Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simu zinaokotwa daily mkuu. Kule Dar mwaka juzi boya mmoja alimuua mkewe. Akakimbia kutoka nyumba Yao ilipo akatupa simu yake na line zake. Dogo mmoja akaiokota akaanza kutumia ikiwa na line zake vilevile! Akanaswa na cops siku nne baadaeUnaokotaje Simu ? Kwamba mtu ameitupa ?; Labda ungesema hivi kwa sasa kununua kitu electronic used ni kujitafutia balaa unless unanunua sehemu inayoeleweka na risiti unapewa.
That is my point unaokotaje Simu ? Tukikuacha na tabia hizo mwisho utaanza kuokota gari na nyumba. Kitu valuable mtu hawezi kukitupa ni kwamba ni kama hivyo ameibiwa au amepoteza hata pesa ukikuta imedondoka ni kwamba mtu ameangusha ila ndio hivyo ni vigumu kuanza kutafuta mmiliki wa kitu ambacho kila mtu anacho na sio unique...Simu zinaokotwa daily mkuu. Kule Dar mwaka juzi boya mmoja alimuua mkewe. Akakimbia kutoka nyumba Yao ilipo akatupa simu yake na line zake. Dogo mmoja akaiokota akaanza kutumia ikiwa na line zake vilevile! Akanaswa na cops siku nne baadae
Hata hela huokoti?Naunga mkono hoja...
mm huwa siokoti chochote kisicho changu nakipita kama sikioni...
Kuna simu zina feature ya kurekodi sura ya mtumiaji kwa siri hiyo inaweza kusaidia kupata ukweli iwapo ilikuwemo na ilikuwa enabledKuna tukio limetokea Kibaha, Kwa Mfipa, familia imevamiwa, wameibiwa vitu ndani ikiwemo na gari, wamechukua na simu za uwakala wamelazimisha wapewe na PIN, wamepewa.
Kama haitoshi wamewafunga kamba mke na mume, wakawaweka kwenye mashimo ya choo tofauti, mtoto wa miezi saba hajulikani yuko wapi. Labda wameondoka nae, au nae wamemuweka shimo tofauti haieleweki. Mungu amuweke salama huko aliko, pole kwa familia.
Sasa najiuliza kama wakiamua kutupa hizo simu kisha mtu akajichanganya kuokota, atakumbana na kesho mbaya sana.
Kwasasa ukiokota simu ni bora uipeleke kituo cha polisi, matukio yamekua mengi na simu ya mhusika ni moja ya trace. Unaweza kudhan umepata kumbe ndio mlango wa gereza unaufungua. Ni hatari sana.
Polisi tena?Kuna tukio limetokea Kibaha, Kwa Mfipa, familia imevamiwa, wameibiwa vitu ndani ikiwemo na gari, wamechukua na simu za uwakala wamelazimisha wapewe na PIN, wamepewa.
Kama haitoshi wamewafunga kamba mke na mume, wakawaweka kwenye mashimo ya choo tofauti, mtoto wa miezi saba hajulikani yuko wapi. Labda wameondoka nae, au nae wamemuweka shimo tofauti haieleweki. Mungu amuweke salama huko aliko, pole kwa familia.
Sasa najiuliza kama wakiamua kutupa hizo simu kisha mtu akajichanganya kuokota, atakumbana na kesho mbaya sana.
Kwasasa ukiokota simu ni bora uipeleke kituo cha polisi, matukio yamekua mengi na simu ya mhusika ni moja ya trace. Unaweza kudhan umepata kumbe ndio mlango wa gereza unaufungua. Ni hatari sana.
Ndio Musk anapambania🥶locate Twende zetu mars hukoDunia imekuwa si mahala salama tena kwa kuishi, binadamu tumegeuka wanyama zaidi ya wanyama wenyewe.
Pole yake asee. Simu so ya kuokota asee.Kuna mwingine kauziwa simu ya mchungaji ambaye alivamiwa akauliwa… jamaa anasota jela aliacha mkewe mjamzito mpk kajifungua yeye hajatoka..!!
Aliyemuuzia hamjui na hajapatikana mpk sasa.!! Hizi tamaa zingine sio nzuri.!
rrKuna tukio limetokea Kibaha, Kwa Mfipa, familia imevamiwa, wameibiwa vitu ndani ikiwemo na gari, wamechukua na simu za uwakala wamelazimisha wapewe na PIN, wamepewa.
Kama haitoshi wamewafunga kamba mke na mume, wakawaweka kwenye mashimo ya choo tofauti, mtoto wa miezi saba hajulikani yuko wapi. Labda wameondoka nae, au nae wamemuweka shimo tofauti haieleweki. Mungu amuweke salama huko aliko, pole kwa familia.
Sasa najiuliza kama wakiamua kutupa hizo simu kisha mtu akajichanganya kuokota, atakumbana na kesho mbaya sana.
Kwasasa ukiokota simu ni bora uipeleke kituo cha polisi, matukio yamekua mengi na simu ya mhusika ni moja ya trace. Unaweza kudhan umepata kumbe ndio mlango wa gereza unaufungua. Ni hatari sana.
Wengine hawana elimu ndio shida. Polisi wangepaswa kutoa elimu.Kuna mwingine kauziwa simu ya mchungaji ambaye alivamiwa akauliwa… jamaa anasota jela aliacha mkewe mjamzito mpk kajifungua yeye hajatoka..!!
Aliyemuuzia hamjui na hajapatikana mpk sasa.!! Hizi tamaa zingine sio nzuri.!
Mkuu hata pesa siokoti....Hata hela huokoti?