Kwa sasa nchi nzima iko chini ya udhibiti wa dola, iwe baa ya nyota tano au kilabu cha komoni na chibuku, kijiwe cha boda,.gesti, wako kila kona

Samia ameshindwa sana.
 
Ndio ni muhimu Kwa Ajili ya kudhibiti wakorofi wote
 
Si kitu cha kushangaza! Wala hayo hayakuanza leo.
Ndiyo sifa ya Serikali yo yote duniani ya kidikteta.
Kutojiamini!
 
Dola ni maroboti au watu kama sisi?
Kuteka na kuua watu siyo threat
Kupiga kelele dhidi ya utekaji na uuaji wa raia ni tishio la amani

Polisi wanahakikisha utekaji na uuaji wa raia unafanyika kwa amani na haturuhusiwi kulalamika
Eti kulalamikaπŸ˜ƒ Kwa hiyo mmepanga maandamano ya kulalamika, bure kabisa. Muulizeni Mbowe vizuri, ni mpango wake wa kuzoa mabwege awazunguushe mitaani
 
Eti kulalamikaπŸ˜ƒ Kwa hiyo mmepanga maandamano ya kulalamika, bure kabisa. Muulizeni Mbowe vizuri, ni mpango wake wa kuzoa mabwege awazunguushe mitaani
Haramu ya maandamano imekatazwa wapi ktk Katiba?
 
chawa anaweza kuwa mmoja ila anaweza onekana kama ana meno buku.
 
Venye unaongea hujui hata unaongea nn πŸ˜„ ndo maana nasema hii nchi naweza support kama serikali ni ya kijeshi tu maana serikali za kiraia zingine za vibaraka zingine wapigaji tu kuna watoto hawana ada za shule vijijini huko hata uwape 10,000 wqnaona maisha ndo washajipata ila kuna timu zinapokea mamilion kushinda magoal inaumuhimu upi kama ni motivation mbna daily simba na yanga wapo wap azam na coastal? Hazijawqmotivate kwan? Kwann wasipangie hizo pesa per win inauma vijana wako mitaani wanatapatapa kuna watu wako wanagusa kodi za raia kizembe for on my way to Burkina Faso
 
Take my words, ni full scale police state, kwani hujui mamlaka wanaweza kuwasha kamera nq maiki ya simu yako hata kama umeizima?

Au wanaweza kuchora ramani ya mizunguko yako ya siku nzima kupitia simu yako?
Wachore waandike Sisi nasi tuna akili kuwa Sisi. Msitufanye wajinga
Maandamano nchi nzima hahahhh Wajinga ndio waliwao
Mmekuja darisalama sie tumerudi mikoani mpaka tuelewane tu.

Mwezi mzima ujue mrefu.
Mwenyekiti uko vizuri
Waache waandamane wao dari salama dammitt!
 
Matumizi mabaya ya akili, na matumizi sahihi ya Nguvu kwakua hawajawahi kutumia Akili.

Uhai wa Binadamu sio mnyama, ukishaua kubali kupigwa Kila Kona .

Mzee Kibao ,kachukuliwa na Jeshi la Polisi, kauwawa na Jeshi la Polisi.
Rip chacha wangwe
 
weka ugoko ukutane na chuma!
hii ni kwa wale wenye D 3 tu.
 
Alinacha…. Keyboard warriors huwa mna mikwara sana….. kwa ground ni tofauti
 
Uzuri wa uzi kama huu, unawezesha kupima kiwango cha ujinga hata kwa watu unaofikiri kuwa ni watu makini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…