Kwa sasa Kenya ni nchi ya Kimaskini zaidi kuliko Tanzania, serikali ya Kenya yashindwa kulipa hata mishahara!

Kwa sasa Kenya ni nchi ya Kimaskini zaidi kuliko Tanzania, serikali ya Kenya yashindwa kulipa hata mishahara!

Siku hizi siwasikii tena na kale kamsemo kao wanakokapenda eti tuige ya wakenya.
Wakenya wana maisha magumu sana. Ukitokea Namanga kwenda Nairobi njia nzima kunanuka ufukara ukitazama nyumba zao ambazo nyingi ni za mabati. Ukipita Kitengela ndo unaanza kuona unafuu wakati unaingia town. Huko town kwenyewe kuna magorofa mengi ya watu wachache wanazopangisha apartments. Mkenya wa kawaida kujenga nyumba ni shughuli pevu.
 
Siku hizi siwasikii tena na kale kamsemo kao wanakokapenda eti tuige ya wakenya.
Nilishawahi sema hata ikitokea CHADEMA wameingia madarakani bado kitaendelea kuwa chama kikuu cha upinzani kwasababu hawana uwezo wa kuongoza nchi. Wataendelea kulaumu CCM. Kama ilivyo kwa Ruto hata Zambia Hichilema huwa anawalaumu chama kilichokuwa madarakani na tayari kafeli mambo mengi. Ikitokea hiyo hali basi CCM kitakuwa chama tawala nje ya serikali.
 
Mficha maradhi kifo kitamuumbua, yawahi hayawi sasa yamekuwa, ukweli halisi umeanza kujionyesha huko Kenya, hali ya maisha ni mbaya mnoo, vijijini ukame unawaua, mijijini maisha yanawanyonga na sasa Serikali imeshindwa kulipa hadi mishahara watumishi wake. Kenya kumechoka na kuchakaa balaa.

Rais wa Kenya (William Ruto) amekiri wazi wazi kuwa hali ya kiuchumi kwa wakenya na serikali yao ni tete mnoo, huku akisema serikali yake imezidiwa na madeni yaliyotokana na kukopa kiholela ili kugharamia miradi iliyojaa ufisadi mkubwa kiasi cha kushindwa kuwa na pesa za kulipa mishahara.

Sio hayo tu, zipo sehemu kadhaa (kaunti nyingi) katika Kenya ambapo mbali na kutokuweza kupokea pesa za kulipa mishahara kwa miezi kadhaa pia zimeshindwa kupokea pesa kwa ajili ya kugharamia utoaji wa huduma za Afya na elimu kutoka serikalini. Kwa lugha rahisi na fupi sana, Kenya kwa sasa ni taifa rasmi la kimaskini zaidi katika ukanda wa Afrika mashariki na kati.

Kwa hali ilivyo sasa ni dhihaka kubwa sana kutaka kuilinganisha Kenya na Tanzania, kwa kuwa Tanzania mbali na kuwa kihistoria ni nchi yenye mizizi ya kimaskini (ujamaa!) na tangu kumfukuza mkoloni imekuwa chini ya CCM (chama kinachoukumbatia umaskini) bado haijaweza kupitia vipindi vya umaskini na kufirisika kwa serikali kiasi cha kushindwa kulipa mishahara ya watumishi wake. Kwa sasa kimaskini Kenya imepitiliza.

Kama hali hii ikiendelea kwa muda mrefu kidogo kuna kila dalili kuwa huenda Kenya ikaweka rehani bandari ya Mombasa, viwanja vya ndege na mtandao wa reli ya SGR ili kulipa madeni au kuendelea kukopesheka.
Mkuu usifurahie jirani yako anapougua.
 
Mficha maradhi kifo kitamuumbua, yawahi hayawi sasa yamekuwa, ukweli halisi umeanza kujionyesha huko Kenya, hali ya maisha ni mbaya mnoo, vijijini ukame unawaua, mijijini maisha yanawanyonga na sasa Serikali imeshindwa kulipa hadi mishahara watumishi wake. Kenya kumechoka na kuchakaa balaa.

Rais wa Kenya (William Ruto) amekiri wazi wazi kuwa hali ya kiuchumi kwa wakenya na serikali yao ni tete mnoo, huku akisema serikali yake imezidiwa na madeni yaliyotokana na kukopa kiholela ili kugharamia miradi iliyojaa ufisadi mkubwa kiasi cha kushindwa kuwa na pesa za kulipa mishahara.

Sio hayo tu, zipo sehemu kadhaa (kaunti nyingi) katika Kenya ambapo mbali na kutokuweza kupokea pesa za kulipa mishahara kwa miezi kadhaa pia zimeshindwa kupokea pesa kwa ajili ya kugharamia utoaji wa huduma za Afya na elimu kutoka serikalini. Kwa lugha rahisi na fupi sana, Kenya kwa sasa ni taifa rasmi la kimaskini zaidi katika ukanda wa Afrika mashariki na kati.

Kwa hali ilivyo sasa ni dhihaka kubwa sana kutaka kuilinganisha Kenya na Tanzania, kwa kuwa Tanzania mbali na kuwa kihistoria ni nchi yenye mizizi ya kimaskini (ujamaa!) na tangu kumfukuza mkoloni imekuwa chini ya CCM (chama kinachoukumbatia umaskini) bado haijaweza kupitia vipindi vya umaskini na kufirisika kwa serikali kiasi cha kushindwa kulipa mishahara ya watumishi wake. Kwa sasa kimaskini Kenya imepitiliza.

Kama hali hii ikiendelea kwa muda mrefu kidogo kuna kila dalili kuwa huenda Kenya ikaweka rehani bandari ya Mombasa, viwanja vya ndege na mtandao wa reli ya SGR ili kulipa madeni au kuendelea kukopesheka.
Tanzania ujiandae na hiyo hali muda si mrefu

Ufisadi kwenye Miradi na ukopaji n wa kiwango cha juu
 
Tanzania ujiandae na hiyo hali muda si mrefu

Ufisadi kwenye Miradi na ukopaji n wa kiwango cha juu
Waache wakenue tu ,hii global financial crisis itaexpose kila serikali yenye uvundo , Tanzania soon itaingia huko , kama Nigeria ,Ghana ,Kenya wote hao wana uchumi mkubwa Africa Ila Mbinyo wa uchumi unawanyoosha hii serikali ya Tanzania inayokopa kila siku IMF ili kujiendesha ndio inawapa matumaini na nguvu ya kucheka Kenya ?
Laiti ningejua yanayokuja ndani ya miezi michache ijayo mngelia sana na kupata kichaa kabisa
 
Waache wakenue tu ,hii global financial crisis itaexpose kila serikali yenye uvundo , Tanzania soon itaingia huko , kama Nigeria ,Ghana ,Kenya wote hao wana uchumi mkubwa Africa Ila Mbinyo wa uchumi unawanyoosha hii serikali ya Tanzania inayokopa kila siku IMF ili kujiendesha ndio inawapa matumaini na nguvu ya kucheka Kenya ?
Laiti ningejua yanayokuja ndani ya miezi michache ijayo mngelia sana na kupata kichaa kabisa
Mikopo yetu inaenda kwenye uwekezaji wenye tija na inayoinua uchumi unlike Kenya ambapo mikopo huelekezwa kwe uwekezaji usio na tija na pia nusu ya hela ya mikopo inapotea kwa upigaji na pilferage
 
Wakenya wanajituma kulima na kuuza mirungi, kunywa chang'aa na kupiga siasa za kikabila. Hivyo vitu ni kweli wametuzidi sana, vingine tupo tu sawa, tofauti hakuna.
Sio kweli
 
Back
Top Bottom