Kwa Taarifa hii ya Upigaji kutoka Kwa CAG, naacha rasmi kuitetea Serikali

Bora hata!
Lakini sijui mnapata wapi ujasiri wa kuitetea serikali!
Mkuu ile sio CCM kwa maana ya Chama bali ile ni CCM Serikali, maana kuanzia mwajiri Mkuu hadi Mhudumu, wote wana kadi ya kijani.
 
Bora hata!
Lakini sijui mnapata wapi ujasiri wa kuitetea serikali!
Mkuu ile sio CCM kwa maana ya Chama bali ile ni CCM Serikali, maana kuanzia mwajiri Mkuu hadi Mhudumu, wote wana kadi ya kijani.
 
Wewe Chokovariebo ukawaambie na wale wenzako, au niseme ma id wenzako ninawavalia njuga.... mkae kwa mkao.. Sasa uje ninapoenda na visirani wenzako. Nawajueni, just so you know.

Nakushauri Uwache, Ukome kutukana Jamii ya Mtanzania. Vilevile, Ukemewe popote utakapo ibuka na Ulegee popote ulipo, qmmmmk
 
Aha ha a a karibu sana team Chato tumetumia NGUVU nyingi kukuelewesha lakini ukawa kichwa ngumu na kutukana watu matusi humu.

Serikali ya Awamu ya sita imeoza na inanuka uozo hatari TULISHALIONA Hilo tu alipoanza uteuzi BI TOZO

Si unaona hata wale waliokuwa walimtukana JPM awamu iliyopita sasa wako tuuli utafikiri nao walienda zao. Wale waliokuwa wakivujisha siri na documents sasa wako kimya huku wakijilambia asali zao.
CC: ChoiceVariable
 
Serikali ya maigizo hii, badala ya watu kunyongwa, viongozi wanalialia kijinga
 
Serikali zinapita... Mfumo imara unabaki!
Serikali si watakwambia hii ni ya ccm au hii ni awamu ya sita?!
But mifumo imara inabaki regardless nani yupo kwa power.
Bila kunyonga wahujumu mifumo haitaacha kutikiswa
Wahujumu wanyongwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…