Kwa sifa hizi, hata ingekuwa wewe….

Kwa sifa hizi, hata ingekuwa wewe….

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Hata ingekuwa ni wewe, uwezekano wa kuanza kujiona wewe ni mungu, ni mkubwa sana.

Unaweza hata kujiona huna kasoro yoyote ile.

Unaweza ukajiona wewe si binadamu wa kawaida:-….yaani wewe damu yako ni tofauti kabisa na damu za watu wengine. Labda una damu ya rangi ya njano.

Unaweza ukajiona wewe moyo wako umeumbwa tofauti kabisa na mioyo ya watu wengine.

Unaweza ukajiona wewe huna mishipa ya damu iliyotapakaa mwili mzima.

Unaweza ukajiona unao uwezo wa kutenganisha bahari zote zilizopo duaniani.

Unaweza ukajiona wewe mwili wako hauzalishi bakteria kama ilivyo miili yetu sisi wengine.

Unaweza ukajiona wewe unaweza tembea hewani. Yaani kanuni za nguvu za mvutano wewe hazikuhusu kabisa.

Kwa sifa hizo, hata wakitokea wapumbavu wanaotaka uwe Rais wa maisha, hutoweza kuwakemea. Utawafurahia tu.

Urais wa Tanzania ni wa kipekee sana. Labda unaweza tu kufananishwa na urais wa kule Korea ya Kaskazini.


View: https://youtu.be/1-9OC-HXD0M?si=x37ss3tYzZhP5jQU
 
Hata ingekuwa ni wewe, uwezekano wa kuanza kukuona wewe ni mungu, ni mkubwa sana.

Unaweza hata kujiona huna kasoro yoyote ile.

Unaweza ukajiona wewe si binadamu wa kawaida:-….yaani wewe damu yako ni tofauti kabisa na damu za watu wengine. Labda una damu ya rangi ya njano.

Unaweza ukajiona wewe moyo wako umeumbwa tofauti kabisa na mioyo ya watu wengine.

Unaweza ukajiona wewe huna mishipa ya damu iliyotapakaa mwili mzima.

Unaweza ukajiona unao uwezo wa kutenganisha bahari zote zilizopo duaniani.

Unaweza ukajiona wewe mwili wako hauzalishi bakteria kama ilivyo miili yetu sisi wengine.

Unaweza ukajiona wewe unaweza tembea hewani. Yaani kanuni za nguvu za mvutano wewe hazikuhusu kabisa.

Kwa sifa hizo, hata wakitokea wapumbavu wanaotaka uwe Rais wa maisha, hutoweza kuwakemea. Utawafurahia tu.

Urais wa Tanzania ni wa kipekee sana. Labda unaweza tu kufananishwa na urais wa kule Korea ya Kaskazini.


View: https://youtu.be/1-9OC-HXD0M?si=x37ss3tYzZhP5jQU

Yaani ni kusifu na kuabudu tu wanadam. Tz haina wasanii , lina kundi la watu wanaojikomba komba wapate chochote kitu
 
Nahisi ndio maana amekuwa na kiburi cha dhahiri sasa hivi. Sifa zimemuaminisha kuwa yeye ni 'the chosen one' God's number one aide......the immortal, ever living.
 
Taifa la walalamishi tena wanaume ni kutwa kucha kulalamika lalamika hovyo hovyo ova watoto wa kambo. Matatizo ya kulelewa kwa kudekezwa matokeo yake ndio kama haya.
 
Akikubali kusifiwa akubali pia kukosolewa na wanaomkosoa wasije kujikuta Katavi Mbugani.
 
Taifa la walalamishi tena wanaume ni kutwa kucha kulalamika lalamika hovyo hovyo ova watoto wa kambo. Matatizo ya kulelewa kwa kudekezwa matokeo yake ndio kama haya.
Na wewe mbona unalalamika?
 
Ujue hata Mikael na Gabriel walikuwa wakimsifu sana Lucifer kwa sababu ya zile Mbawa zake za kinanda

Kawaida Sana 😂😂🔥
 
Nahisi ndio maana amekuwa na kiburi cha dhahiri sasa hivi. Sifa zimemuaminisha kuwa yeye ni 'the chosen one' God's number one aide......the immortal, ever living.
Chadema mnaumia sana kwa kuwa li chama limekisa mvuto
 
Godfather wake Ali sema mapema it's no, kakaja ka empty set kutaka kuuza ngorongoro
GVR8ZKIbIAACRIY.jpeg
 
Hata ingekuwa ni wewe, uwezekano wa kuanza kukuona wewe ni mungu, ni mkubwa sana.

Unaweza hata kujiona huna kasoro yoyote ile.

Unaweza ukajiona wewe si binadamu wa kawaida:-….yaani wewe damu yako ni tofauti kabisa na damu za watu wengine. Labda una damu ya rangi ya njano.

Unaweza ukajiona wewe moyo wako umeumbwa tofauti kabisa na mioyo ya watu wengine.

Unaweza ukajiona wewe huna mishipa ya damu iliyotapakaa mwili mzima.

Unaweza ukajiona unao uwezo wa kutenganisha bahari zote zilizopo duaniani.

Unaweza ukajiona wewe mwili wako hauzalishi bakteria kama ilivyo miili yetu sisi wengine.

Unaweza ukajiona wewe unaweza tembea hewani. Yaani kanuni za nguvu za mvutano wewe hazikuhusu kabisa.

Kwa sifa hizo, hata wakitokea wapumbavu wanaotaka uwe Rais wa maisha, hutoweza kuwakemea. Utawafurahia tu.

Urais wa Tanzania ni wa kipekee sana. Labda unaweza tu kufananishwa na urais wa kule Korea ya Kaskazini.


View: https://youtu.be/1-9OC-HXD0M?si=x37ss3tYzZhP5jQU

Ndio ulevi wa wanasiasa wa Afrika huo.
 
Back
Top Bottom