Kwa sasa huenda 90% ya Degree hazina tena maana, hazikupi ajira wala maarifa ya kupata kipato

Kwaiyo mwenye degree Hana sifa ya kufanya hizo kazi
Nimesema huhitaji kuwa na degree ili uweze kuzifanya hizo kazi za elimu ya darasa la Saba. Ukiona mtu mwenye degree anazifanya hizo kazi basi ujue degree yake imeshindwa kumpa ajira na kipato alichokitarajia, hivyo ameitupa kabatini na kuishi bila degree ili maisha yaende.
 
Ndo maana hatufai kumlaum mtu. Mwalimu anaekufundisha hizo Maths na Physics,mwenyewe ukute hata Airport hajawahi kuiona. Huyo huyo,ndo anaekuaminisha kuwa unaenda kuwa rubani miaka 6 au kumi badae. Akili ya kujiuluza kwa nini yeye hajaenda kuwa rubani,ndo zero. Unategemea nini?
Sasa mwisho wa siku unaamua usepe kijijini ukawaache walime, vijana wanajenga,wanaoa,unabaki mjini kuwa tapeli
 
Utakuwa kilaza kwelikweli wewe, You lack exposure or wewe ni mpumbavu
Lakini mkuu,huna haja ya ugomvi. Sasa unataka aamini unachokiamini wewe? Hapana. Huenda ametoboa kimaisha na hiyo elimu hana. Utamuaminisha kwamba bila elimu maisha huwezi?
Na wewe kama umetoboa kwa elimu,hakika unaamini bila elimu kutoboa ni ngumu
 
Utakuwa kilaza kwelikweli wewe, You lack exposure or wewe ni mpumbavu
Sawa mimi ni kilaza, tena kilaza kweli kweli!
Lakini wewe tambua tu, mimi ni mjumbe wa 'vilaza' ambao tuko mtaani tukiwa na degree zetu bila ajira au kipato cha kuzitegemea hizo degree. Ni kundi la 'vilaza' lenye kubeba 90% ya wahitimu wa degree wa sasa.
 
Watoto wa maskini hawasomagi hizo course. ..i
 
Degree ni usenge, watoto wengi wa masikini wamewekewa complications za kusoma miaka mingi 2/7/4/2 akimaliza aendelee tena miaka 3 au 4 au 5 muda wote huo watu wanasoma kimasikini na tabu tupu ni usenge tu
 
Hilo ni tatizo la msomi !?
 
Tunarudi pale pale.
Kwa sasa Degree pekee kwa 90% ya wahitimu haina mchango wowote wa kukupa ajira au kipato.

Kumbe mtaani watu wanataka connection na ujuzi mahususi ili utoboe kwenye ajira, sio degree yako.
Hiki kitu kinanifikirisha sana kwa hawa watoto wetu wadogo.... Bila mabadiliko yoyote kwa mwendo huu Huko baadae hali itakuwa mbaya zaidi mara dufu.
 
Mi nakumbuka Advance yote nasoma kichwani kwangu nipate one nikasome udsm sheria.... Baadae six nimemaliza na nina one, kuchekecha akili nikaona law haina ajira useng tu bora nisome education uhakika wa ajira mbeleni ntajua cha kufanya. Ningesoma miaka ya kizazi hiki huenda ningeenda veta maana kusomea ualimu nao pia ni usenge maana hamna ajira.
 
Hivi mfano wa karibu. Watu wanaopelekwa Israel,kujifunza mambo ya kilimo,
1. Hawa watu hawaendi tu hivi hivi. Wanalipwa.
2. Watu hawa hawa, ukija kuangalia,si kwamba kuna vigezo vya kwenda huko,bali connection tu. Ndugu yangu akaonje hela ya serikali.
3. Wakirudi, nani anajua wanakopotelea?
4. Sasa kama wamepelekwa kujiendeleza, af hawana mchango wowote, unategemea huyu huyu ambaye hajafika hata Dar atadai ana uwezo wa kuendelea kilimo?
5. Kwa nini hao wa Israel wasiletwe wakawafikie wenye uhitaji?
6. Ikiwa mifumo ya kiAfrika bado ya kimagumashi,ni ngumu sana.
7. Leo hii Israel inadai inahitaji nguvu kazi kutoka Afrika. Hasa kwenye sekta ya kilimo. Wanalima wakauze nje.
Ni kwamba hayo masoko wanayouza,hayapokei mazao kutoka Afrika?
Je, Israel ina ardhi kubwa na nzuli kuliko ya TZ?
Mfumo wa maisha ndo ulivyo bila kushikana mkono, ni ngumu. Sasa wenye nafasi za kuwapa maisha vijana, wasipotaka, miaka ijayo mtakuta vibaka ni wasomi. Sasa hivi wanaojiuza si wasomi?
 
Fani zipi ndo uhakika mkuu?
Maana tuna walim,famasia huku mtaani pia sijawaona hapo?
 
Hivyo tunarudi pale pale, kwa 90% hakuna tena ulazima wa watu kusoma mpaka chuo kikuu ili kupata degree. Ni kupoteza rasimali tu. Maana mwisho wa siku hupati ajira wala huwezi kutumia degree yako kutengeneza kipato.
Kupoteza muda, pesa
Najuta kabisa Bora waliodisco wakatafuta maisha mengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…