SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wewe kauli ya kula kwa urefu wa kamba uliielewaje?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi jiunga na milengo ya Kisiasa yaani kiufupi sitaki siasa,nimewahi kuwa mfuasi wa Chadema ila Toka nione walivyosaliti Ile awamu ya 5 niliachana na siasa rasmi..Aha ha a a karibu sana team Chato tumetumia NGUVU nyingi kukuelewesha lakini ukawa kichwa ngumu na kutukana watu matusi humu.
Serikali ya Awamu ya sita imeoza na inanuka uozo hatari TULISHALIONA Hilo tu alipoanza uteuzi BI TOZO
Kuiponya Kwa kuchekea wezi kula Kodi zetu nooKulikuwa na raisi shetani asiyependa ujanja ujanja asiyependa watu kuwa na vyeti feki sasa tuna raisi mcha mungu anaiponya nchi ..alisikika mbowe akisema kwenye hutubu ya bawacha
Kinyonge sana!!Rais anatakiwa aoneshe makali haiwezekani tukamuliwe mitozo, bundle ziongezwe bei afu kuna mbwa wanakula bure tu
Niilielewa kama.methali ya Siku zote mbuzi hula kulingana na urefu wakeWewe kauli ya kula kwa urefu wa kamba uliielewaje?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Na sio tozo pekee inayopigwa,hadi hizo zinazokopwa nje zitakuwa zinatafunwa.😀😀😀 watu wanatafuna tozo alafu unawauliza watajibu nini mbinguni kwa Mungu???WTF . Wachina wangekua wanatania namna hii leo wasingekuwa kati ya mataifa Superpower
Hamna shidaa ngoja Sisi tuendelee kuisagia kunguni CCM. Sisi ni vijana waatiifu wa magufuli Wala siyo Chadema au CCMSiwezi jiunga na milengo ya Kisiasa yaani kiufupi sitaki siasa,nimewahi kuwa mfuasi wa Chadema ila Toka nione walivyosaliti Ile awamu ya 5 niliachana na siasa rasmi..
Kwanza watu kama kina Shonza,Mtala Mwampamba,Silinde,Huyo aloyelia juzi fala yule tulihangaika nae Ukonga nk.
Siasa ni unafiki so Mimi siwezi nimeacha endeleeni wenyewe uzuri mambo ya kufanya hapa Duniani ni mengi..
Ndio nini?Paid by Views
Thubutu
Kiingereza na KiswahiliNdio nini?
Hivi lucas mshumbuzi sijui mshambwaza yuko wapiHali ni Mbaya sana!
HahahaKupigania Serikali kwenye Haki ya upigaji kama hii wakati Mimi sipati chochote Hadi kuishia kuitwa chawa ni fedheha.
Rasmi naacha Kuitetea Serikali wanaonufaika ndio waje Kuitetea na kujitetea..
Nitakuwa mpenzi mtizamaji na mchangiaji wa kawaida.
Mwisho ila sio Kwa umuhimu,Kama Rais atachukua hatua nitarudi ila kama itapita kimya kimya basi siko tayari kubebea watu misalaba.
Sina hata ratiba ya kupiga kuraHahaha
Na kura yako wataiba hauna la kuwafanya
Ok, umeonesha maturity.Kupigania Serikali kwenye Haki ya upigaji kama hii wakati Mimi sipati chochote Hadi kuishia kuitwa chawa ni fedheha.
Rasmi naacha Kuitetea Serikali wanaonufaika ndio waje Kuitetea na kujitetea..
Nitakuwa mpenzi mtizamaji na mchangiaji wa kawaida.
Mwisho ila sio Kwa umuhimu,Kama Rais atachukua hatua nitarudi ila kama itapita kimya kimya basi siko tayari kubebea watu misalaba.