Kwa story za kuchangamsha genge tunaikaribia Kenya lakini kiuhalisia tumepigwa kanzu, Tulichowazidi labda ni muziki na mpira

Achana na bidhaa za macho, tu ataka data😁😁😁
 
Sasa kaitembelee Kenya yenyewe
 
Na huo ndo ukweli wenyewe
 
Inasikitisha sana
 
Kenya wanasafirisha bidhaa zao na ndege zaidi kupeleka Ulaya.
 
Achana na bidhaa za macho, tu ataka data😁😁😁
Tbs wapo kijima,awatoi data while wenzao uwa mpaka wanapika data,TZ waajiriwa wengi awatimizi majukumu ya kikubwa tu mwisho wa mwezi anapokea mshahara wake,mimi si mtaalam wa masuala ya uchumi ila nikiangalia gape la deni la taifa la kwetu na kenya na miradi yetu kama nyerere dam,sgr,brt phase 2,3 na 4 GDP yetu aitakiwi iwepo ilipo sasa
 
Sasa hili kosa la wakenya?
 
Wakenya hawalali usiku kucha wanatafuta fursa sisi usiku kucha tuna bet, miziki, uzinzi, ushirikina, kunywa pombe mbaya zaidi tunaongozwa na watu wajinga haswa
 
Tanzania kuna ujinga mwingi kila mtu ni comedy kila mtu anaimba mziki.upumbavu mtupu

Sasa hivi kila radio ni mipira tu na kubet

Imefikia wakati tuna kampui za kubet nyingi kuliko kuliko vyuo vikuu

Watu wanapenda maisha flani rahisi
Hawataki kuumiza kichwa.
Wabongo tuna roho za kukunja sana
Mtu hata kama ana mchongo ulaya hawezi kukupa details za kueleweka anataka kupata yeye tu



UJinga ni mkubwa sana tanzania na kuna hawa watu ambao hawana faida yoyote hapa nchini lakin bado wanakumbatiwa na wana haribu generation

Kwa mfano hawa wakina MWIJAKU, BABA LEVO NA DOTO MAGARI PAMOJA NA HUYU CHIFU GODLOVE SIJUI KWA NN WAPO URAIANI MPAKA SASA HAWA NI WAPUMBAVU WA MWISHO AMBAO JAMII INAWACHEKEA.

TANZANIA HAKUNA WATU WELEDI KABISA SIMBA VS YANGA

CCM NA CHADEMA ZINATUMALIZA

miaka ijayo tutakuwa nchi ya hovyo kupita maelezo
 

Umejibu tu kwa Sifa za Kihaya, yeye kaleta Ushahidi wa maeneo anayoona wametushinda, wewe umeleta dharau tu na kusema kila kile alichosema
 
Kenya walicho tuzdi..nikuibia rasmal zetu nakuzpachika lebo zao..lakn tukipata raisi mjanja Kenya hawatuwezi kwa chochote ,,labda uhuru wa Katiba yao..
Kunakipindi jiwe aliwavimbia kidogo kuzuia watalii. mbona walfyata mkia wakarudisha mpaka dhahabu na hela zilizoibiwa
 
Sio Perception ni Reality, hivyo vyote unavyovisifia vina kiwango chake ndio maana tumezidiwa kiuchumi,ingekuwa vinaufaidisha sana tungekuwa mbali kuwazidi
 
Sio Perception ni Reality, hivyo vyote unavyovisifia vina kiwango chake ndio maana tumezidiwa kiuchumi,ingekuwa vinaufaidisha sana tungekuwa mbali kuwazidi
Urasimu ulikuwa kikwazo sana kwa uwekezaji Tanzania, stay tune, after 3 years!
 
hizo tons of cargo zinasaidia nn labda kama mpaka leo kuna mtu atakufa hospitali kwa kukosa 150k mwingine atazalia njiani kwa kukosa miundombinu ikiwemo barabara na magari ya wagonjwa...... hizo siment mabati yanamsaada gani kwa mwananchi wa kawaida kama kiwanda kitakua hapa kwetu na bado atauziwa mfuko wa simenti 17000
 
Sisi pia maden yanakua tup karibia trilioni 99.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…