Kwa siku unaweza kunanihino mara ngapi ?

Karibu Tanzania nchi ambayo msimu wa mvua ukifika raia wake badala wawaze kilimo cha mazao, wanawaza kilimo cha binadamu
 
Wenzio wanawaza kurusha chombo kifike Jupiter mwakani,we unawaza kutiana tu?
Africa tuna matatizo sana
 
Inategemea sasa kama pisi ni hiyo hiyo au mchanganyiko
 
As much as you can......

Maana ndio majibu mnayotaka kusikia
 
Kwa siku au kwa mwaka? Au ukishakuwa na mwenzi mapumziko hakuna?...maana ni kama sijaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…