Kwa Taarifa hii ya Upigaji kutoka Kwa CAG, naacha rasmi kuitetea Serikali

Kwa Taarifa hii ya Upigaji kutoka Kwa CAG, naacha rasmi kuitetea Serikali

Aha ha a a karibu sana team Chato tumetumia NGUVU nyingi kukuelewesha lakini ukawa kichwa ngumu na kutukana watu matusi humu.

Serikali ya Awamu ya sita imeoza na inanuka uozo hatari TULISHALIONA Hilo tu alipoanza uteuzi BI TOZO
Siwezi jiunga na milengo ya Kisiasa yaani kiufupi sitaki siasa,nimewahi kuwa mfuasi wa Chadema ila Toka nione walivyosaliti Ile awamu ya 5 niliachana na siasa rasmi..

Kwanza watu kama kina Shonza,Mtala Mwampamba,Silinde,Huyo aloyelia juzi fala yule tulihangaika nae Ukonga nk.
Siasa ni unafiki so Mimi siwezi nimeacha endeleeni wenyewe uzuri mambo ya kufanya hapa Duniani ni mengi..
 
Siwezi jiunga na milengo ya Kisiasa yaani kiufupi sitaki siasa,nimewahi kuwa mfuasi wa Chadema ila Toka nione walivyosaliti Ile awamu ya 5 niliachana na siasa rasmi..

Kwanza watu kama kina Shonza,Mtala Mwampamba,Silinde,Huyo aloyelia juzi fala yule tulihangaika nae Ukonga nk.
Siasa ni unafiki so Mimi siwezi nimeacha endeleeni wenyewe uzuri mambo ya kufanya hapa Duniani ni mengi..
Hamna shidaa ngoja Sisi tuendelee kuisagia kunguni CCM. Sisi ni vijana waatiifu wa magufuli Wala siyo Chadema au CCM
 
Kupigania Serikali kwenye Haki ya upigaji kama hii wakati Mimi sipati chochote Hadi kuishia kuitwa chawa ni fedheha.

Rasmi naacha Kuitetea Serikali wanaonufaika ndio waje Kuitetea na kujitetea..

Nitakuwa mpenzi mtizamaji na mchangiaji wa kawaida.

Mwisho ila sio Kwa umuhimu,Kama Rais atachukua hatua nitarudi ila kama itapita kimya kimya basi siko tayari kubebea watu misalaba.
Hahaha
Na kura yako wataiba hauna la kuwafanya
 
Kupigania Serikali kwenye Haki ya upigaji kama hii wakati Mimi sipati chochote Hadi kuishia kuitwa chawa ni fedheha.

Rasmi naacha Kuitetea Serikali wanaonufaika ndio waje Kuitetea na kujitetea..

Nitakuwa mpenzi mtizamaji na mchangiaji wa kawaida.

Mwisho ila sio Kwa umuhimu,Kama Rais atachukua hatua nitarudi ila kama itapita kimya kimya basi siko tayari kubebea watu misalaba.
Ok, umeonesha maturity.
 
Back
Top Bottom