Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
16000 ya kibongo au ya kichina?Hapa sijajua bei langu nilinunua 16000 china
Hii njia tulifundishwa na mwalimu wa physics enzi hizo, sio mchezo maharage yanaiva vizuri tuNunua chupa ya chai nzuri na kubwa.
Osha maharage yako usiku,
Chemsha maji yachemke vizuri yatie kwenye chupa pamoja na maharage.
Funga chupa yako nenda kalale.
ASUBUHI utakuta maharage yameuiva.
Upo
😂😂😂Mkaa wa 400 unaivisha maharage na unabakii, labda useme ni eneo gani?
Halafu hili wengi hawajuiNunua chupa ya chai nzuri na kubwa.
Osha maharage yako usiku,
Chemsha maji yachemke vizuri yatie kwenye chupa pamoja na maharage.
Funga chupa yako nenda kalale.
ASUBUHI utakuta maharage yameuiva.
Upo
Hayo madude yanganguruma zaidi ya matransfoma ya zamaniShida yote hiyo ya nini wakati pressure Cooker ipo?
Yapi hayoHizo induction cooker Zina madhara kiafya ,Kuna kifaa kingine Cha umeme ni cheaper zaid
Trueapia
0.6 units haifiki hata shilingi 400. Unit moja ya umeme ni sawa na shilingi 360 hivi kwahiyo kama unatumia 0.6 unit manake unatumia chini ya shilingi mia tatu.Hili jiko bwana linataka shule, ukinunua mfano lile la 3500W, ukapika kwa hizo watt zote 3500 basi umeme wa 10,000/= utalast masaa 8 tu.
Lakini kuna siri moja. Na hii nimepractice mimi mwenyewe nyumbani. Unapotumia jiko hili set moto mdogo kuliko yote hasa kama unapika vitu ambavyo haviinvolve kukaanga.
Mfano nikitaka kupika maharage naset 120W tu na mpaka yanaiva nakuwa nimetumia 0.6 units na hayo ni masaa matano tu. Vivyohivyo kwa vyakula vingine pia mpaka ugali.
Achana na masettings makubwa hakika utalifurahia hilo jiko.
Pia kitu kingine ambacho ninakipenda zaidi, hilo jiko lina timer, unaweza kuset kwamba baada ya muda fulani lizime lenyewe. Kuna vitu huwa napasha naviacha jikoni nafunga nyumba naondoka nikirudi vilishapata moto kitambo.
Je mkaa wa 400 unatosha kupika maharage? Gas ya 400 je? Karibu uchangie mawazo yako.
Yanaunguruma vipi mbona mi sijawahi kusikia muungurumo wowote au unazungumzia kwenye ku release pressure?Hayo madude yanganguruma zaidi ya matransfoma ya zamani
Nilinunua pinetech 140,000/=Shukrani Sana mkuu. Hii wanaunza shilingi ngapi Kwa hapa Tanzania.
Ghetto line kitambo,
Nachemsha maji 100cent. Natia Kwenye chupa kubwa pamoja na maharage, nikirudi nitokapo nafungua chupa nakuta tayari yamekwiza hivyo ubaki chumvi tu au kuyaunga nakuyatupia shimoni(tumbo
Mlipuko wake sio wa kitoto.Nunua chupa ya chai nzuri na kubwa.
Osha maharage yako usiku,
Chemsha maji yachemke vizuri yatie kwenye chupa pamoja na maharage.
Funga chupa yako nenda kalale.
ASUBUHI utakuta maharage yameuiva.
Upo