Kwa Stand Up Comedy Joti ni Bora 1000 times Mc Pilipili ambaye analazimisha fani

Kwa Stand Up Comedy Joti ni Bora 1000 times Mc Pilipili ambaye analazimisha fani

GuDume

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2015
Posts
6,651
Reaction score
14,337
Nimeona nizungumze hili kwa vile kwa kweli katika walio ktk game ya stand up comedy. Kuna watu wanajaribu sana kumkuza Mc pilipili ambaye mimi namwona ni mmoja ya watu wasiojua kuchekesha hapa duniani. Sema kila shetani ana mbuyu wake.

JOTI ni mchekeshaji mzuri sana ambaye kama angefanya stand up comedy nadhan angefika mbali sana hata kimataifa kama akina erick omond n.k the man is good. Alivyo na vituko na uchekeshaji na si kama mc pilipili anayelazimisha fani.

Namshauri JOTI afanye stand up comedy na kama ameanza fanya atwambie anapatikana wapi ili watu wajifunze namna ya kucheksha na si kusimama jukwaan kuongea ujinga ujinga kama mc pilipil then mtake sisi wenye akili tucheke.
 
hayo ni maoni yako wewe.......ila wapo wanaomkubali mkuu!!

We mwache tu coz kuna watu wanaomtegemea kwa kazi hiyo:
 
Nimeona nizungumze hili kwa vile kwa kweli katika walio ktk game ya stand up comedy. Kuna watu wanajaribu sana kumkuza Mc pilipili ambaye mimi namwona ni mmoja ya watu wasiojua kuchekesha hapa duniani. Sema kila shetani ana mbuyu wake.

JOTI ni mchekeshaji mzuri sana ambaye kama angefanya stand up comedy nadhan angefika mbali sana hata kimataifa kama akina erick omond n.k the man is good. Alivyo na vituko na uchekeshaji na si kama mc pilipili anayelazimisha fani.

Namshauri JOTI afanye stand up comedy na kama ameanza fanya atwambie anapatikana wapi ili watu wajifunze namna ya kucheksha na si kusimama jukwaan kuongea ujinga ujinga kama mc pilipil then mtake sisi wenye akili tucheke.
Joti is just a best clown like any other clowns usimfananishe na comedians though sikubali kusema kuwa mc pilipili ni good comedian!


Post sent using JamiiForums mobile app
 
Nimeona nizungumze hili kwa vile kwa kweli katika walio ktk game ya stand up comedy. Kuna watu wanajaribu sana kumkuza Mc pilipili ambaye mimi namwona ni mmoja ya watu wasiojua kuchekesha hapa duniani. Sema kila shetani ana mbuyu wake.

JOTI ni mchekeshaji mzuri sana ambaye kama angefanya stand up comedy nadhan angefika mbali sana hata kimataifa kama akina erick omond n.k the man is good. Alivyo na vituko na uchekeshaji na si kama mc pilipili anayelazimisha fani.

Namshauri JOTI afanye stand up comedy na kama ameanza fanya atwambie anapatikana wapi ili watu wajifunze namna ya kucheksha na si kusimama jukwaan kuongea ujinga ujinga kama mc pilipil then mtake sisi wenye akili tucheke.
Ivi ulitaka kusemaje manake hata sijakuelewa!!!
 
Nimeona nizungumze hili kwa vile kwa kweli katika walio ktk game ya stand up comedy. Kuna watu wanajaribu sana kumkuza Mc pilipili ambaye mimi namwona ni mmoja ya watu wasiojua kuchekesha hapa duniani. Sema kila shetani ana mbuyu wake.

JOTI ni mchekeshaji mzuri sana ambaye kama angefanya stand up comedy nadhan angefika mbali sana hata kimataifa kama akina erick omond n.k the man is good. Alivyo na vituko na uchekeshaji na si kama mc pilipili anayelazimisha fani.

Namshauri JOTI afanye stand up comedy na kama ameanza fanya atwambie anapatikana wapi ili watu wajifunze namna ya kucheksha na si kusimama jukwaan kuongea ujinga ujinga kama mc pilipil then mtake sisi wenye akili tucheke.
Ivi ulitaka kusemaje manake hata sijakuelewa!!!
 
Joti kuchekesha ktk maigizo yake sio lazma aweze pia kuchekesha ktk stand up comedy,stand up comedy ni ngumu tofauti na maigizo ya kutengeneza.lakini ni vizur tukaacha tabia ya kugeneralize mambo,binafsi ktk wachekeshaji wanaonichekeshaga sana tu ni pamoja na Mc pilipili,wakat mwingine hv vitu vinataka uwe una sense of humour and less serious na uwe umejiweka ktk mood ya kuchekeshwa.
 
pilipili anaforce kabsa.mpoki na joti wapo juu.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
MC PILIPILI KWENYE LIVE PERFORMANCE YUKO VIZURI KULIKO KOMEDIAN YEYOTE HAPA BONGO
 
Sikatai na ndo maana nikasema kila shetani na mbuyu wake. Haiwezekan kabisa akakosa wakumshabikia. Hata chizi huwa anapata mimba kila mara.

hayo ni maoni yako wewe.......ila wapo wanaomkubali mkuu!!

We mwache tu coz kuna watu wanaomtegemea kwa kazi hiyo:
 
Back
Top Bottom