BRAZA CHOGO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 761
- 1,984
Jamooniii....Kuna mwingine kauziwa simu ya mchungaji ambaye alivamiwa akauliwa… jamaa anasota jela aliacha mkewe mjamzito mpk kajifungua yeye hajatoka..!!
Aliyemuuzia hamjui na hajapatikana mpk sasa.!! Hizi tamaa zingine sio nzuri.!
Simu zote tuu zinaturekodi kwa siri, we unajua hiyo camera ya mbele hapo ina kazi gani?Kuna simu zina feature ya kurekodi sura ya mtumiaji kwa siri
Hako ni kaunafiki kanakutesaMkuu hata pesa siokoti....
Mkuu sina namna ya kuprove nilichokisema hapa... lakini huu ndo ukweli.... chochote kisicho changu sichukui aisee..Hako ni kaunafiki kanakutesa
ChaiPolisi wa Tanzania wavivu sana katika kufanya upelelezi na huwa hawatumii reasonable thinking,me kuna jamaa yangu alikaa mahabusu mwaka mzima sababu ya vocha iliyotumika.
Kuna Kijana huku aliletewa simu auziwe wakakubaliana elfu sabini, Smartphone. Jamaa akainunua kwakuwa ana uhitaji na hakuwa na kiasi cha kutosha kumudu kuchukua dukani.Upo sahihi mkuu, kuna jamaa huko migombani alijiokotea simu smartphone akajua amepata kumbe kapatikana. Ile simu kuna tukio la wizi lilitokea na mwenye simu alijeruhiwa vibaya hali iliyopelekea kupoteza maisha siku chache baadae.
Ile simu ikafuatiliwa baada ya miezi 6 ya tukio kutokea wakamkuta nayo alieiokota, kufupisha kwa sasa yupo jela.
🤣😆Unafikiri umenunua simu, kumbe umejiwekea TRACKING DEVICE.
Inauma sana mtoto mchanga wa miezi saba anachukuliwa na hao wavamiziKuna tukio limetokea Kibaha, Kwa Mfipa, familia imevamiwa, wameibiwa vitu ndani ikiwemo na gari, wamechukua na simu za uwakala wamelazimisha wapewe na PIN, wamepewa.
Kama haitoshi wamewafunga kamba mke na mume, wakawaweka kwenye mashimo ya choo tofauti, mtoto wa miezi saba hajulikani yuko wapi. Labda wameondoka nae, au nae wamemuweka shimo tofauti haieleweki. Mungu amuweke salama huko aliko, pole kwa familia.
Sasa najiuliza kama wakiamua kutupa hizo simu kisha mtu akajichanganya kuokota, atakumbana na kesho mbaya sana.
Kwasasa ukiokota simu ni bora uipeleke kituo cha polisi, matukio yamekuwa mengi na simu ya mhusika ni moja ya trace. Unaweza kudhani umepata kumbe ndio mlango wa gereza unaufungua.
Ni hatari sana.
Ushauri mzuri sana!Kuna tukio limetokea Kibaha, Kwa Mfipa, familia imevamiwa, wameibiwa vitu ndani ikiwemo na gari, wamechukua na simu za uwakala wamelazimisha wapewe na PIN, wamepewa.
Kama haitoshi wamewafunga kamba mke na mume, wakawaweka kwenye mashimo ya choo tofauti, mtoto wa miezi saba hajulikani yuko wapi. Labda wameondoka nae, au nae wamemuweka shimo tofauti haieleweki. Mungu amuweke salama huko aliko, pole kwa familia.
Sasa najiuliza kama wakiamua kutupa hizo simu kisha mtu akajichanganya kuokota, atakumbana na kesho mbaya sana.
Kwasasa ukiokota simu ni bora uipeleke kituo cha polisi, matukio yamekuwa mengi na simu ya mhusika ni moja ya trace. Unaweza kudhani umepata kumbe ndio mlango wa gereza unaufungua.
Ni hatari sana.
Ni kuiacha ioze tuu,Bora uipeleke kwa fundi iuzwe kama scrap!Ni bora kuikimbia simu iliyolekezwa kuliko haya ya kuipeleka polisi.
Muhimu ni kuiacha kama ulivyoikuta. Hata usiiguse.Kwasasa ukiokota simu ni bora uipeleke kituo cha polisi, matukio yamekua mengi na simu ya mhusika ni moja ya trace. Unaweza kudhan umepata kumbe ndio mlango wa gereza unaufungua. Ni hatari sana....
Never ever usije ukajaribu hilo kosa..unaweza kuangushiwa jumba bovu