Wakuu ni ukweli usiopingika kua ngono kwa sasa imepungua kidogo mvuto ajili ya urahisi wa upatikanaji wake, zamani ule ugum wa upatikanaji wake ulilifanya tendo la ngono kua la pekee sana na hata lilipofanyika mwili ulibaki na feedback ya tendo lile ndani ya siku2-3 tofauti na sasa ambapo mda mfupi baada ya tendo wahusika husahau kila kitu.
Je, kwa mtizamo wako ni kipi kifanyike kurejesha huo mvuto ulopungua?
Je, kwa mtizamo wako ni kipi kifanyike kurejesha huo mvuto ulopungua?