Kuhusu kufanana na MANDELA KUHUSU KUALIKWA IKULU BAADA TU YA KUTOKA JELA kunaweza kuwa sahihi....japo Mandela hakuwa mahabusu pale Robben Island.... Mbowe alikuwa mahabusu "segedanse".
Sisi vijana wa CCM tunaweza tusimjue Mbowe wa miaka hiyo ya 70....
Ila tunamjua vyema kama mtu "kinyonga" panapokuwa na maslahi yake binafsi.
1)Mbowe alilamba....alilambishwa kufikia uamuzi wa "kubadili gia angani", ushahidi upo bayana.
2)Si tu siasa dhidi ya CCM iliyosabisha yeye na mh.Tundu Lissu wafanye "lobbying" kwa wabunge wa CDU ujerumani kutaka "motion" bundestag kuishinikiza serikali ya Tanzania iachane na ujenzi wa BWAWA la kufua umeme Mwalimu Nyerere wenye kuzalisha megawati 2215....ikaja kufahamika kuwa matajiri wenye viwanda huko walikuwa wanapinga kuogopea biashara zao za "majenereta" kuanzia madogo mpaka yale makubwa ya viwandani....Mbowe alilambishwa haswaaa....[emoji1787][emoji1787]
3)Mbowe hawapingi DP WORLD kisiasa tu....Kalamba....aisukume "ajenda" ya waarabu hao kufadhili "makundi ya kigaidi"...Msukumo huo unatoka kwa baadhi ya wachina na wafanyabiashara wa nchi za magharibi..na unashika kasi kwa kuwa tu mh.Rais SSH anatokea Zanzibar...Mbowe anashangaza sana.....anaingiza ubaguzi wa KIKABILA NA KIKANDA ambao ni haramu kwetu watanzania.....
Kama si mh.Rais SSH...mh.Mbowe angeshtakiwa ile kesi ya Ugaidi....hapa ndipo pangemfanya afanane na hayati Mandela [emoji1787][emoji1787]
Hana shukran....
Hana shukran....
Amezoea siasa za "kusukumana" alizopitia utawala wa awamu ya 5.....
Kukosoa si kosa....ila kusema kuwa mh.Rais SSH anaiuza nchi huku vijana wa Mbowe wakisema kwa kuwa ni "mwarabu" ana wajomba Oman ni kosa la karne....mh.SSH na Oman wapi na wapi?!!!
Hivi Wamakunduchi anapotokea Rais wetu wameanza lini kuwa na "usuhuba" wa damu na waarabu ?!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
Yaani wamakunduchi walioitwa WAHADIMU na waarabu leo wamegeuka waarabu?!
Vijana wa Mbowe hawajui historia....watupu kabisa...watuulize sisi makomredi vijana makini wa CCM...tutawafundisha historia ya mataifa haya ya JMT na watu wake.
#SiempreJMT[emoji120]
#MamaAnaupigaMwingi[emoji2956][emoji2956]
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app