Kwa sasa shahada si kitu tena, tutafuta namna nyingine ya kuokoa vijana

Kwa sasa shahada si kitu tena, tutafuta namna nyingine ya kuokoa vijana

Pain killer

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
14,361
Reaction score
21,680
Nimekutana na mtu ana Masters anaomba uReceptionist. Nilijisikia vby sana, I got into deep thoughts. Sawa sina mtoto lkn nilijiweka ktk position ya mzazi. Unamsomesha mwanao quality schools mpk anachukua degree na MBA nje ya Africa. Then anarudi Bongo kuwa Receptionist wa 400K. Imagine wewe ni mzazi [emoji24]

Leo hii degree holder kupata kazi ya kuhudumia restaurant, kuuza duka, kufungulia walevi bia nk ni kama bahati. Imekua sawa na kupata kazi serikalini miaka ya 90. Zama zimebadilika sana, mambo mengi yamekua tofauti sn (out of order). Wasomi wanadhalilika mitaani, wanakimbizwa kimaisha na laymen. Unakuta fundi selemala anapiga vi-gig viwili vitatu kwa mwezi analala na 400K. Ila wasomi wanalala njaa.

Kosa lilianza na mfumo kutuaminisha kua ukisoma sana, ukafaulu vizuri, utaajiriwa ofisi kubwa then maisha yako yatakua safi. Mfumo ukawalisha huu utopolo wazazi wetu, nao wakatushikia fimbo, mikanda, ndala, mwiko nk ili tusome kwa bidii, tuje kuwa ahead of others. Ila huu mfumo haukua transparent enough kutupa angalizo kuwa rate ya kuzalisha wasomi ni inversely propositional to rate ya kuzalisha hizo ofisi kubwa na kazi nzuri.

Ndio maana leo hii dada zetu wasomi wamekua cheap sn, they walk with price tags on their waists, ni wewe tu na dau lako. Wakaka wasomi wamekua sycophants, kazi yao ni kulamba lamba miguu ya wanaume wanzao, uchawa na tunaelekea kuona vjn wengi wakiwa bootylickers. Worse enough, bado ukienda YouTube utakutana na mtu anapost video "How to write CV like casanova" na anapata viewers laki 1.

Nilikua nategemea contents kama:
1. Jinsi ya kuanza biashara ya uuzaji wa mazao
2. Jinsi ya kuanza biashara ndogo bila mtaji wwt
3. Njia ya uhakika ya kijana wa kiTZ kuingiza 1M kwa mwezi
4. Jinsi ya kujiajiri na kuingiza pesa mtandaoni
5. Biashara 10 unazoweza kuzifanya kwa mtaji wa laki 3.

Leo 2021 msoto upo hivi na bado vyuo zaidi ya 50 hapa TZ vinafyatua wasomi kila mwaka, imagine 2030 itakuaje. Kutakua na wasomi wamemaliza chuo 2017 lkn hadi 2030 hawajawahi kuitwa kwenye interview. Zama zimebadilika mno; elimu ikupe ukombozi wa kifikra sio ukombozi wa kimakaratasi (certificates).
 
Cha ajabu nini?

Ana vyeti feki au tatizo over qualification?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi ngoja nikomae tu na forex

Nikifikisha mtaji wa $5000 kwenye account yangu, nitakuwa na uhakika wa kulaza $50 au laki 1 kila siku.

Acha wasomi waendelee kubukua vitabu.
 
Mimi naanza na mwanangu kwakweli.

Sitaki aamini vitu visivyokuwepo.

Maisha safi na usomi ni vitu vinavyohusiana, ila sio lazima kwenda pamoja.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi ngoja nikomae tu na forex,

Nikifikisha mtaji wa $5000 kwenye account yangu, nitakuwa na uhakika wa kulaza $50 au laki 1 kila siku.

Acha wasomi waendelee kubukua vitabu.
.
-m22skh.jpg
 
Mungu asimame na vijana, serikali inatengeneza Bomu, time will tell

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Mkuu hii ishu ni ya dunia nzima tena sasa hivi hali itakuwa mbaya zaidi baada ya corona kufanya yake.

Kuna watu kama 2 huku niliko walikuwa wanafanya kazi za utalii huko Arusha, aisee sasa hivi utawaonea huruma kwa jinsi wanavyo haha.
 
Mkuu hii ishu ni ya dunia nzima tena sasa hivi hali itakuwa mbaya zaidi baada ya corona kufanya yake.

Kuna watu kama 2 huku niliko walikuwa wanafanya kazi za utalii huko Arusha, aisee sasa hivi utawaonea huruma kwa jinsi wanavyo haha.
Tz imezidi Sera mbovu, kazi kununua ndege hata sindano tunashindwa kutengeneza

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
KAMA UNAMAONO HAYO PIA SHAURI NINI KIFANYIKE SIO KUPONDA TUU
 
Nimekutana na mtu ana Masters anaomba uReceptionist. Nilijisikia vby sana, I got into deep thoughts... sawa sina mtoto lkn nilijiweka ktk position ya mzazi. Unamsomesha mwanao quality schools mpk anachukua degree na MBA nje ya Africa... Then anarudi Bongo kuwa Receptionist wa 400K. Imagine wewe ni mzazi [emoji24]

Leo hii degree holder kupata kazi ya kuhudumia restaurant, kuuza duka, kufungulia walevi bia nk ni kama bahati. Imekua sawa na kupata kazi serikalini miaka ya 90. Zama zimebadilika sana, mambo mengi yamekua tofauti sn (out of order). Wasomi wanadhalilika mitaani, wanakimbizwa kimaisha na laymen. Unakuta fundi selemala anapiga vi-gig viwili vitatu kwa mwezi analala na 400K. Ila wasomi wanalala njaa.

Kosa lilianza na mfumo kutuaminisha kua ukisoma sana, ukafaulu vzr, utaajiriwa ofisi kubwa then maisha yako yatakua safi. Mfumo ukawalisha huu utopolo wazazi wetu, nao wakatushikia fimbo, mikanda, ndala, mwiko nk ili tusome kwa bidii, tuje kuwa ahead of others. Ila huu mfumo haukua transparent enough kutupa angalizo kuwa rate ya kuzalisha wasomi ni inversely propositional to rate ya kuzalisha hizo ofisi kubwa na kazi nzuri.

Ndio maana leo hii dada zetu wasomi wamekua cheap sn, they walk with price tags on their waists, ni wewe tu na dau lako. Wakaka wasomi wamekua sycophants, kazi yao ni kulamba lamba miguu ya wanaume wanzao, uchawa na tunaelekea kuona vjn wengi wakiwa bootylickers. Worse enough, bado ukienda YouTube utakutana na mtu anapost video "How to write CV like casanova" na anapata viewers laki 1.

Nilikua nategemea contents kama;
1. Jinsi ya kuanza biashara ya uuzaji wa mazao
2. Jinsi ya kuanza biashara ndogo bila mtaji wwt
3. Njia ya uhakika ya kijana wa kiTZ kuingiza 1M kwa mwezi
4. Jinsi ya kujiajiri na kuingiza pesa mtandaoni
5. Biashara 10 unazoweza kuzifanya kwa mtaji wa laki 3.

Leo 2021 msoto upo hivi na bado vyuo zaidi ya 50 hapa TZ vinafyatua wasomi kila mwaka, imagine 2030 itakuaje. Kutakua na wasomi wamemaliza chuo 2017 lkn hadi 2030 hawajawahi kuitwa kwenye interview. Zama zimebadilika mno; elimu ikupe ukombozi wa kifikra sio ukombozi wa kimakaratasi (certificates).
M-acknowledge Sirjeff Dennis aka Ontario kwa hii post yake ya leo huko mitaa ya Instagram
 
  • Thanks
Reactions: EEX
Umeongea kiuhalisia sana mkuu,huo ndio ukweli tufike wakati wazazi tuwapele watoto wetu wakasomee fani vyuo vya kati kama VETA na vinginevyo wapate ujuzi wa kazi za mafundi wa kawaida ili wakiingia kitaa wanakuwa na knowledge ya kutosha kufanya kazi mbalimbali hata welding,wiring.ujenzi wa nyumba,uwekaji tyles,nk,kazi hizo zina hela kweli kweli,tena baadae wakishakuwa na fani hizo wanafungua kampuni kabisa ili wapige hela za miradi ya serikali inayotumia force account,tusilazimishe watoto wetu wasome digrii,tukiona mtoto ana uelekeo wa ufundi ufundi au chochote kile unamkazania huko huko
 
Kweli vijana tunateseka, ila jambo la kusikitisha zaidi Waafrika tulivyo na roho mbaya hata mtu akiichungulia furusa sehemu hawezi mshika mkono mwenzake tunachokijuwa ni kutapeliana na kudhurumiana,

Me huwa naamini ukiamu kwenda nenda nenda peke yako ila ukiamua kwenda mbali nenda na wenzako
 
Kweli vijana tunateseka, ila jambo la kusikitisha zaidi Waafrika tulivyo na roho mbaya hata mtu akiichungulia furusa sehemu hawezi mshika mkono mwenzake tunachokijuwa ni kutapeliana na kudhurumiana,

Me huwa naamini ukiamu kwenda nenda nenda peke yako ila ukiamua kwenda mbali nenda na wenzako
Mkuu wabongo wanataka fursa ambazo haziumizi kichwa

Mbona ontario alitusanua na fursa ya forex ila watu baadae wakampiga mawe.
 
Mkuu wabongo wanataka fursa ambazo haziumizi kichwa

Mbona ontario alitusanua na fursa ya forex ila watu baadae wakampiga mawe.
Forex nayo hata mimi ilinitisha baada ya kusoma malalamiko ya watu waliopigwa mkwanja mrefu wakabakia fukara
 
Back
Top Bottom