Kwa sasa, kuokota simu si bahati tena bali ni balaa

Kwa sasa, kuokota simu si bahati tena bali ni balaa

Unaokotaje Simu ? Kwamba mtu ameitupa ?; Labda ungesema hivi kwa sasa kununua kitu electronic used ni kujitafutia balaa unless unanunua sehemu inayoeleweka na risiti unapewa.
Simu zinaokotwa daily mkuu. Kule Dar mwaka juzi boya mmoja alimuua mkewe. Akakimbia kutoka nyumba Yao ilipo akatupa simu yake na line zake. Dogo mmoja akaiokota akaanza kutumia ikiwa na line zake vilevile! Akanaswa na cops siku nne baadae
 
Simu zinaokotwa daily mkuu. Kule Dar mwaka juzi boya mmoja alimuua mkewe. Akakimbia kutoka nyumba Yao ilipo akatupa simu yake na line zake. Dogo mmoja akaiokota akaanza kutumia ikiwa na line zake vilevile! Akanaswa na cops siku nne baadae
That is my point unaokotaje Simu ? Tukikuacha na tabia hizo mwisho utaanza kuokota gari na nyumba. Kitu valuable mtu hawezi kukitupa ni kwamba ni kama hivyo ameibiwa au amepoteza hata pesa ukikuta imedondoka ni kwamba mtu ameangusha ila ndio hivyo ni vigumu kuanza kutafuta mmiliki wa kitu ambacho kila mtu anacho na sio unique...

Unless unataka kuwa technical as kutumia neno Kuokota (yaani kitu kimeanguka wewe kukichukua / pick it up); na ingekuwa hivyo mleta uzi asingeweka neno bahati.
 
Kuna binti ninayeishi naye siku moja ananiambia “dada naomba charger nichajie simu nimeiokota” Khe! Macho yalinitoka balaa, nikamwambia irudishe ulipoiokota inawezekana mwenye simu kauawa huko, binti akawa hanielewi. Anang’ang’ana hapana ni salama wala hajauawa, nikaona huyu dogo anajiona mjanja, nikahisi atakuwa kapatiwa simu na kivulana huko mtaani. Niliichukua na kwenda kuitupa mwenyewe.

Kwa dunia ya sasa ilivyo siwezi kuokota kitu kinachoweza kuwa tracked.
 
Kuna tukio limetokea Kibaha, Kwa Mfipa, familia imevamiwa, wameibiwa vitu ndani ikiwemo na gari, wamechukua na simu za uwakala wamelazimisha wapewe na PIN, wamepewa.

Kama haitoshi wamewafunga kamba mke na mume, wakawaweka kwenye mashimo ya choo tofauti, mtoto wa miezi saba hajulikani yuko wapi. Labda wameondoka nae, au nae wamemuweka shimo tofauti haieleweki. Mungu amuweke salama huko aliko, pole kwa familia.

Sasa najiuliza kama wakiamua kutupa hizo simu kisha mtu akajichanganya kuokota, atakumbana na kesho mbaya sana.
Kwasasa ukiokota simu ni bora uipeleke kituo cha polisi, matukio yamekua mengi na simu ya mhusika ni moja ya trace. Unaweza kudhan umepata kumbe ndio mlango wa gereza unaufungua. Ni hatari sana.
Kuna simu zina feature ya kurekodi sura ya mtumiaji kwa siri hiyo inaweza kusaidia kupata ukweli iwapo ilikuwemo na ilikuwa enabled
 
Kuna tukio limetokea Kibaha, Kwa Mfipa, familia imevamiwa, wameibiwa vitu ndani ikiwemo na gari, wamechukua na simu za uwakala wamelazimisha wapewe na PIN, wamepewa.

Kama haitoshi wamewafunga kamba mke na mume, wakawaweka kwenye mashimo ya choo tofauti, mtoto wa miezi saba hajulikani yuko wapi. Labda wameondoka nae, au nae wamemuweka shimo tofauti haieleweki. Mungu amuweke salama huko aliko, pole kwa familia.

Sasa najiuliza kama wakiamua kutupa hizo simu kisha mtu akajichanganya kuokota, atakumbana na kesho mbaya sana.
Kwasasa ukiokota simu ni bora uipeleke kituo cha polisi, matukio yamekua mengi na simu ya mhusika ni moja ya trace. Unaweza kudhan umepata kumbe ndio mlango wa gereza unaufungua. Ni hatari sana.
Polisi tena?
Wee usijaribu labda Ulaya ila sio Africa
Ukisema nimeokota utachekwa kwanza halafu yanafuata makofi
 
Kuna mwingine kauziwa simu ya mchungaji ambaye alivamiwa akauliwa… jamaa anasota jela aliacha mkewe mjamzito mpk kajifungua yeye hajatoka..!!

Aliyemuuzia hamjui na hajapatikana mpk sasa.!! Hizi tamaa zingine sio nzuri.!
 
Kuna mwingine kauziwa simu ya mchungaji ambaye alivamiwa akauliwa… jamaa anasota jela aliacha mkewe mjamzito mpk kajifungua yeye hajatoka..!!

Aliyemuuzia hamjui na hajapatikana mpk sasa.!! Hizi tamaa zingine sio nzuri.!
Pole yake asee. Simu so ya kuokota asee.
 
Aseeh Tanzania hii uokote simu afu uipeleke kituoni! Sio lazima kuwa patriotic kiasi hiki wema wako utakuponza-feruzi
Kuna tukio limetokea Kibaha, Kwa Mfipa, familia imevamiwa, wameibiwa vitu ndani ikiwemo na gari, wamechukua na simu za uwakala wamelazimisha wapewe na PIN, wamepewa.

Kama haitoshi wamewafunga kamba mke na mume, wakawaweka kwenye mashimo ya choo tofauti, mtoto wa miezi saba hajulikani yuko wapi. Labda wameondoka nae, au nae wamemuweka shimo tofauti haieleweki. Mungu amuweke salama huko aliko, pole kwa familia.

Sasa najiuliza kama wakiamua kutupa hizo simu kisha mtu akajichanganya kuokota, atakumbana na kesho mbaya sana.
Kwasasa ukiokota simu ni bora uipeleke kituo cha polisi, matukio yamekua mengi na simu ya mhusika ni moja ya trace. Unaweza kudhan umepata kumbe ndio mlango wa gereza unaufungua. Ni hatari sana.
rr
 
Kuna mwingine kauziwa simu ya mchungaji ambaye alivamiwa akauliwa… jamaa anasota jela aliacha mkewe mjamzito mpk kajifungua yeye hajatoka..!!

Aliyemuuzia hamjui na hajapatikana mpk sasa.!! Hizi tamaa zingine sio nzuri.!
Wengine hawana elimu ndio shida. Polisi wangepaswa kutoa elimu.
 
Back
Top Bottom