Kwa Stand Up Comedy Joti ni Bora 1000 times Mc Pilipili ambaye analazimisha fani

Kwa Stand Up Comedy Joti ni Bora 1000 times Mc Pilipili ambaye analazimisha fani

Mama...hatuongei mipasho. Kama hukubaliani na mawazo yangu ni haki yako ya msingi pia. Mc pilipili ni kilaza anachekesha wa akili kama zako

Umeshasema anachekesha wa aina yake. Pilipili usioila yakuwashia nini? Wewe sio wa aina yake. Ama pengine huna bandama. Ndo maana huwezi kuchekeshwa nae.

Binafsi Joti Pilipili na Mau wote hawanichekeshi. Hawako original. Lakini siwezi sema ni wabaya. Kuna watu wanachekeshwa na yule wa insta anaepaka mikorogo. Sabutoke sjui. Kila kitu na mahali pake na watu wake.

Huwezi amini kuna watu wanaamini Magu anafanya vizuri. Hao ndo wananichekeshaga kuliko Sabutoke na miwanja yake kama nya...
 
My best mchekeshaji Mimi ni mpoki ..over

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Joti ni mchekeshaji bora kwa sasa,anafuatiwa na mkali wao....Hugo mc pilipili hata simuelewagi

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mama...hatuongei mipasho. Kama hukubaliani na mawazo yangu ni haki yako ya msingi pia. Mc pilipili ni kilaza anachekesha wa akili kama zako
Ndo maana huwezi muelewa Pilipili. Wewe huchekeshwi nae kwa sababu hujafikia level ya kuhudhuria standup comedy. Sembuse kuichambua?

Vikaragosi vya Joti ndo saizi yako. Na wale wa mtaani wanaojipaka masizi. Labda na kushangaa ngongoti. Kwako ndo vichekesho.
 
Naona pilipili unajitetea sana. Binafsi hao wa kujipaka masizi au ngongoti sijui hata pa kuwapata wapi. Nimeanza kuangalia stand up comedy wakat wewe bado upo mbwinde. Akina sinbad, eddie murphy etc.

Kipindi hicho wewe upo mbwinde kabla hujaja dar kupitia mjomba wako ambaye ndo akipokea hapa dar. Wewe umeanza kuijua stand up comedy kupitia pilipili. Mimi namfaham pilipil sabab kwenye harus ya mdogo wangu alikuwa ndo mc...ndo nlipomdharau kwa kuwa anaongea ongea ujinga. Naweza kukuwekea video coz ipo youtube nami nipo.hivyo nmeshawah kuwa boss wake mara mbili. Nligundua ni mtu mmoja mpuuzi tu na hata alipokuwa mc kwenye hzo harus nlimwambia asiongee vitu vya kipuuzi huwa sipend alialikwa kwa sabab mimi nliwaacha kamati ya burudan iamue otherwise nliwaambia mimi nina akili nzuri siwez mkod mtu kama yeye.

Ndo maana huwezi muelewa Pilipili. Wewe huchekeshwi nae kwa sababu hujafikia level ya kuhudhuria standup comedy. Sembuse kuichambua?

Vikaragosi vya Joti ndo saizi yako. Na wale wa mtaani wanaojipaka masizi. Labda na kushangaa ngongoti. Kwako ndo vichekesho.
 
Nimeona nizungumze hili kwa vile kwa kweli katika walio ktk game ya stand up comedy. Kuna watu wanajaribu sana kumkuza Mc pilipili ambaye mimi namwona ni mmoja ya watu wasiojua kuchekesha hapa duniani. Sema kila shetani ana mbuyu wake.

JOTI ni mchekeshaji mzuri sana ambaye kama angefanya stand up comedy nadhan angefika mbali sana hata kimataifa kama akina erick omond n.k the man is good. Alivyo na vituko na uchekeshaji na si kama mc pilipili anayelazimisha fani.

Namshauri JOTI afanye stand up comedy na kama ameanza fanya atwambie anapatikana wapi ili watu wajifunze namna ya kucheksha na si kusimama jukwaan kuongea ujinga ujinga kama mc pilipil then mtake sisi wenye akili tucheke.
Sijawahi kumkubali na sitokaa nimkubali mcpilipili usanii tu hana kitu

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Naona pilipili unajitetea sana. Binafsi hao wa kujipaka masizi au ngongoti sijui hata pa kuwapata wapi. Nimeanza kuangalia stand up comedy wakat wewe bado upo mbwinde. Akina sinbad, eddie murphy etc.

Kipindi hicho wewe upo mbwinde kabla hujaja dar kupitia mjomba wako ambaye ndo akipokea hapa dar. Wewe umeanza kuijua stand up comedy kupitia pilipili. Mimi namfaham pilipil sabab kwenye harus ya mdogo wangu alikuwa ndo mc...ndo nlipomdharau kwa kuwa anaongea ongea ujinga. Naweza kukuwekea video coz ipo youtube nami nipo.hivyo nmeshawah kuwa boss wake mara mbili. Nligundua ni mtu mmoja mpuuzi tu na hata alipokuwa mc kwenye hzo harus nlimwambia asiongee vitu vya kipuuzi huwa sipend alialikwa kwa sabab mimi nliwaacha kamati ya burudan iamue otherwise nliwaambia mimi nina akili nzuri siwez mkod mtu kama yeye.
Unazidi kujianika. Ni wazi una personal issues na Pilipili halafu unazileta media. Malizana nae kivingine. Sio kuharibu kazi yake. Kila mtu ana uwezo tofauti. Kama unaona anapokosea msahihishe hapo. Ungesema vipengele anavyokosea sio kubwabwaja eti bora Joti.

Umetoka kuniita mama sasa unaniita Pilipili. Ukimaanisha ndio vitu unachukia hivyo ni rahisi kumkejeli navyo mwingine. Ukapimwe wewe si bure.

Wewe kuangalia Eddie marphy charlie Chaplin na huyo kikaragosi sindbad, hata mtoto aliezaliwa leo anaweza kuwaona. Sembuse aliekuja Dar kwa anko wake wakati we ukizitizama kule kwa sancho?

Unazungumza kama vile kuwa mwenyeji wa dar au kufika dar mapema ndio kujua mengi. Kweli wa Dar mna tatizo. Huko ambako mnatapisha machoo? Huko mnakokula chipsi mayai viza kwenye majalala mnayoita mitaa? Ndo wajuaji nyie? Huko mnakolia kisa mmeambiwa mtoe vyeti? Hakuna mwenye utimamu anaesifia kuwahi kufika Dar.

Anzisha stand up yako halafu tukuamue. We unadhani mchezo kusimama mbele za watu?
 
kwa jinsi ambavyo uliandika nlihisi ni mwanamke kama si mwanamke basi nisamehe bure. lakini nikaona pia uandishi wako na ubishi wa kunibishia ninachoamini mimi basi utakuwa ni pilipili. mi naongea ninachokifaham kwa uhakika kabisa. wapo stand up comedians but katika hao pilipili kwa upande wangu si mmoja wao. ila kama kwako ni mzuri wewe endelea naye kipenda roho hula nyama mbichi. ikiwa wewe si pilipili au nanii yake. otherwise nimezungumza mtizamo wangu na pia naheshimu mtizamo wako maana waswahili wanasema "ndege wa rangi moja huruka pamoja"


Unazidi kujianika. Ni wazi una personal issues na Pilipili halafu unazileta media. Malizana nae kivingine. Sio kuharibu kazi yake. Kila mtu ana uwezo tofauti. Kama unaona anapokosea msahihishe hapo. Ungesema vipengele anavyokosea sio kubwabwaja eti bora Joti.

Umetoka kuniita mama sasa unaniita Pilipili. Ukimaanisha ndio vitu unachukia hivyo ni rahisi kumkejeli navyo mwingine. Ukapimwe wewe si bure.

Wewe kuangalia Eddie marphy charlie Chaplin na huyo kikaragosi sindbad, hata mtoto aliezaliwa leo anaweza kuwaona. Sembuse aliekuja Dar kwa anko wake wakati we ukizitizama kule kwa sancho?

Unazungumza kama vile kuwa mwenyeji wa dar au kufika dar mapema ndio kujua mengi. Kweli wa Dar mna tatizo. Huko ambako mnatapisha machoo? Huko mnakokula chipsi mayai viza kwenye majalala mnayoita mitaa? Ndo wajuaji nyie? Huko mnakolia kisa mmeambiwa mtoe vyeti? Hakuna mwenye utimamu anaesifia kuwahi kufika Dar.

Anzisha stand up yako halafu tukuamue. We unadhani mchezo kusimama mbele za watu?
 
usiumie sana hayo yote ni mtizamo wangu na wewe una wako ambao na uheshimu. nlitaka kukwambia tu mimi stand up comedy nazifaham pengine kabla hujazaliwa au hujapata akili. anyway..wewe kama unampenda pilipili si umwite kwenu mkanuwe naye chai??????????? ikiwa wewe kweli si pilipili mwenyewe maana yupo humu na IDs zake watu wanzifaham.

Unazidi kujianika. Ni wazi una personal issues na Pilipili halafu unazileta media. Malizana nae kivingine. Sio kuharibu kazi yake. Kila mtu ana uwezo tofauti. Kama unaona anapokosea msahihishe hapo. Ungesema vipengele anavyokosea sio kubwabwaja eti bora Joti.

Umetoka kuniita mama sasa unaniita Pilipili. Ukimaanisha ndio vitu unachukia hivyo ni rahisi kumkejeli navyo mwingine. Ukapimwe wewe si bure.

Wewe kuangalia Eddie marphy charlie Chaplin na huyo kikaragosi sindbad, hata mtoto aliezaliwa leo anaweza kuwaona. Sembuse aliekuja Dar kwa anko wake wakati we ukizitizama kule kwa sancho?

Unazungumza kama vile kuwa mwenyeji wa dar au kufika dar mapema ndio kujua mengi. Kweli wa Dar mna tatizo. Huko ambako mnatapisha machoo? Huko mnakokula chipsi mayai viza kwenye majalala mnayoita mitaa? Ndo wajuaji nyie? Huko mnakolia kisa mmeambiwa mtoe vyeti? Hakuna mwenye utimamu anaesifia kuwahi kufika Dar.

Anzisha stand up yako halafu tukuamue. We unadhani mchezo kusimama mbele za watu?
 
Nimeona nizungumze hili kwa vile kwa kweli katika walio ktk game ya stand up comedy. Kuna watu wanajaribu sana kumkuza Mc pilipili ambaye mimi namwona ni mmoja ya watu wasiojua kuchekesha hapa duniani. Sema kila shetani ana mbuyu wake.

JOTI ni mchekeshaji mzuri sana ambaye kama angefanya stand up comedy nadhan angefika mbali sana hata kimataifa kama akina erick omond n.k the man is good. Alivyo na vituko na uchekeshaji na si kama mc pilipili anayelazimisha fani.

Namshauri JOTI afanye stand up comedy na kama ameanza fanya atwambie anapatikana wapi ili watu wajifunze namna ya kucheksha na si kusimama jukwaan kuongea ujinga ujinga kama mc pilipil then mtake sisi wenye akili tucheke.
Ushauri wako kaupata
Ila joti stand up komedi hawezi kuliko mc pilipili,
Joti anatumia vitendo zaidi kuchekesha kuliko kuongea na standup komedi inahitaji maneno tu zaidi Kwahyo mc pilipili is better.
Pia mpoki ndo anaweza standup komedi zaidi

iPhone 6s
 
unawezekana ukawa sahihi. nadhan lakini kama akifundishwa au akijifunza anaweza fanya otherwise nadhan pia upo sahihi. mpoki kuna vitu ajirekebishe aache kuongea mambo ya kipuuzi. anaweza akafanya vizuri zaidi nadhan ...unajua watu wanachanganya kuongea ujinga wanadhan ndo kichekesho kama anavyofanya mapilipili. mpoki ajifunze na ajisomee zaidi anaweza fanya vizuri. hata pilipili namshauri abadilike mambo kadhaa sidhan kuwa tayari anajua sana.
Ushauri wako kaupata
Ila joti stand up komedi hawezi kuliko mc pilipili,
Joti anatumia vitendo zaidi kuchekesha kuliko kuongea na standup komedi inahitaji maneno tu zaidi Kwahyo mc pilipili is better.
Pia mpoki ndo anaweza standup komedi zaidi

iPhone 6s
 
Hakuna kama Joti nchi hii anachekesha balaaa,mi wengine wa hapa bongo hata siangaliagi lakin joti lazima na ninacheka balaa
 
Mc pilipili anaiga tu na kulazimisha fani,lakin kama anapata pesa ya kula haina shida kila mtu apambane na hali yake
 
Mc pilipili is good,mtoa post km humkubali pilipili ni maoni yako,kila mtu na different view/opinion,kwangu both Joti na Pilipili are talented good comedians.

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
mc pilipili
ndie msanii pekee anaechekesha alafu anacheka yeye wa kwanza akilzaimisha umati pia ucheke,
kiukweli ana hatua ndefu ya kupita
 
Standup comedy ni ngumu sana tofauti na shoot comedy....hata mimi pia naona mc pilipili anaforce king...the best of all ni mpokii..jamaa huwa anatoa maneno pale pale yaan hapindishi na kila neno utacheka ....joti ni great clown mzuri tu ila pia hata kwny standup comedy pia yuko poa
 
Back
Top Bottom