Kwa sasa Yanga tunasubiria baadhi ya wachezaji waachwe Simba tuwachukue

Kwa sasa Yanga tunasubiria baadhi ya wachezaji waachwe Simba tuwachukue

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Sioni kama tunatafuta mbadala ya hawa group stage failure. Wanasubiri tu waje kushindana na teams kama GOPCO waoneshe ufundi wao. Na Singida big stars, Ihefu, na JKT au DODOMA JIJI.

Huku tunategemea Simba ikiacha au ikionesha little interest kwa wachezaji flani ndo tukabebe. Kwani uongo? Makapi kama ya akina Chama, Baleke, Mkude, Mwenda (sijajua kwa sasa Mwenda kiwango kimepanda au ndo yale yale.) Simba ilivyokuwa inajijenga na Kanjubai karudi haiwezi kumwacha mchezaji mzuri. Wale tuliachiwa walikuwa miaka yote sisi wenyewe tunawaponda. Wenzetu wakaamua kujenga kikosi. Sisi tukaamua kukibomoa.

Lakini mchezaji anayenunulika kwenye match hatufai hata sisi. Nlimwambia Hersi jambo hilo hakutaka kunielewa.kuwa wachezaji X kama wamekubali kusaliti team yao hawatufai hata sisi. Hakutaka nielewa. Tuna wachezaji mizigo.
 
Sikupingi ila ukiongea unaonekana kuwa na chuki ila uongozi yanga unayumba parefu sana na vile vichawa vyake (Ally Priva na kale kapiga picha)
Wale madogo ukiwatizama tu unajua ni chawa hata afya zao na nyuso zao ni za kichawa chawa tu.
 
Ngojeni ngojeni kidogo utopolo hapa tulipo tunamalizia kumpa vifungu vya sheria Josh Mutale budo mana

Hivi karibuni ili mkishamchukua baadae awafungulie mashtaka na mlipe fidia

Ubaya ubwela ni package kubwa sana🤣🤣🤣
 
Sikupingi ila ukiongea unaonekana kuwa na chuki ila uongozi yanga unayumba parefu sana na vile vichawa vyake (Ally Priva na kale kapiga picha)
Watasema mimi ni mkia. Nawajua. Sijali. Mi nitawaambia tu. Ni aibu sana kuishia makundi na tunasema tuna team nzuri. Ni aibu ambayo hatuwezi ikwepa.
 
Kikubwa ni kuendelea kuifunga Simba na kudumisha kutwaa Mataji yote Nchini haijalishi kama wachezaji ao walitokea Simba au Namungo.
Kinacho itajika kwa Yanga ni Mataji na kuendelea kuwashikisha Adabu Simba.
 
Sioni kama tunatafuta mbadala ya hawa group stage failure. Wanasubiri tu waje kushindana na teams kama GOPCO waoneshe ufundi wao. Na Singida big stars, Ihefu, na JKT au DODOMA JIJI.

Huku tunategemea Simba ikiacha au ikionesha little interest kwa wachezaji flani ndo tukabebe. Kwani uongo? Makapi kama ya akina Chama, Baleke, Mkude, Mwenda (sijajua kwa sasa Mwenda kiwango kimepanda au ndo yale yale.) Simba ilivyokuwa inajijenga na Kanjubai karudi haiwezi kumwacha mchezaji mzuri. Wale tuliachiwa walikuwa miaka yote sisi wenyewe tunawaponda. Wenzetu wakaamua kujenga kikosi. Sisi tukaamua kukibomoa.

Lakini mchezaji anayenunulika kwenye match hatufai hata sisi. Nlimwambia Hersi jambo hilo hakutaka kunielewa.kuwa wachezaji X kama wamekubali kusaliti team yao hawatufai hata sisi. Hakutaka nielewa. Tuna wachezaji mizigo.
Hoja kubwa ilikuwa kosa kumwacha Gamondi na kumchukua hii mashine feki ya Kijerumani. Yanga ina wachezaji wengi wazuri, mbinu za mwalimu ndio tatizo. Hata wachezaji tunaosema ni makapi hawajapewa muda wa kucheza. Baleke alicheza mechi chache sana, Chama dakika za kucheza ni 80+.
Changamoto kubwa ni kuwa, uajili wa Dube haukuleta matokeo chanya, pale mbele lazima Yanga ifanye maamuzi magumu ya kuacha baadhi ya washambuliaji na kusaini wengine wazuri. Pia naamini ilikuwa kosa kumwacha Lomalisa na kusajili yule ndege John.
 
Kikubwa ni kuendelea kuifunga Simba na kudumisha kutwaa Mataji yote Nchini haijalishi kama wachezaji ao walitokea Simba au Namungo.
Kinacho itajika kwa Yanga ni Mataji na kuendelea kuwashikisha Adabu Simba.
Safi sana. Hii nimeipenda hasa hapo pa kuwafunga Simba ndo mpango mzima.
 
Hoja kubwa ilikuwa kosa kumwacha Gamondi na kumchukua hii mashine feki ya Kijerumani. Yanga ina wachezaji wengi wazuri, mbinu za mwalimu ndio tatizo. Hata wachezaji tunaosema ni makapi hawajapewa muda wa kucheza. Baleke alicheza mechi chache sana, Chama dakika za kucheza ni 80+.
Changamoto kubwa ni kuwa, uajili wa Dube haukuleta matokeo chanya, pale mbele lazima Yanga ifanye maamuzi magumu ya kuacha baadhi ya washambuliaji na kusaini wengine wazuri. Pia naamini ilikuwa kosa kumwacha Lomalisa na kusajili yule ndege John.
Chama umri umeenda hawezi cheza dk 90 na pia anatumia dawa za kurefusha...so hatakiwi kutumika sana
 
Back
Top Bottom