Kwa sasa Mbowe hataki kusumbuliwa kuhusu suala la Slaa na fedha za shughuli ndani ya chama. Hii ni changamoto kubwa CHADEMA

Kwa sasa Mbowe hataki kusumbuliwa kuhusu suala la Slaa na fedha za shughuli ndani ya chama. Hii ni changamoto kubwa CHADEMA

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Sina shida na Lissu nasubiri kwa hamu kuona uongozi wake, najua kuna mahali atafanya vizuri lakini kuna masuala kama vile mafekeche ya kuendesha chama na jinsi ya kuyapata. Hii ni changamoto kubwa kwa uongozi wa CHADEMA kwa sasa.

Uongozi wa CHADEMA unahitaji kutafuta vyanzo vya uhakika vya mapato. Mipango ni mingi kuhakikisha CDM hakipati wabunge wa kutosha ili chama kiwe dhaifu. Mheshimiwa Mbowe alikibeba chama kama mtoto wake mpendwa lakini sasa hapendi kusumbuliwa kwa suala la fedha kwani amepoteza mabilioni na sasa anajikita zaidi kufafuta mafekeche ya kutosha kama alivyosema katika hotuba yake ya kumaliza ngwe yake.

Dr. Slaa anajipigania mwenyewe huko alipo. Hakuna tena ile nguvu ya diplomacy ya Bwana Mbowe. Na hadi sasa hakuna dadili hata ya maandamano ya mshikamano, mwezi unakwisha tangu uongozi mpya kushika hatamu wana CHADEMA wanasubiri kuoneshwa njia.

Ila naomba msimwache Lissu peke yake kama mlivyofanya kwa Mbowe, hali itakuwa mbaya. Kazi ipo.
 
Hii ni changamoto kubwa kwa uongozi wa CDM. Mnahitaji kutafuta vyanzo vya uhakika vya mapato. Mipango ni mingi kuhakikisha CDM hakipati wabunge wa kutosha ili chama kiwe dhaifu. Mheshimiwa Mbowe alikibebe chama kama mtoto wake mpendwa lakini sasa hapendi kusumbuliwa kwa suala la fedha kwani amepoteza mabilioni na sasa anajikitia zaidi kufafuta mafekeche ya kutosha kama alivyosema katika hotuba yake ya kumaliza ngwe yake.

Dr. Slaa anajipigania mwenyewe huko alipo. Hakuna tena ile nguvu ya diplomacy ya Bwana Mbowe. Na hadi sasa hakuna dadili hata ya maandamano ya mshikamano, mwezi unakwisha tangu uongozi mpya kushika hatamu wana CDM wanasubiri kuoneshwa njia. Kazi ipo.
Bado chawa wa Mbowe mnaomboleza tu? Chadema ipo tena ipo sana.
 
Bado chawa wa Mbowe mnaomboleza tu? Chadema ipo tena ipo sana.
Simpingi Lissu, ila najua jambo moja: Lissu sio practical, unaelewa? Hana ujanja wa kutafuta mafekeche na hili litamfanya abaki akibwabwaja tu bila effect yoyote. Kuna changamoto kubwa hapo mtaona vizuri jambo hili hapo baadaye.
 
Hii ni changamoto kubwa kwa uongozi wa CDM. Mnahitaji kutafuta vyanzo vya uhakika vya mapato. Mipango ni mingi kuhakikisha CDM hakipati wabunge wa kutosha ili chama kiwe dhaifu. Mheshimiwa Mbowe alikibebe chama kama mtoto wake mpendwa lakini sasa hapendi kusumbuliwa kwa suala la fedha kwani amepoteza mabilioni na sasa anajikitia zaidi kufafuta mafekeche ya kutosha kama alivyosema katika hotuba yake ya kumaliza ngwe yake.

Dr. Slaa anajipigania mwenyewe huko alipo. Hakuna tena ile nguvu ya diplomacy ya Bwana Mbowe. Na hadi sasa hakuna dadili hata ya maandamano ya mshikamano, mwezi unakwisha tangu uongozi mpya kushika hatamu wana CDM wanasubiri kuoneshwa njia. Kazi ipo.
Slaa ni ccm. Ndo walimtunuku hadhi maalumu ya ubalozi!
Wasimuache apotee
 
Simpingi Lissu, ila najua jambo moja: Lissu sio practical, unaelewa? Hana ujanja wa kutafuta mafekeche na hili litamfanya abaki akibwabwaja tu bila effect yoyote. Kuna changamoto kubwa hapo mtaona vizuri jambo hili hapo baadaye.
Kwani umeambiwa kuna mkwamo hadi sasa?
 
Hii ni changamoto kubwa kwa uongozi wa CDM. Mnahitaji kutafuta vyanzo vya uhakika vya mapato. Mipango ni mingi kuhakikisha CDM hakipati wabunge wa kutosha ili chama kiwe dhaifu. Mheshimiwa Mbowe alikibebe chama kama mtoto wake mpendwa lakini sasa hapendi kusumbuliwa kwa suala la fedha kwani amepoteza mabilioni na sasa anajikitia zaidi kufafuta mafekeche ya kutosha kama alivyosema katika hotuba yake ya kumaliza ngwe yake.

Dr. Slaa anajipigania mwenyewe huko alipo. Hakuna tena ile nguvu ya diplomacy ya Bwana Mbowe. Na hadi sasa hakuna dadili hata ya maandamano ya mshikamano, mwezi unakwisha tangu uongozi mpya kushika hatamu wana CDM wanasubiri kuoneshwa njia. Kazi ipo.
binafsi, mbowe sitaki hata kumsikia tu kwenye siasa. labda ajiunge tu na sisiemu. atoke kabisa.
 
Simpingi Lissu, ila najua jambo moja: Lissu sio practical, unaelewa? Hana ujanja wa kutafuta mafekeche na hili litamfanya abaki akibwabwaja tu bila effect yoyote. Kuna changamoto kubwa hapo mtaona vizuri jambo hili hapo baadaye.
Machawa wa Ayatolah Freeman Alkaeli Mbowe kubalini kushindwa mkae mtulie dawa iwaingie.

Mnataka Lissu atumie janja janja kama ya Mbowe ya mchana kula Chadema usiku kulala CCM?

Tulieni dawa iwaingie.
 
Hii ni changamoto kubwa kwa uongozi wa CDM. Mnahitaji kutafuta vyanzo vya uhakika vya mapato. Mipango ni mingi kuhakikisha CDM hakipati wabunge wa kutosha ili chama kiwe dhaifu. Mheshimiwa Mbowe alikibebe chama kama mtoto wake mpendwa lakini sasa hapendi kusumbuliwa kwa suala la fedha kwani amepoteza mabilioni na sasa anajikitia zaidi kufafuta mafekeche ya kutosha kama alivyosema katika hotuba yake ya kumaliza ngwe yake.

Dr. Slaa anajipigania mwenyewe huko alipo. Hakuna tena ile nguvu ya diplomacy ya Bwana Mbowe. Na hadi sasa hakuna dadili hata ya maandamano ya mshikamano, mwezi unakwisha tangu uongozi mpya kushika hatamu wana CDM wanasubiri kuoneshwa njia. Kazi ipo.
ni muhimu sana kua wastahimilivu na wenye subra na kutoa nafasi kwa wenye dhamana kujipanga vizuri,

uongozi ni kujipanga vizuri kabla ya kuonyesha njia gentleman,
hakuna haja ya kuweweseka,

Mzee slaa ni laana ndio inamtesa hakuna haja kusingizia watu ati hawampambania wakati ana mawakili elfu1 na hawana la kufanya 🐒
 
Hii ni changamoto kubwa kwa uongozi wa CDM. Mnahitaji kutafuta vyanzo vya uhakika vya mapato. Mipango ni mingi kuhakikisha CDM hakipati wabunge wa kutosha ili chama kiwe dhaifu. Mheshimiwa Mbowe alikibebe chama kama mtoto wake mpendwa lakini sasa hapendi kusumbuliwa kwa suala la fedha kwani amepoteza mabilioni na sasa anajikitia zaidi kufafuta mafekeche ya kutosha kama alivyosema katika hotuba yake ya kumaliza ngwe yake.

Dr. Slaa anajipigania mwenyewe huko alipo. Hakuna tena ile nguvu ya diplomacy ya Bwana Mbowe. Na hadi sasa hakuna dadili hata ya maandamano ya mshikamano, mwezi unakwisha tangu uongozi mpya kushika hatamu wana CDM wanasubiri kuoneshwa njia. Kazi ipo.
Bado una hangover ya uchaguzi. Mbowe ameshindwa kihalali. Kama alikuwa anapoteza hela zake ni muda muafaka atumie hela zake kwenye maisha yake. Usimpe sifa asizokuwa nazo.
 
Zitoke wapi, ruzuku ni kiduchu sana. Lazima pawe na watu wa kumsaidia sana Lissu upande huo, Lissu hana sana skills za kutafuta mafekeche.
Lisu sio meneja wa bank na wala hauzi unga. Chama ni cha wanachama na sio cha tajiri fulani. Kama wanachama wakishindwa kukichangia sio kosa la Lisu. Lakini usitegemee watu watakaa wanategemea pesa za mtu mmoja, eti tu kwa kuwa siku za nyuma kuna mtu alifanya hivyo. Kila zama na kitabu chake, jifunzeni kukubali mabadiliko.
 
Hii ni changamoto kubwa kwa uongozi wa CDM. Mnahitaji kutafuta vyanzo vya uhakika vya mapato. Mipango ni mingi kuhakikisha CDM hakipati wabunge wa kutosha ili chama kiwe dhaifu. Mheshimiwa Mbowe alikibebe chama kama mtoto wake mpendwa lakini sasa hapendi kusumbuliwa kwa suala la fedha kwani amepoteza mabilioni na sasa anajikitia zaidi kufafuta mafekeche ya kutosha kama alivyosema katika hotuba yake ya kumaliza ngwe yake.

Dr. Slaa anajipigania mwenyewe huko alipo. Hakuna tena ile nguvu ya diplomacy ya Bwana Mbowe. Na hadi sasa hakuna dadili hata ya maandamano ya mshikamano, mwezi unakwisha tangu uongozi mpya kushika hatamu wana CDM wanasubiri kuoneshwa njia. Kazi ipo.
Slaa ni laana ya kuikana nadhiri aliyoweka mbele ya madhabau inamtafuna wala sio mambo ya diplomasia mana ana mawakili lukuki tena ni mawakili wabobezi.
 
Back
Top Bottom