Kwa sasa ngono imepungua mvuto

Kwa sasa ngono imepungua mvuto

Delay the act.,if its the first time

Minimize frequency.,if it happens mara kwa mara,
Let ur partner miss you...

fanya ishu zingine...
Let ur body burn first.,tension yake hapo mkipunguziana stress mtapenda.,
mkuu andika kimagufuli, hichi kimalkia hatuambulii kabisa
 
mkuu huu ni mtizamo wako japo hauakisi uhalisia, yaani siku za nyuma ke unampeleka gheto bt kuja kula mzigo inakua shughuli bt saivi mkifika tu anachanua shughuli inaendelea, mi kwa jicho langu naona kabisa kuna mvuto umepungua.
siku hizi kwa siku unaweza kuzichakata hata tatu
 
Wakuu ni ukweli usiopingika kua ngono kwa sasa imepungua kidogo mvuto ajili ya urahisi wa upatikanaji wake, zamani ule ugum wa upatikanaji wake ulilifanya tendo la ngono kua la pekee sana na hata lilipofanyika mwili ulibaki na feedback ya tendo lile ndani ya siku2-3 tofauti na sasa ambapo mda mfupi baada ya tendo wahusika husahau kila kitu.

Je, kwa mtizamo wako ni kipi kifanyike kurejesha huo mvuto ulopungua?

Tuombe Mzunguko wa pesa urudi uone hamu ya tendo itavyorudi kwa kasi. Unadindaje wakati ofisinu kaz hamna matumizi yako pale pale
 
Mmekosa maarifa vijana...sasa kama wanawake wengi wamerahisika nawewe ndo unataka ushindane na nyuchi mbaka unazikinai unalalama tendo halina radha!!!

Kwann usijiheshimu ukatunza afya na dudu yako mbaka utapopata mwenzi wa maisha???
Tafuta kazi ikuweke busy uache kutumika ovyo, kutwa mnaulizia alkasusu kwanini msipoteze radha ya kuduu
Mda ote mnachek porn mnadhani movie za kihindi zile!! Na badooo uo mwanzo tuu.
Mkija shtuka mmebaki na kifutio
 
Back
Top Bottom