Kwa Saud Arabia hapa nashindwa kuelewa. Inakuaje? Au ni vita ya kiuchumi?

Kwa Saud Arabia hapa nashindwa kuelewa. Inakuaje? Au ni vita ya kiuchumi?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Ni moja ya nchi zenye sheria kali sana. Na misingi ya Kidini. Hii ni nchi ambayo inaheshimika sana Kidini. Hili suala linakuaje ndugu zanguni? Limekaaje kaaje?mbona silielewi?

Haya mambo yalianzia Pakistan miaka mingi kuwa ni nchi ambayo inafanya sana Biashara za Madawa ya kulevya. Ikaja nchi kama Dubai na Pia Morocco. Sasa ni akina nani wanatumia haya madawa huko?

Au hili suala ni vita vya kiuchumi? Sielewi na nimeumizwa sana na jambo hili maana linachafua taswira ya nchi hii Takatifu.

Screenshot_2022-09-04-08-53-21-229_com.instagram.android~2.jpg
 
Taleban ni walima Mihadarati wakubwa ila wakisikia Adhana chap msikitini.
Serikali nyingi zina umafia nyuma yake.
Kama Columbia tu, ni Wakatoliki wazuri sana, ila kwenye Cocaine kuna Macartel kuliko Mashemasi.

Look! kwenye utafutaji dunia ya leo kila mtu anaangalia fedha na sadaka zinapokekewa.
 
Saudi Arabia sio nchi Takatifu yote. Kuna miji miwili tu ndio mitakatifu ni Makka na Madina.

Hiyo Riyadhi ni miji kama miji mingine. Na mji wa tatu mtakatifu kwa waislamu Jerusalem. Kwa hiyo Saudia sio nchi takatifu ni miji miwili tu ya Makka na Madina.
 
Saudi Arabia sio nchi Takatifu yote.Kuna miji miwili tu ndio mitakatifu,ni Makka na Madina.Hiyo Riyadhi ni miji kama miji mingine.Na mji wa tatu mtakatifu kwa waislamu Jerusalem.Kwa hiyo Saudia yote ni nchi takatifu ni miji miwili tu.
Nchi ni sehemu zote za nchi husika. Kwani tunaoosema tunaenda kuhiji huwa tunasema tunaenda wapi?
 
Kama Columbia tu ni Wakatoliki wazuri sana ila kwenye Cocaine kuna Macartel kuliko Mashemasi.

Look! kwenye utafutaji dunia ya leo kila mtu anaangalia fedha na sadaka inapokekewa.
Makaburi mengi ya drug dila ya huo ukanda yamejazwa misalaba mikubwa na sanamu nyingi za bikra Maria😊😊😂
 
Njoo zanzibar uone,unga na bangi ni biashara kubwa,nchi za kiislam zinachagua dhambi za kufanya
 
Wauza dawa wako wa imani zote, pole kama ulikuwa unataka kushutumu Dini
Akili yako ndo imeishia hapo?yaani dawa za kulevya unazungumzia Dini? Nyie hampendi shule kabisa eeeeh? Kuna dhambi ambayo ni ya Dini flani? Well Dini ya Kishetani labda. Mimi nina hoja ya msingi wewe unaleta Dini? Kichwa unafugia nywele na ndevu tu?😁
 
Back
Top Bottom