Kwa Shilingi 400/= unaweza kupika maharage mpaka yakaiva ukiwa na jiko la umeme(Induction cooker)

Kwa Shilingi 400/= unaweza kupika maharage mpaka yakaiva ukiwa na jiko la umeme(Induction cooker)

Hili jiko bwana linataka shule, ukinunua mfano lile la 3500W, ukapika kwa hizo watt zote 3500 basi umeme wa 10,000/= utalast masaa 8 tu.

Lakini kuna siri moja. Na hii nimepractice mimi mwenyewe nyumbani. Unapotumia jiko hili set moto mdogo kuliko yote hasa kama unapika vitu ambavyo haviinvolve kukaanga.

Mfano nikitaka kupika maharage naset 120W tu na mpaka yanaiva nakuwa nimetumia 0.6 units na hayo ni masaa matano tu. Vivyohivyo kwa vyakula vingine pia mpaka ugali.

Achana na masettings makubwa hakika utalifurahia hilo jiko.

Pia kitu kingine ambacho ninakipenda zaidi, hilo jiko lina timer, unaweza kuset kwamba baada ya muda fulani lizime lenyewe. Kuna vitu huwa napasha naviacha jikoni nafunga nyumba naondoka nikirudi vilishapata moto kitambo.

Je mkaa wa 400 unatosha kupika maharage? Gas ya 400 je? Karibu uchangie mawazo yako.
0.6 units haifiki hata shilingi 400. Unit moja ya umeme ni sawa na shilingi 360 hivi kwahiyo kama unatumia 0.6 unit manake unatumia chini ya shilingi mia tatu.
 
Kwa maelezo yako kwenye aya ya kwanza na ya pili sina budi kukwambia TAFUTA HELLA.
 
Induction Cooker ni most efficient by none na hapo kuongezea efficiency tumia pressure cooker na setting ya maana sio hio slow cooking

Shida ya hizi cooker bado bei ipo juu na zinahitaji sufuria ferromagnetic kwahio zile zako za kila siku hazitumikia hapa
 
Ghetto line kitambo,
Nachemsha maji 100cent. Natia Kwenye chupa kubwa pamoja na maharage, nikirudi nitokapo nafungua chupa nakuta tayari yamekwiza hivyo ubaki chumvi tu au kuyaunga nakuyatupia shimoni(tumbo
 
Nunua chupa ya chai nzuri na kubwa.

Osha maharage yako usiku,
Chemsha maji yachemke vizuri yatie kwenye chupa pamoja na maharage.
Funga chupa yako nenda kalale.
ASUBUHI utakuta maharage yameuiva.
Upo
Mlipuko wake sio wa kitoto.
Maharage hayo ni mlo wa mtu mmoja tu
 
Back
Top Bottom