Kwa Taarifa hii ya Upigaji kutoka Kwa CAG, naacha rasmi kuitetea Serikali

Kwa Taarifa hii ya Upigaji kutoka Kwa CAG, naacha rasmi kuitetea Serikali

Kulikuwa na raisi shetani asiyependa ujanja ujanja asiyependa watu kuwa na vyeti feki sasa tuna raisi mcha mungu anaiponya nchi alisikika mbowe akisema kwenye hutubu ya bawacha
Huyo faru John nae mpigaji tu huko kwenye saccos yao.
 
Kupigania Serikali kwenye Haki ya upigaji kama hii wakati Mimi sipati chochote Hadi kuishia kuitwa chawa ni fedheha.

Rasmi naacha Kuitetea Serikali wanaonufaika ndio waje Kuitetea na kujitetea..

Nitakuwa mpenzi mtizamaji na mchangiaji wa kawaida.

Mwisho ila sio Kwa umuhimu,Kama Rais atachukua hatua nitarudi ila kama itapita kimya kimya basi siko tayari kubebea watu misalaba.
Endelea kupiga mapambio ya mama anaupiga mwingi.

Niliwahi uliza, nani anafahamu mama anakoipeleka nchi. Mlinipiga mawe.

Amemnanga JPM kwa kuondoa kila alichokipanga na kuweka mfumo wake. Amejilegeza hadi anakunywa chai na majambazi sugu.

Mama ameanza kuona rangi halisi za aliowaona ni marafiki zake.
 
Endelea kupiga mapambio ya mama anaupiga mwingi.

Niliwahi uliza, nani anafahamu mama anakoipeleka nchi. Mlinipiga mawe.

Amemnanga JPM kwa kuondoa kila alichokipanga na kuweka mfumo wake. Amejilegeza hadi anakunywa chai na majambazi sugu.

Mama ameanza kuona rangi halisi za aliowaona ni marafiki zake.
Huyo Mwendazake usimtaje kbisa ni rubbish wale wale
 
Kupigania Serikali kwenye Haki ya upigaji kama hii wakati Mimi sipati chochote Hadi kuishia kuitwa chawa ni fedheha.

Rasmi naacha Kuitetea Serikali wanaonufaika ndio waje Kuitetea na kujitetea..

Nitakuwa mpenzi mtizamaji na mchangiaji wa kawaida.

Mwisho ila sio Kwa umuhimu,Kama Rais atachukua hatua nitarudi ila kama itapita kimya kimya basi siko tayari kubebea watu misalaba.
Mnapoitetea serikali isiyowajibika mjue mnawasaliti watanzania maskini na hata kusababisha mateso na vifo vyao!
 
Kupigania Serikali kwenye Haki ya upigaji kama hii wakati Mimi sipati chochote Hadi kuishia kuitwa chawa ni fedheha.

Rasmi naacha Kuitetea Serikali wanaonufaika ndio waje Kuitetea na kujitetea..

Nitakuwa mpenzi mtizamaji na mchangiaji wa kawaida.

Mwisho ila sio Kwa umuhimu,Kama Rais atachukua hatua nitarudi ila kama itapita kimya kimya basi siko tayari kubebea watu misalaba.
Kuitetea hii serikali ya wapigaji lazima uwe mjinga sn
 
Kupigania Serikali kwenye Haki ya upigaji kama hii wakati Mimi sipati chochote Hadi kuishia kuitwa chawa ni fedheha.

Rasmi naacha Kuitetea Serikali wanaonufaika ndio waje Kuitetea na kujitetea..

Nitakuwa mpenzi mtizamaji na mchangiaji wa kawaida.

Mwisho ila sio Kwa umuhimu,Kama Rais atachukua hatua nitarudi ila kama itapita kimya kimya basi siko tayari kubebea watu misalaba.
Sasa akili imeingia, hongera
 
Rasmi naacha Kuitetea Serikali wanaonufaika ndio waje Kuitetea na kujitetea..
Mimi nadhani hiyo nguvu uliyoitumia kuitetea serikali ihamishe kwenye kupiga kampeini CAG abadilishwe ama atimuliwe!!!

Eeh! Ndiyo atimuliwe, unashangaaa nini!!?

Nakushauri ufanye hivyo, kwa sababu kama unafanya ukaguzi (CAG) unakuta mapungufu unatoa mapendekezo namna ya kuondoa mapungufu hayo na bado matatizo ya mapungufu hayo yanaoongezeka Kila uletapo ripoti nyingine....! Una haja gani ya kuendelea kuwa mkaguzi(CAG) kwenye Ofisi hiyo kama siyo unakaa kutafuna 'ngawila' za Watanzania bila umuhimu?
 
Mimi nadhani hiyo nguvu uliyoitumia kuitetea serikali ihamishe kwenye kupiga kampeini CAG abadilishwe ama atimuliwe!!!

Eeh! Ndiyo atimuliwe, unashangaaa nini!!?

Nakushauri ufanye hivyo, kwa sababu kama unafanya ukaguzi (CAG) unakuta mapungufu unatoa mapendekezo namna ya kuondoa mapungufu hayo na bado matatizo ya mapungufu hayo yanaoongezeka Kila uletapo ripoti nyingine....! Una haja gani ya kuendelea kuwa mkaguzi(CAG) kwenye Ofisi hiyo kama siyo unakaa kutafuna 'ngawila' za Watanzania bila umuhimu?
Ujinga wa kutimua CAG ni WA baboon heads kina Mwendazake
 
Kwa hiyo unataka kusema wewe ukipata mgao wa upigaji....(ngoja niache kuandika hili, sitaki ban)
Technically ukipata utakaa kimya ila Kwa nini Kuiba pesa ya umma? Kwa sababu ukikataa utafanyiwa Kila figisu utolewe au laa unauwawa..

So Ili tusifike huko badili systems za kusimamia rasilimali otherwise hakuna kitu kitabadilika.
 
baboon heads
Waswahili waelevu sana. Wana Methali hizo... Ukiambiwa mojawapo na nimwelevu unaweza kupata dalili za COVID-19 ndani ya dakika 5.

Bahati nzuri, Wewe Mkuu, yaani ChoiceVariable, kamwe huwezi kushtushwa ama kupata msongo wa mawazo kwa kuambiwa Methali za kiswahili.

'Hongera sana'
 
Kupigania Serikali kwenye Haki ya upigaji kama hii wakati Mimi sipati chochote Hadi kuishia kuitwa chawa ni fedheha.

Rasmi naacha Kuitetea Serikali wanaonufaika ndio waje Kuitetea na kujitetea..

Nitakuwa mpenzi mtizamaji na mchangiaji wa kawaida.

Mwisho ila sio Kwa umuhimu,Kama Rais atachukua hatua nitarudi ila kama itapita kimya kimya basi siko tayari kubebea watu misalaba.
 
So Ili tusifike huko badili systems za kusimamia rasilimali otherwise hakuna kitu kitabadilika.
Wewe Ndugu yangu wewe...! Yaani Kuna wakati unatema madini, mfano kama hapa umetema madini kabisa sio kama kule juu ulivyoboronga.

Sasa yaweke sawa madini yako.

Tupe taratibu za kufuata ili tubadili hizo system za kusimamia rasilimali na Kila hatua ya kufuata tueleze nani anatakiwa kufanya nini na nyenzo anazopaswa kutumia.

Asante sana Asubuhi Njema.
 
Back
Top Bottom