K11
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 3,447
- 11,274
Kuna math, chem na phy kavu bila kuhusisha ualimu, hao hawana dili ila wale wa masomo hayo yaliyoambatana na ualimu wana ajiraHyo mathe ,phys, mbna walimu wanaajiriwa sana wa masomo hayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna math, chem na phy kavu bila kuhusisha ualimu, hao hawana dili ila wale wa masomo hayo yaliyoambatana na ualimu wana ajiraHyo mathe ,phys, mbna walimu wanaajiriwa sana wa masomo hayo.
Hata hizo connection na zenyewe bado. Kila mhusika ana mtu wake ambaye angependa aajiriwe. Hata ukiajiri wenye uzoefu,bado watabaki tu. Ndo maana mtu kaandika kwenye ndinga yake kwamba kusoma sana,uoga wa maishaTaasisi haziajiri wenye uzoefu bali wenye connection.
Unachokisema nakubaliana nacho upando mmoja na mwingine nakataa, kuwa na elimu ya vitendo nijambo moja nakujua kazi nijambo lingine.. Kama unauzoefu wakazi na unajua vizuri kazi hutokosa kibarua Cha kukupa fedha zakujikimu huku ukiwa unaendelea na kutafuta furusa Bora zaidi. Hao unaosema wanaelimu za vitendo za Makaratasi nasio uhalisia wa vitendo.Hakuna cha elimu ya vitendo wala nini ,suala ni kwamba ajira hamna na mitaji na mazingira ni mabovu kitaani kwa hao wahitimu kujiajiri kupitia fani zao .
Mbona kuna lundo la watu wana certificates na diploma zao za technical courses na bado hawana ajira na hawajaweza kujiajiri ?
Hili suala watu wasioelewa uhalisia ndio wataishia kuponda tu ukosefu wa ajira kwa hao wa degree ,
Hao wa diploma na certificates nao mbona wako wanaranda randa kitaa kama machokoraa ?
Uchumi duni wa nchi na fursa kuwa duni ,result ndio hicho mnachokiona
Na hali itaendelea kuwa mbaya tu
Book keepers watahitajika zaidiAccounting really????
Kwa uchache sana, kazi ambazo elimu ya darasa la saba inatosha kabisa kuzifanya ni hizi hapa;Kazi za darasa la Saba ni zipi mkuu
Enzi nasoma udsm B.A Education nilikua na masomo ya Linguistics & Literature. Kuna washikaji zangu nilikua na share nao course za linguistics wao wakisoma B.A Language studies, nilikua najiuliza hawa jamaa kwa nini wasisome tu education wakatembea tu na masomo ya Linguistics & Literature na ajira ni uhakika mbona ni kitu kile kile na ninachosoma mm. Sasa miaka imeenda utakuka mwingine yuko anapgwa tu maisha shida amezitaka mwenyewe.Mtu unaenda Chuo kikuu Kweli eti unasoma Bachelor of History, Linguistic, Geography, Maths in general, Kiswahili...serious?
Yaani mtu unajitapa msomi huku una degree ya Kingereza?
Yaani hiyo ni lugha tu kwa ajili ya kujifunzia masomo mengine yaani mwenzio anajua Kingereza Ili akitumie kujifunzia masuala ya uandisi, madini, sheria, n.k Sasa wewe eti hiyo ndo Elimu yako!
Ebu walimu waelimisheni wanafunzi jmn!
Pole mkuu.Ungekuwa mhitimu wa fani yoyote ya uhandisi ungeamini vizuri mbona ?
Ungekula msoto na kupata first hand experience soon baada ya kugraduate
Hali ni mbaya kwa fani zote ,ni kama soko la ajira lipo kwenye" standstill "mode
Mimi ni mhandisi wa fani moja wapo ya uhandisi ,ila ninafanya issue tofauti kabisa na fani yangu
Degree ni usenge,Jamani hali ni mbaya na tete.
Ukweli usemwe!
Nani anawahitaji tena kwa wingi wao?Book keepers watahitajika zaidi
Vijamaa vosenge visenge ndio vipo kwenye system, kwa hio usishangaeAlaf unakakuta haka kajamaa kanasubiri mshahara laki 6 mwisho wa mwezi.
Halafu kwa kujidanganya na kujitia moyo huenda hao jamaa kipindi hicho walikuwa wanasema, kozi yao ni multipurpose&wide hivyo watakuwa na uwanja mpana wa kuajiriwa popote ikiwemo kwenye ualimu! Sasa baada ya kuhitimu wako hoi, ajira hakuna na kipato hakuna.Enzi nasoma udsm B.A Education nilikua na masomo ya Linguistics & Literature. Kuna washikaji zangu nilikua na share nao course za linguistics wao wakisoma B.A Language studies, nilikua najiuliza hawa jamaa kwa nini wasisome tu education wakatembea tu na masomo ya Linguistics & Literature na ajira ni uhakika mbona ni kitu kile kile na ninachosoma mm. Sasa miaka imeenda utakuka mwingine yuko anapgwa tu maisha shida amezitaka mwenyewe.
Miaka hiyo tunasoma unaambiwa eti ukisoma combination ya Maths na Physics utakuwa rubani. Jamani,waalimu wengine walaaniwe tu. Unaimbishwa vitu visivyo na kichwa wala miguu, basi lenyewe unalipanda kwa nadra,eti utaendesha ndege. Wengine ohhh hii ukimaliza tu,ajira za kumwaga. Daadeki,ukirudi mtaani wauza gongo wanakucheka, wewe unakalia kufua na kunyoosha kwa pasi ya mkaa, mpaka kiatu kina pinda eti unasikilizia.Degree ni usenge,
Makozi ni mengi na ovyo kabisa linapokuja kwenye suala la ajira.Kuna watu course zao hazijatajwa kama ni mbovo lakin wamechokaa mbaya,
kuna yale macourse yenye majina makalilikitajwa mpka unastuka ngoja umalize sasa uone moto
Mbona hujasema mishahara? Biashara zenyewe hazieleweki unatamani na ulionao waende tu home. Hao hao,ukipiga hesabu ya gharama zake kusoma, unajikuta unahitaji vijana wa kulipa tu laki moja. Huyo utamwambia mshahara laki au laki na nusu?Nani anawahitaji tena kwa wingi wao?
Kwa mshahara upi mtu awalipe?
Embu waza tu, ikiwa kwa miaka zaidi ya kumi mfululizo, kila mwaka kuna zaidi ya wahitimu elfu kumi wa accounting wanaingia mtaani kusaka ajira za kuunga unga, ni vipi soko la ajira linaweza kuwabeba hata kama lingekuwa linawahitaji?
Hakika kabisa.Miaka hiyo tunasoma unaambiwa eti ukisoma combination ya Maths na Physics utakuwa rubani. Jamani,waalimu wengine walaaniwe tu. Unaimbishwa vitu visivyo na kichwa wala miguu, basi lenyewe unalipanda kwa nadra,eti utaendesha ndege. Wengine ohhh hii ukimaliza tu,ajira za kumwaga. Daadeki,ukirudi mtaani wauza gongo wanakucheka, wewe unakalia kufua na kunyoosha kwa pasi ya mkaa, mpaka kiatu kina pinda eti unasikilizia.
Degree ni usenge, watoto wengi wa masikini wamewekewa complications za kusoma miaka mingi 2/7/4/2 akimaliza aendelee tena miaka 3 au 4 au 5 muda wote huo watu wanasoma kimasikini na tabu tupu ni usenge tuMiaka hiyo tunasoma unaambiwa eti ukisoma combination ya Maths na Physics utakuwa rubani. Jamani,waalimu wengine walaaniwe tu. Unaimbishwa vitu visivyo na kichwa wala miguu, basi lenyewe unalipanda kwa nadra,eti utaendesha ndege. Wengine ohhh hii ukimaliza tu,ajira za kumwaga. Daadeki,ukirudi mtaani wauza gongo wanakucheka, wewe unakalia kufua na kunyoosha kwa pasi ya mkaa, mpaka kiatu kina pinda eti unasikilizia.
Kwaiyo mwenye degree Hana sifa ya kufanya hizo kaziKwa uchache sana, kazi ambazo elimu ya darasa la saba inatosha kabisa kuzifanya ni hizi hapa;
1. Udereva (boda boda, bajaj, taxi, daladala)
2. Kuosha vyombo vya moto (car washer)
3. Umama/ubaba lishe
4. Kuuza duka
5. Kazi za saloon (kunyoa, kusuka)
6. Kuuza vinywaji (Glocery, bar)
7. Udalali
8. Kulima
9. Umachinga
10. Ufugaji
11. Saidia fundi
12. Vibarua wa ujenzi
13. Kuuza matunda na mboga mboga
14. Utunzaji nyumba (House girl, House boy)
15. Vibarua viwandani
16. Vibarua wa maduka ya wahindi
17. Kazi za ulinzi
18. Kuchezesha play stations
19. Kuonyesha mpira kwenye vibanda umiza
20. Kubeba mizigo (ubagazi)
21. Udobi
22. Uwakala wa pesa (tigo pesa, M-Pesa etc)
23. Kukaanga chips na mishikaki
24. Kuuza nyama kwenye mabucha
25. Kupiga debe
26. Utingo wa mabasi na malori
27. Kucheza show (dancer)
28. Ufundi nguo
29. Ufundi viatu
30. Kuuza nguo, mitumba
Sasa kuna watu ukiwaambia hayo watakwambia wewe ni mzembe, hajajitambua nk ndio maana hujatoboa kwenye ajira kwa kile ulichosomea. Bado hawajajua maisha ni nini.Ungekuwa mhitimu wa fani yoyote ya uhandisi ungeamini vizuri mbona ?
Ungekula msoto na kupata first hand experience soon baada ya kugraduate
Hali ni mbaya kwa fani zote ,ni kama soko la ajira lipo kwenye" standstill "mode
Mimi ni mhandisi wa fani moja wapo ya uhandisi ,ila ninafanya issue tofauti kabisa na fani yangu
Utakuwa kilaza kwelikweli wewe, You lack exposure or wewe ni mpumbavuUkweli usemwe na usemwe wazi ili kila mtu aujue. Wigo wa watanzania kusoma mpaka chuo kikuu ili kupata degree umekuwa mkubwa lakini huo mfumo umekuwa ni hasara na upotevu wa rasimali (muda, pesa na nguvu) kwa 90%.
Ajira mtaani kwa 90% hakuna kwa fani nyingi, ni sawa na kucheza kamili, na elimu ya vyeti vya chuo kikuu haina mchango wowote wa mhitimu wa level ya degree kuweza kujiajiri moja kwa moja. Hapa chini ni baadhi ya fani zinazoangukia kwenye kundi hilo.
1. Public administration
2. Political science
3. Business administration
4. Procurement and supply
5. Human resource
6. Sociology
7. Environment
8. Language
9. Mass communication
10. Tourism
11. Banking
12. Accounting
13. Economy
14. Finance
15. History
16. Insurance
17. Tax
18. Cooperative
19. Marketing
20.
Kama wewe ni mhitimu wa hizo fani kwa miaka ya karibuni utaelewa hicho nilichokiandika, na kama wewe ni mwanafunzi wa hizo fani anza kujiandaa kisaikolojia, hali ni mbaya mtaani. Wahitimu ni wengi na hawana ajira yoyote, wamechoka vibaya, wameshazunguka na mabahasha mpaka soli za viatu kuchakaa, wamejitolea mpaka basi, wameshikiza mpaka wamedondoka na wengi wamekata tamaa kabisa, vyeti vyao wamesahau hata vipo wapi, havina msaada. Bado wanakula, kulala na kutunzwa na wazazi wao, mashemeji au wajomba. Wengine wameamua kujiajiri katika fani zingine ambazo hazina uhusiano wowote wa fani walizosomea na zenye kuhitaji elimu ya darasa la nne tu.
Wajanja wengine wameamua kurudi chuo, hususani kwa ngazi ya Diploma kusoma fani za ualimu au afya ili kuingia kwenye mkondo wa kuja kupata ajira hapo baadaye.
Jamani hali ni mbaya na tete.
Ukweli usemwe!