Kwa sisi wanaume wa aina yetu tunapata mtihani mkubwa sana kwenye mapenzi

😂😂😂😂😂😂kiduku bana unanivunja mbavu
 
Aisee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji2357][emoji2357]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro! Hesshima yako
 
mzunguko wote huu wa nn?? ngoja nkwambie, ukiwa na pesa hata uvae gunia utajulikana tu kwa sabu utakuwa na "NURU USONI" weeeee acha mchezo na pesa wwww yaan account inasoma bilion na ushee afu useme et uish maisha duni
Sent using Jamii Forums mobile app
 
.nlishawahi jifanya maskini nikaazima usafiri wa jamaa yangu HARRIER nikamfuata msichana

daaah we mshkaji ni nyoko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaan harrier unaita gar ya kimasikin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kula kimasihara tu hamna namna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boda Boda zipoje [emoji23][emoji23][emoji23]
Nna uhakika kuna watu wakikusoma huku wanakua uncomfortable mpaka nguvu za kiume zinaisha kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…