Kwa style hii ni mwanamke gani atamkataaa Nasib Abdul Juma(Diamond Platnumz)?

Kwa style hii ni mwanamke gani atamkataaa Nasib Abdul Juma(Diamond Platnumz)?

Wenye hela hawazianiki kihivyo,,, lini umemkuta Bahresa kaweka hela mezani anahesabu.

Pia ulimbukeni na kukosa akili kuweka hela hadharani namna hiyo. Technologia ilivyokuwa sioni kama kuna haja ya kuonyesha hela. Hela nyingi.sasa hv zipo katika.mfumo wa electronic na siyo hard cash. Kuweka hela nyingi kwenye hard cash ni kujihatarishia maisha tu.
 
Kila mtu na nafasi yake huyo ni msaniii lazima show off kwani ndio taaluma yake inamruhusu hivyo.......kuongelewa na kusemwasemwa kila saaa
Ni kweli! Hiyo ni sehemu ya sanaa ili jina Lake lisikauke vinywani mwa mashabiki na hata wapinzani wake.
 
Diamond mjanja, kila demu anaye kua naye lazima amtengenezee pesa.. hakuna ndoa hapo..
 
Vipi kuhusu Mayweather??? Jamaa ana pigo kama hizo inamaana na yeye ha pesa.??
Wenye hela hawazianiki kihivyo,,, lini umemkuta Bahresa kaweka hela mezani anahesabu.

Pia ulimbukeni na kukosa akili kuweka hela hadharani namna hiyo. Technologia ilivyokuwa sioni kama kuna haja ya kuonyesha hela. Hela nyingi.sasa hv zipo katika.mfumo wa electronic na siyo hard cash. Kuweka hela nyingi kwenye hard cash ni kujihatarishia maisha tu.
 
Unajua showoff zingine za kijinga.Mjomba hajaizoea hela bado.Kama umegundua hapo haesabu hayo maburungutu anayafungua anayangalia anayafunga anarudisha.Mvinyo wa gesi uko kwenye glasi lakini bado anakunywa kwa chupa...
Ninachoona bado ni ushamba na ulimbukeni sijui ataizoea lini pesa...
Hard cash ni hatari sana kwa maisha yako
 
[emoji23][emoji23]jmn kashatangaza ,ndoa tarehe 14/2
Hamna mahusiano kiki ya show ya Kenya na Demu huyo ndiye muandaji Mombasa na Nairobi,kiingilio Ksh 5000 (Tsh 100,000) na Ksh 4000 (Tsh 80000) wanatengeneza hela tu.
 
jamani mbona umri wa Bakhresa na Mtoto wa Mbagala ni tofauti?
myinge mnyongeni niyo pesa ya kitanzania ni ya Diamond
humu JF tunapiga kelele kuwa tuna electonic money wakati hamna mwenye kiasi km hicho hapo cha zaidi ya 100m Tshs na bado dola mezani
Kina Dr Shika, wale wa D9 wala yule mtoto wa kirombo aliyewachangisha electonic money hawajatuonesha
 
Acha uboya mwenye pesa lazima ajitangaze na ndo maana kukawa na list za matajir dunian

We bwege umewahi kuwaona GATES au BUFFET wanatangaza utajiri walionao? Wenye kazi hiyo FORBES ndio wanawatangaza; sasa nyie vijisenti vya shoo moja tu mnakuwa wendawazimu, Je mgejariwa kuwa na zile za Mengi si ndio mgevaa chupi kichwani!!
 
Back
Top Bottom