Kwa sasa ngono imepungua mvuto

Kwa sasa ngono imepungua mvuto

[emoji23]we jamaa bana,hii ndio comment bora ya siku ya Leo
Thanks. Unajua mara nyingi tunakosea...tunasema zamani ilikuwa hivi ilikuwa vile...bila kuangalia mabadiliko ambayo sisi tumeyapata. Mtu aliyeanza kula nyuchi kuanzia 1990, excitement yange huwezi kulinganisha na aliye anza kula nyuchi 2019.
 
Kula vizuri ,tanya mazoez kunywa maji mengi punguza au acha puri. ile kitu haichoshi rasta
 
Iwhevw8wvw
laiti ungetulizana nadhani ungeandika vizuri ukaeleweka mkuu
Iwhevw8wvwctaiwbegehevey wiwgwv27wywvef wuey2v2c38egve2iu3v3ueheuev3 wieh3cwgoehe8whauahhhwu8eevejwow

Tiari.
 
Mkuu uhalisia wa jambo bila ya kuwepo utafiti wa kina!?
mkuu utafiti gani unaoutaka? shida kubwa yetu waafrika huamin zaidi tafiti za wazungu as if zinatoka mbinguni akati nao wanazifanya kwa kutumia akili kama sisi tu
 
Sio imepungua vitu iko vilevile sema umekua Sasa na nguvu za kiume zimepungua na aliyekwambia zilikuwa hazipatikani Nani, hapa duniani hamna jipya yote ya zamani tangia Mambo ya sodoma mpaka leo, so nothing new Ni vile tecnologia imekua basi
Sio kwa post hii
Noma sana
 
naunga mkono hoja zamni nikiwa mdogo kuna demu alikuwa anagawa tako anavaa shanga mguuuni gari zilikuwa zinatoka mbali zinapanga hadi foleni watu wanamfukuzia ikawa story kwamba anafanya mambo ya mombasa watu wanamshangaa
leo nani anashangaa issue za mpalange,sex imekuwa cheap,week iliyopita niko bar jamaa na mwanamke wameingia chooni wakafanya yao wamerudi kwenye meza mwanamke story kama zote wala hajali
zamani angeona aibu hata angekimbia eneo hilo,leo mtu kutembea na mama,binti,shangazi,ma mdogo bibi siyo ajabu na wote wanajuana ili mradi wanapewa hela
 
Sasa utahitimishaje kwa maneno tu kwamba ngono siku hizi imekosa mvuto wakati huna concrete evidence to support your argument?

Akija mwingine naye hana utafiti akisema siku hizi mvuto wa ngono umeongezeka sana. Nani wa kumuamini katika hawa wawili wenye mahitimisho tofauti? 😳😳😳😳

mkuu utafiti gani unaoutaka? shida kubwa yetu waafrika huamin zaidi tafiti za wazungu as if zinatoka mbinguni akati nao wanazifanya kwa kutumia akili kama sisi tu
 
Sasa utahitimishaje kwa maneno tu kwamba ngono siku hizi imekosa mvuto wakati huna concrete evidence to support your argument?

Akija mwingine naye hana utafiti akisema siku hizi mvuto wa ngono umeongezeka sana. Nani wa kumuamini katika hawa wawili wenye mahitimisho tofauti?
mkuu mbona tafiti nyingi tu zenye mahitimisho hupingwa? kukinzana kwa mitizamo ni nature ya ubinadam ambayo huchochea ham yakujua zaidi.
 
Tafiti hupingwa kwa TAFITI Mkuu si kwa maneno matupu. Katika Nchi yenye idadi ya watu inayokaribia milioni 60 huwezi ukatoa hitimisho bila kutuonyesha utafiti wako uliufanya lini na katika mikoa ipi na ukubwa wa sample yako ulikuwa upi. Vinginevyo hitimisho lako halina nguvu yeyote ile ya kukubaliwa.

mkuu mbona tafiti nyingi tu zenye mahitimisho hupingwa? kukinzana kwa mitizamo ni nature ya ubinadam ambayo huchochea ham yakujua zaidi.
 
mkuu huu ni mtizamo wako japo hauakisi uhalisia, yaani siku za nyuma ke unampeleka gheto bt kuja kula mzigo inakua shughuli bt saivi mkifika tu anachanua shughuli inaendelea, mi kwa jicho langu naona kabisa kuna mvuto umepungua.
Kwa ulivyoandika tu ,naweza kadiria umri wako ni 50's kelekea 60 hapo kwanza testosterone imeshuka kwa kiwango kikubwa mno ushauri wangu tulia na bi mkubwa hapo home
 
naunga mkono hoja zamni nikiwa mdogo kuna demu alikuwa anagawa tako anavaa shanga mguuuni gari zilikuwa zinatoka mbali zinapanga hadi foleni watu wanamfukuzia ikawa story kwamba anafanya mambo ya mombasa watu wanamshangaa
leo nani anashangaa issue za mpalange,sex imekuwa cheap,week iliyopita niko bar jamaa na mwanamke wameingia chooni wakafanya yao wamerudi kwenye meza mwanamke story kama zote wala hajali
zamani angeona aibu hata angekimbia eneo hilo,leo mtu kutembea na mama,binti,shangazi,ma mdogo bibi siyo ajabu na wote wanajuana ili mradi wanapewa hela
right, ucheap wa ngono ndo umeifanya ipungue mvuto japo wengine wanapnga
 
Tafiti hupingwa kwa TAFITI Mkuu si kwa maneno matupu. Katika Nchi yenye idadi ya watu inayokaribia milioni 60 huwezi ukatoa hitimisho bila kutuonyesha utafiti wako uliufanya lini na katika mikoa ipi na ukubwa wa sample yako ulikuwa upi. Vinginevyo hitimisho lako halina nguvu yeyote ile ya kukubaliwa.
mkuu hata utafiti ni maneno, bora hata ungenambia sijafuata procedure hadi nikapata hitimisho, pia mimi sijafanya utafiti wa kitaaluma ambao unahitaji process yakufuata procedure, mi nimefanya local research na nikaamua kushare hapa kama mtizamo
 
Back
Top Bottom