma fani za ualimu au afya ili kuingia kwenye mkondo wa kuja kupata ajira hapo baadaye.
Jamani hali ni mbaya na tete.
Ukweli usemwe!
Taasisi haziajiri wenye uzoefu bali wenye connection.Wanamaliza wahitimu zaidi elfu 20 wa Accounting kwa level ya degree hapa Tanzania kila mwaka, lakini ajira rasmi za kudumu za kuwaajiri (tena za mchongo balaa) hazifiki hata 300 kwa mwaka, hao wengine wanakwenda wapi?
Serikali haajiri wengi na wala haajiri kila mwaka, na taasisi binafsi zenye kuajiri ni chache, kwa uchache sana huajiri, tena huajiri wenye uzoefu mkubwa na mzuri. Sasa mhitimu mpya anavukaje hapo?
Yale yale mkuu. Boss akishakuchungulia, ujue umeisha. Usipokubali,kazi huna. Ukikubali, hukai mda mrefu. Ukishaliwa tu,utajiona unawazidi wenzako. Akimtaka mwenzio,anakula, kuepuka lawama,unapumzishwaAjira zipo kwa fani zote, na hazipo kwa fani zote kutegemeana na mhusika anayeitafuta, una connection?
Kama connection unayo hata kama una ufaulu mbaya ajira utapata, lakini kama una pass mark nzuri connection hauna umeumia.
So hizo kozi ulizoweka hapo zina ajira na hazina ajira pia kutegemeana na situation ya mhitimu na wazazi wake, au kama akiwa mtoto wa kike akakutana na boss anamemuelewa ajira ataipata, bahati mbaya ukiwa wa kiume....
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app