Kwa Saud Arabia hapa nashindwa kuelewa. Inakuaje? Au ni vita ya kiuchumi?

Kwa Saud Arabia hapa nashindwa kuelewa. Inakuaje? Au ni vita ya kiuchumi?

Ni moja ya nchi zenye sheria kali sana. Na misingi ya Kidini. Hii ni nchi ambayo inaheshimika sana Kidini. Hili suala linakuaje ndugu zanguni? Limekaaje kaaje?mbona silielewi?

Haya mambo yalianzia Pakistan miaka mingi kuwa ni nchi ambayo inafanya sana Biashara za Madawa ya kulevya. Ikaja nchi kama Dubai na Pia Morocco. Sasa ni akina nani wanatumia haya madawa huko?

Au hili suala ni vita vya kiuchumi? Sielewi na nimeumizwa sana na jambo hili maana linachafua taswira ya nchi hii Takatifu.

View attachment 2345108
Nimefanya kazi huko ndugu,najua ninachokiongea.
mimi nipo makka mwaka wa 5 sasa
 
Leo nimesoma BBC eti huko Kuna uhitaji wa video za ngono sana yaani nchi za kiarabu zote!
Dunia nzima sasa Porn ni big bussines hapa Nchini kwetu watu wanaolog kwenye Porn Websites ni mamilion na ni hulka ya Mwanadamu zamani watu walikuwa wanakula chabo kwenye Maguest house lakini leo imerahisishwa zaidi.
 
Wauza madawa wanajaribu kuigeuza Saudia kama mlango wa kupitishia hayo madawa na kuyauza hapo mashariki ya kati.
 
Ni moja ya nchi zenye sheria kali sana. Na misingi ya Kidini. Hii ni nchi ambayo inaheshimika sana Kidini. Hili suala linakuaje ndugu zanguni? Limekaaje kaaje?mbona silielewi?

Haya mambo yalianzia Pakistan miaka mingi kuwa ni nchi ambayo inafanya sana Biashara za Madawa ya kulevya. Ikaja nchi kama Dubai na Pia Morocco. Sasa ni akina nani wanatumia haya madawa huko?

Au hili suala ni vita vya kiuchumi? Sielewi na nimeumizwa sana na jambo hili maana linachafua taswira ya nchi hii Takatifu.

View attachment 2345108
Ufafanuzi

Wanaposema Lango kuu haimaanishi kwamba hayo madawa yanatumiwa na wakaazi wa Saudi Arabia,hapana. Maana Yake Ni kwamba,Madawa mengi ya Kulevya yanapitia Saudia Arabia kwenda Mashariki ya Mbali Kama China,Singapore,Vietnum,Malaysia, Myanmar,n.k.

Tanzania iliwahi kutajwa kuwa Lango kuu la wasafirishaji wa Dawa za Kulevya kwa Afrika Mashariki na Kati. Dawa Nyingi zilikuwa zinapita Tanzania kuelekea Kusini mwa Afrika (Afrika Kusini,Namibia,Angola,Botswana na Zimbabwe). Tanzania zilikuwa zinapita TU lakini masoko makubwa yako huko zinakoelekea.
 
Wana saka pesa mana waumini wameanza kupungua kwenda kuchangia pato la nchi kupitia utalii wa kidini..pia dunia kwa sasa inaeleka/ inaachana na matumizi ya mafuta ya petroli..hivyo wamejiongeza njia mbaya ya kutengeneza pesa ili waendelee kusavaivu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ufafanuzi

Wanaposema Lango kuu haimaanishi kwamba hayo madawa yanatumiwa na wakaazi wa Saudi Arabia,hapana. Maana Yake Ni kwamba,Madawa mengi ya Kulevya yanapitia Saudia Arabia kwenda Mashariki ya Mbali Kama China,Singapore,Vietnum,Malaysia, Myanmar,n.k.

Tanzania iliwahi kutajwa kuwa Lango kuu la wasafirishaji wa Dawa za Kulevya kwa Afrika Mashariki na Kati. Dawa Nyingi zilikuwa zinapita Tanzania kuelekea Kusini mwa Afrika (Afrika Kusini,Namibia,Angola,Botswana na Zimbabwe). Tanzania zilikuwa zinapita TU lakini masoko makubwa yako huko zinakoelekea.
Acha ujinga....Tanzania ilipokuwa lango kuu tuliona athari zake mitaani. Tuliona athari zake kwenu nyie vijana. Wengi mliathirika sana. Angalia akina Chid Benz, Rehema Chalamila,TID n.k

Sasa sijui huu ujinga wewe unakaa nao kichwani wa nini. Saudi Arabia Royal Family zinatumia sana madawa na Malaya wa kukodi toka nchi mbalimbali hasa Indonesia, Singapore n.k. ni jambo la kutisha sana. Sababu hatutegemei kwa nchi kama Saudi Arabia kuwa hata dirisha la kupitisha madawa ya kulevya acha lango.

Hili naomba tu serikali ikaliangalie. Si jambo mujarabu kwa afya ya Taifa hilo. Tuendelee kuliswalia ili lisiwe moja ya sifa ya Taifa la Saudia. Ila kwa wewe nakushauri uondokane na huo Umaamuma.
 
Back
Top Bottom