Kwa skills zile, why Chama ameshindwa kucheza Ulaya?

Kwa skills zile, why Chama ameshindwa kucheza Ulaya?

MTAZAMO

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
19,675
Reaction score
33,583
Wakuu,

Kwa skills zile, why chama ameshindwa kucheza ulaya? Tuwe honest, zile skills si za kawaida [emoji119]. Why! Why! Why!

He is supernatural, magician [emoji145], kwanini yaani? Weka uyanga na usimba pembeni, zile akili kwanini zinaishia kwa Mkapa?

"Saint" Chama [emoji119][emoji119]
 
Kwa mtu anaejua mpira aki asses, Simba wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kucheza ligi kubwa ni wawili tu. Miquissone na onyango... na kidogooo tukiweka wa tatu anakuwa manula.

Wengine wote wana kiwango cha ligi ya Tz tu.
 
Ulaya! Club gani labda. Labda aende kucheza nchi za bulgaria, Romania, n alike. Si zile top 5. Na hata akifanikiwa huko kwenye top 5 labda acheze non division league. Kwa England ni nation league na league two.
 
Wakuu,

Kwa skills zile, why chama ameshindwa kucheza ulaya? Tuwe honest, zile skills si za kawaida [emoji119]. Why! Why! Why!

He is supernatural, magician [emoji145], kwanini yaani? Weka uyanga na usimba pembeni, zile akili kwanini zinaishia kwa Mkapa?

"Saint" Chama [emoji119][emoji119]
Hana nguvu miguuni anapoteza nafasi nyingi sana kulinganisha na anazotumia... ni mchezaji wa kawaida mnoo namuona Bwalya anajitahidi zaidi.. kwa Simba mchezaji asiyebahatisha ni Luis Miquoisone na Luanga... Chama hawezi kabisa cheza soka la nguvu na kasi
 
Kwa mtu anaejua mpira aki asses, Simba wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kucheza ligi kubwa ni wawili tu .. miquissone na onyango... na kidogooo tukiweka wa tatu anakuwa manula...

Wengine wote wana kiwango cha ligi ya Tz tu
Kapombe, Zimbwe, Morrison, Kahata, Bwalya, Lwanga
 
Hana nguvu miguuni anapoteza nafasi nyingi sana kulinganisha na anazotumia... ni mchezaji wa kawaida mnoo namuona Bwalya anajitahidi zaidi.. kwa Simba mchezaji asiyebahatisha ni Luis Miquoisone na Luanga... Chama hawezi kabisa cheza soka la nguvu na kasi
Bila shaka anatatizo la mguu.. kama mfupi hv
 
Ulaya! Club gani labda. Labda aende kucheza nchi za bulgaria, Romania, n alike. Si zile top 5. Na hata akifanikiwa huko kwenye top 5 labda acheze non division league. Kwa England ni nation league na league two.
Ulaya ni ulaya tu mkuu.. kikubwa CV ikue
 
Ulaya! Club gani labda. Labda aende kucheza nchi za bulgaria, Romania, n alike. Si zile top 5. Na hata akifanikiwa huko kwenye top 5 labda acheze non division league. Kwa England ni nation league na league two.
kwahiyo simba wana kiwango cha league two? seriously??
 
Rudia game za Simba uone jinsi Chama anavyo dictate mpira! Si kawaida aisee ....
 
Wakuu,

Kwa skills zile, why chama ameshindwa kucheza ulaya? Tuwe honest, zile skills si za kawaida [emoji119]. Why! Why! Why!

He is supernatural, magician [emoji145], kwanini yaani? Weka uyanga na usimba pembeni, zile akili kwanini zinaishia kwa Mkapa?

"Saint" Chama [emoji119][emoji119]
Wa kawaida sana, kiwango cha kuchezea Njombe Mji
 
Back
Top Bottom