Joti kuchekesha ktk maigizo yake sio lazma aweze pia kuchekesha ktk stand up comedy,stand up comedy ni ngumu tofauti na maigizo ya kutengeneza.lakini ni vizur tukaacha tabia ya kugeneralize mambo,binafsi ktk wachekeshaji wanaonichekeshaga sana tu ni pamoja na Mc pilipili,wakat mwingine hv vitu vinataka uwe una sense of humour and less serious na uwe umejiweka ktk mood ya kuchekeshwa.
Naunga mkono hoja aisee!Jot angefanya Stand Up Comedy angetisha sana Alf ana maneno hatari........Mc Pilipili analiazimisha tu...Nimeona nizungumze hili kwa vile kwa kweli katika walio ktk game ya stand up comedy. Kuna watu wanajaribu sana kumkuza Mc pilipili ambaye mimi namwona ni mmoja ya watu wasiojua kuchekesha hapa duniani. Sema kila shetani ana mbuyu wake.
JOTI ni mchekeshaji mzuri sana ambaye kama angefanya stand up comedy nadhan angefika mbali sana hata kimataifa kama akina erick omond n.k the man is good. Alivyo na vituko na uchekeshaji na si kama mc pilipili anayelazimisha fani.
Namshauri JOTI afanye stand up comedy na kama ameanza fanya atwambie anapatikana wapi ili watu wajifunze namna ya kucheksha na si kusimama jukwaan kuongea ujinga ujinga kama mc pilipil then mtake sisi wenye akili tucheke.
kweli mkuuhayo ni maoni yako wewe.......ila wapo wanaomkubali mkuu!!
We mwache tu coz kuna watu wanaomtegemea kwa kazi hiyo:
Huo ni mtazamo wkoSioni mchekeshaj hapo
Nakubaliana na wewe ila ukimfuatilia Mpoki ni zaid ya wote hao nakumbuka alimtoa machozi Rais mstaafu Jk kwa kucheka ktk kinondoni Talent show..Nimeona nizungumze hili kwa vile kwa kweli katika walio ktk game ya stand up comedy. Kuna watu wanajaribu sana kumkuza Mc pilipili ambaye mimi namwona ni mmoja ya watu wasiojua kuchekesha hapa duniani. Sema kila shetani ana mbuyu wake.
JOTI ni mchekeshaji mzuri sana ambaye kama angefanya stand up comedy nadhan angefika mbali sana hata kimataifa kama akina erick omond n.k the man is good. Alivyo na vituko na uchekeshaji na si kama mc pilipili anayelazimisha fani.
Namshauri JOTI afanye stand up comedy na kama ameanza fanya atwambie anapatikana wapi ili watu wajifunze namna ya kucheksha na si kusimama jukwaan kuongea ujinga ujinga kama mc pilipil then mtake sisi wenye akili tucheke.
Ivi ulitaka kusemaje manake hata sijakuelewa!!!
Una akili nyingi na kwahyo unataka uchkeshwe ki akili nyingi,Sawa genious subiri uchekeshwe na Dr magufuli,vichekesho vingi huwa vina mambo ambayo hayapo serious na Mara nyingi ni mambo ya kijingajinga tu na kwahyo akili yako lazma ihame kutoka ktk mambo serious Kuja ktk kupokea hata vitu vya kijinga ili ucheke na akili irelax na hyo ndio inaitwa sense of humour,hata hvyo sio lazma kila mchekeshaji akuchekeshe hata mm huwa sifurahishwi na mtu anaitwa mkali wenu hata afanye nn.Aisee... Tumeumbwa tofauti... Mimi binafsi huwa namwona anafanya tu mambo ya kipuuzi na kitoto... Nmeshindwa mara zote kuchekeshwa naye namwona tu kwa kuwa ndo ajira yake anajilazimisha aimudu.
Kwa wewe sikulamu ndege wa rangi moja huruka pamoja.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kahhh....nimecheka sanaNa mimi nakushauri mzee jitahidi kupambana na hali yako
Post sent using JamiiForums mobile app
Mtendee haki Joti angalau wachekeshaji tulionao Tz na yeye yumo!
Kwa viwango vyetu jamaa anachekesha ila akitoka nje ya Tz ajiona bado sana!
Joti hawezi standup. Angekua ashafanya zamaani. Maigizo si sawa na mubashara.
Pilipili hana kipaji kikubwa. Lakini nani mwingine? Kwahiyo watu wanakula kilichopo. Bora kikipatikana utaona tu mwenyewe.
Kwanza bongo uwanda wa wechekeshaji mubashara baaaaado sana kukua. Ndo umeanza. Kwahiyo watatoka tu shimoni wote.
Pilipili kaenda hadi marekani kuchekesha leo we ni nani useme hawezi standup comedy? Useme tu kipaji chake sio kikubwa sana na hayuko natural kwenye flow ya uchekeshaji. Mada zake zingine zinaboa hapohapo ila nae mjanja kubadili upepo anaweka kile mlichozoea kucheka nacho
Umeshasema anachekesha wa aina yake. Pilipili usioila yakuwashia nini? Wewe sio wa aina yake. Ama pengine huna bandama. Ndo maana huwezi kuchekeshwa nae.Kuenda marekan kwa mwaliko ukaunganisha hko huko wala si issue. Mi nmeenda marekan zaidi ya mara 3 wala si issue. Pilpil ni mpuuzi mwenye mambo ya kitoto ambayo wa aina yake wanaona anachekesha but kiuhalisia hana anachochekesha analazimisha sana....kama siku ya eid ndo alidhirisha kuwa hamna kitu ni mpuuzi tu kuja kusimulia safar ya marekani. Hakuwa akichekesha...kama alivyokuwa mwenzie mau... Hovyo kabisa.
Mi siku mc pilpili akinichekesha ntatembea uchi au ntaomba mods wanipige ban ya week nzima