Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza kuwa na Akili sasaKupigania Serikali kwenye Haki ya upigaji kama hii wakati Mimi sipati chochote Hadi kuishia kuitwa chawa ni fedheha.
Rasmi naacha Kuitetea Serikali wanaonufaika ndio waje Kuitetea na kujitetea..
Nitakuwa mpenzi mtizamaji na mchangiaji wa kawaida.
Mwisho ila sio Kwa umuhimu,Kama Rais atachukua hatua nitarudi ila kama itapita kimya kimya basi siko tayari kubebea watu misalaba.
Ukipenda boga penda pia na ua lake. We endelea kutetea tu, maana lengo lako si ni kuikomoa Chadema na ACT? ENDELEA TU MKUU.Kupigania Serikali kwenye Haki ya upigaji kama hii wakati Mimi sipati chochote Hadi kuishia kuitwa chawa ni fedheha.
Rasmi naacha Kuitetea Serikali wanaonufaika ndio waje Kuitetea na kujitetea..
Nitakuwa mpenzi mtizamaji na mchangiaji wa kawaida.
Mwisho ila sio Kwa umuhimu,Kama Rais atachukua hatua nitarudi ila kama itapita kimya kimya basi siko tayari kubebea watu misalaba.
Na mie ndio nilikuwa mtetezi mkubwa wa Serikali humu jf lakini sipati hata mia yaani nafanya kazi ya kujitolea kutetea majizi.
Bora nikajitolee kutetea watu wenye uhitaji huko.
Usiweke mapenzi Kwa mtu wala serikali. Mapenzi yako yajikite kwenye mfumo! Mfumo imara utakuwepo lakini watu imara watapita
Ulishindwa kuusoma mchezo muda wote huo?
Humu watu kama wewe huja na kupita, Huja na kuondoka. Inahitaji roho ngumu sana kuitetea serikali yetu maisha yako yote.
Tz hatuna nationalism wala uzalendo ukiona mtu anatoka povu kuitetea serikali either ni naive au ni mlamba asali.
Wewe Ndugu yangu wewe...! Yaani Kuna wakati unatema madini, mfano kama hapa umetema madini kabisa sio kama kule juu ulivyoboronga.
Sasa yaweke sawa madini yako.
Tupe taratibu za kufuata ili tubadili hizo system za kusimamia rasilimali na Kila hatua ya kufuata tueleze nani anatakiwa kufanya nini na nyenzo anazopaswa kutumia.
Asante sana Asubuhi Njema.
Tetea wananchi ambao ndio wenye umuhimu na mahitaji wakati wote.Na mie ndio nilikuwa mtetezi mkubwa wa Serikali humu jf lakini sipati hata mia yaani nafanya kazi ya kujitolea kutetea majizi.
Bora nikajitolee kutetea watu wenye uhitaji huko.
Unawezaje kutofautisha serikali na mfumo?Usiweke mapenzi Kwa mtu wala serikali. Mapenzi yako yajikite kwenye mfumo! Mfumo imara utakuwepo lakini watu imara watapita
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe Ndugu yangu wewe...! Yaani Kuna wakati unatema madini, mfano kama hapa umetema madini kabisa sio kama kule juu ulivyoboronga.
Sasa yaweke sawa madini yako.
Tupe taratibu za kufuata ili tubadili hizo system za kusimamia rasilimali na Kila hatua ya kufuata tueleze nani anatakiwa kufanya nini na nyenzo anazopaswa kutumia.
Asante sana Asubuhi Njema.
Nasubiria kuona kama hatua zitachukukiwa au itapita kama kimya kimya kama miaka yote.Amebaki lukas.
Hakuna serikali ya ccm ilistahili kutetewa hata ya Baba yenu wa Taifa ,wote ni failures ila yeye tutamsitahi Kwa kuwa hakuwa mdogo wa Mali Bali mroho wa madaraka.Ukweli mtupu,hakuna mtu anayejielewe akatetea hii serikali.
Wewe chunga sana na utumiaji wako wa lugha za ukimbari. Baboon mama yako shenzi weee qmmkoUjinga wa kutimua CAG ni WA baboon heads kina Mwendazake
Hakuna serikali ya ccm ilistahili kutetewa hata ya Baba yenu wa Taifa ,wote ni failures ila yeye tutamsitahi Kwa kuwa hakuwa mdogo wa Mali Bali mroho wa madaraka.