GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #181
Nasikitika sana kwamba ume generalize nyanya na nyama kwa kuwa vyote ni vyekundu ungeuliza sifa za kutofautish magari na usafiri ni zipi! lakini kwa kuwa umeamua kuonysha ni jinsi gani umtupu hakuna wa kukulaumu....
Ni Lazima Tu Utakuwa Unanijua Tena Vilivyo Kwakuwa " Nimeshakutindua " Mno Hadi Nilipokutema Na Kuwa Na Mahusiano Na Huyo Hawara Yangu Uliyemtaja Hapo Wa Hilo Gazeti. Je Una Jingine Labda Umelibakisha Kwangu?
Hahaha,mkuu nilikuwa sipo ila ndio nimeuona uzi huu.
Chombo cha uchawiNa sisi tunaomiliki private jet je?
Acha wivu wa kike.Chombo cha uchawi
Basi msubiri GENTA... akupe Jibu zuri zaidi ya la keanguAcha wivu wa kike.
Hivi Aliye Na AKILI Halafu Anajua Kabisa Kuwa Anapoteza Muda Na Mtu Ambaye Kwake Anasema Hana AKILI Huwa Anaitwaje? Unaweza Ukanijibu Wewe au Tukasubiria Members Waje Na Majibu Yao KUNTU. Halafu Angalia Jinsi ULIVYO POPOMA Unajibishana Na Mtu Ambaye Hata Huna UHAKIKA Nae Na Sana Sana Unamjua Tu Kupitia ID Hujioni Kama UNACHEKESHA Watu Humu? Halafu Nilikuwa Sijui Kumbe Kuwa Na Miaka 32 Ni Kuzeeka! Kwahiyo Mwenye Miaka 37 au 40 Utamuitaje? Kwahiyo Mwenzetu Wewe Ni Dokta au Profesa Kwani Naona Umejichanganya Hapo Ulipokuwa UKIJIBARAGUZA. Ila Sikushangai Kwani Watoto Mliopigiwa " Mabao " Chooni Kisha Mkazaliwa Na Kukulia Na Kukazwa Hapo Magomeni Mapipa Kwa Macheni Huwa Mnakuwa Na Swaga Hizi. Bora Mimi Think Tank Wa Lumumba Kuliko Wewe Think Tank Wa " Kunya Kunya " a.k.a Biafra.
Hivi Aliye Na AKILI Halafu Anajua Kabisa Kuwa Anapoteza Muda Na Mtu Ambaye Kwake Anasema Hana AKILI Huwa Anaitwaje? Unaweza Ukanijibu Wewe au Tukasubiria Members Waje Na Majibu Yao KUNTU. Halafu Angalia Jinsi ULIVYO POPOMA Unajibishana Na Mtu Ambaye Hata Huna UHAKIKA Nae Na Sana Sana Unamjua Tu Kupitia ID Hujioni Kama UNACHEKESHA Watu Humu? Halafu Nilikuwa Sijui Kumbe Kuwa Na Miaka 32 Ni Kuzeeka! Kwahiyo Mwenye Miaka 37 au 40 Utamuitaje? Kwahiyo Mwenzetu Wewe Ni Dokta au Profesa Kwani Naona Umejichanganya Hapo Ulipokuwa UKIJIBARAGUZA. Ila Sikushangai Kwani Watoto Mliopigiwa " Mabao " Chooni Kisha Mkazaliwa Na Kukulia Na Kukazwa Hapo Magomeni Mapipa Kwa Macheni Huwa Mnakuwa Na Swaga Hizi. Bora Mimi Think Tank Wa Lumumba Kuliko Wewe Think Tank Wa " Kunya Kunya " a.k.a Biafra.
Nahisi huyu jamaa atakua ni kamwanafunzi kako english course au mtu mzimaa sana anabaka elimu. Ludicrous ndo nini???????? Hahahahahha hajui hata Vx na landcruiser, poor poorAbsolutely Out Of Context You Ludicrous! Lazima Ikuume Na Ushangae Sana Kwani Kufanya Kwangu Hizo Kozi Mbili Kwa Wakati Mmoja Kunaonekana Kuna Kuuma Mno Ukizingatia Ktk UKOO Wenu Mzima Aliyekimbia Umande Japo Kwa Kuwa Na Ka Diploma Ni Wewe. Na Labda Nikuibie Tena Siri Ili Uumie Zaidi Namaliza Rasmi November 2016 Halafu Mwakani Naunganisha Kwenda Kufanya PhD Yangu. Utanichukia Hadi UPASUKE Na Najua ID Hii Itakuuma Mno Humu JF. Chuki Yako Ya KUTOKUSOMA au KUSOMA KWA DHIKI NA SHIDA KUSIKUFANYE HADI UKAWA UNATUCHUKIA SISI AMBAO Wazazi Wetu WALIWEKEZA Vizuri PESA Zao ILI TUSOME Hivyo Kama Wa Kwako WALIWEKEZA KTK KUNYWA GONGO, KUTAHIRI UKOO WAKO, KUONGEZA IDADI YA WAKE NA KUNUNULIA UGOLO NI WAO Na WALAUMU WAO. Sasa Nime Log In Tena Ili Ni Refresh Mind Na MAPOPOMA Kama Wewe Humu Baada Ya Kazi Nzito Ya Kubukua Niliyonayo. Nafurahi Sana Unavyopoteza Muda Wako Na Mimi.
Nahisi huyu jamaa atakua ni kamwanafunzi kako english course au mtu mzimaa sana anabaka elimu. Ludicrous ndo nini???????? Hahahahahha hajui hata Vx na landcruiser, poor poor
Wewe unadanganywa na huyo bwege ni mrwanda unakubaliiii, hana ishu acha apewe tibaHivi dunia ya leo kuna watu bado wanatukana watu kwaajili ya utaifa wao? GENTAMYCINE &UncleBen u have unfinished bussiness u better handle it with wisdom! We are all Africans and Africa is the same labda tofauti za Pua, weusi, lugha,culture na hulka! Tuna vita kubwa as Africans to proove the world that we can make things happening! U guys are talking rubbish ! Kama mrwanda poa, kama mtanzania poa ! Muwe wasomi au ma lymans tunataka kuona uwezo wa kukabiliana na maisha mkiwa responsible fathers, husbands,citizens sio kelele za mimi sijui nani!
We kajambe ulale sasa kesho uwahi ukahesabiwe namba unakesha na civics hadi saa hizi??? Hutafika mbali we mtotoSasa Kama Mpaka UMRI Huo NYWELE Zote Za MWILINI Zimekuota Hadi Nyingine Zinanyonyoka Kama Mgonjwa Wa Kwashakoo Hujui Maana Ya Neno " Ludicrous " Humu JF Unafanya Nini? Nakuongezea Sasa Lingine Wewe Ni Typical Inane. Kiingereza Changu Si Wewe Tu Ambaye Hukiwezi Bali Naamini Hata KOO Zako Zote Mbili HAZIKIWEZI. Jifunze Kuwa " Wordsmith ". Sikukutuma Usome Shule Za HOHE HAHE Ulizopitia Na Utanisamehe Sana Tafadhali.
We tuambie tofauti ya landcruiser na vx ni nini? Au ndo unaangalia picha za magari kwenye magazeti unakuja kuharisha huku na povu linakutoka jiiiiiiiingiSasa Kama Mpaka UMRI Huo NYWELE Zote Za MWILINI Zimekuota Hadi Nyingine Zinanyonyoka Kama Mgonjwa Wa Kwashakoo Hujui Maana Ya Neno " Ludicrous " Humu JF Unafanya Nini? Nakuongezea Sasa Lingine Wewe Ni Typical Inane. Kiingereza Changu Si Wewe Tu Ambaye Hukiwezi Bali Naamini Hata KOO Zako Zote Mbili HAZIKIWEZI. Jifunze Kuwa " Wordsmith ". Sikukutuma Usome Shule Za HOHE HAHE Ulizopitia Na Utanisamehe Sana Tafadhali.
We kajambe ulale sasa kesho uwahi ukahesabiwe namba unakesha na civics hadi saa hizi??? Hutafika mbali we mtoto