The king mswati
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 787
- 825
Well saidTubuni na kuiamini injili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well saidTubuni na kuiamini injili
mkuu andika kimagufuli, hichi kimalkia hatuambulii kabisaDelay the act.,if its the first time
Minimize frequency.,if it happens mara kwa mara,
Let ur partner miss you...
fanya ishu zingine...
Let ur body burn first.,tension yake hapo mkipunguziana stress mtapenda.,
siku hizi kwa siku unaweza kuzichakata hata tatumkuu huu ni mtizamo wako japo hauakisi uhalisia, yaani siku za nyuma ke unampeleka gheto bt kuja kula mzigo inakua shughuli bt saivi mkifika tu anachanua shughuli inaendelea, mi kwa jicho langu naona kabisa kuna mvuto umepungua.
hata 10 ni maamuz yako tusiku hizi kwa siku unaweza kuzichakata hata tatu
Tuwaulize wa zamanimkuu ya vichakani inanoga kweli?
mi nilidhan umejibu vile coz una experience naloTuwaulize wa zamani
Wakuu ni ukweli usiopingika kua ngono kwa sasa imepungua kidogo mvuto ajili ya urahisi wa upatikanaji wake, zamani ule ugum wa upatikanaji wake ulilifanya tendo la ngono kua la pekee sana na hata lilipofanyika mwili ulibaki na feedback ya tendo lile ndani ya siku2-3 tofauti na sasa ambapo mda mfupi baada ya tendo wahusika husahau kila kitu.
Je, kwa mtizamo wako ni kipi kifanyike kurejesha huo mvuto ulopungua?
Hapana mkuu sijawahi kupitia hilomi nilidhan umejibu vile coz una experience nalo
hayaHapana mkuu sijawahi kupitia hilo