Kwa Single Fathers

me ni muislam, ila kama ukiwa tayari kubadili dini naweza kuoa mke wa pili. me nipo kwa ajili ya kunusuru wanawake.
 
Mi niko above that age limit lkn nnasifa zingine hizo unazotaka, vp sifai?
 
Ulifanikiwa kumpata mume mwema?
Mrejesho tafadhali
 
Huo umri wa 25-30 maana yake nini?Unashindwa kutaja umri wako halisi ili watu wajipime?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…