JT2014
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 1,863
- 1,368
Kaka kuringa ni tabia ya mtu,wapo watu nawafahamu wana hizo hummerInasemekana Kwamba Kumbe Haya Magari Watu Wanayoyamiliki Yamegawanywa Ktk Makundi Makuu Mawili Ambapo Kundi La Kwanza Ni Lile La CHOMBO TU CHA USAFIRI Na Kundi La Pili Ni GARI LENYEWE Na Mimi Bila Hiyana Naweka Mambo Yote Hadharani Kwenu Ili Mjue Hii Kitu Na Tuondokane Na KERO Na SHOBO Zisizo Na Msingi Humu Mitaani Na Mijini.
KUNDI A. VYOMBO VYA USAFIRI NI KAMA VIFUATAVYO:
KUNDI B. MAGARI HALISI NI KAMA HAYA YAFUATAYO:
- BAISKELI
- GUTA
- PIKIPIKI
- BAJAJI
- STARLET
- CARINA
- VITZ
- IST
- ALTEZZA
- SPACIO
- OPA
- SUZUKI
- VOLSWAGEN
- PEGUOT
- LAND CRUISER
- NOAH
Unadhani Ktk Hayo Makundi Mawili Makuu Ni Kundi Lipi Ambalo WANASTAHILI KURINGA NA WANAONEKANA KUWA NDIYO WENYE JEURI YA PESA Na Ni Kundi Lipi UNADHANI WATU WAKE WANASTAHILI WAACHE SHOBO NA MAJIGAMBO YAO HASA HAPA KWETU TANZANIA?
- BENZ
- VEROSSA
- RANGE ROVER
- MAZDA
- BMW
- DISCOVERY
- NISSAN PATROL
- VX
- CHASER
- CRESIDA
- HUMMER
Karibuni.
lakini ukimkuta mahali ametulia wala huwezi kumdhania,
kujikweza kwa utajiri wako usiomsaidia maskini asilale njaa nyumbani kwake,
ni ushamba na ulimbukeni,ila umetusahau sisi wenye RAV4 na kilikuu tuko kundi gani?.