Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
- Thread starter
-
- #21
Umeongea kwa hoja. Jinsi ambavyo kila mwanamichezo anapaswa awaze. Mimi kutoa maoni yangu kuhusu wachezaji na benchi la ufundi ni haki yangu. Na haya hayawezi badilisha lolote ambalo team inapanga. Natimiza tu haki yangu ya kikatiba. Kama ambavyo ningesifia ni sawa pia.Aliyelalamika ni nani? Hao mashabiki wachache walio jitokeza hapo uwanjani ndiyo ionekane mashabiki wote wa Yanga tunalalimika na kufanya fujo?...
Nmekutana sana na hizo changamoto admins wengi wa magroup huwa hawana akili, uelewa. Hawawezi hoja wanataka tusifuna kuabudu tu. Ukikosoa unaitwa mamluki.Kwenye group moja niliandika mtizamo wangu juu ya baadhi ya wachezaji wa Yanga yetu hii niliishia kuonekana mamluki, kuna admn moja mjinga sana anataka tuwe tuna sifia tu wakati kuna wachezaji wanalipwa hela ndefu hawana msaada wowote kwa team. Waliishia kunitoa kwa group nikasema afadhali bakini na ujinga wenu humo.
Mechi zijazo tumejipanga kushinda kwa hali na mali. Hatutapoteza. Niamini mimi.Kuna mechi mbili za Yanga zitakazo fuata zitaamsha Bundi pale Jangwani"Mungu ajaalie iwe kweli"aamin"
Kwa wachezaji wepi wa kuwapa ushindi?Mechi zijazo tumejipanga kushinda kwa hali na mali. Hatutapoteza. Niamini mimi.
Ni wachezaji wazuri tunawapa muda. Wapo kina Saido (Majeruhi) akina Kisinda ,Mukoko Tonombe, Deusi Kaseke n.kKwa wachezaji wepi wa kuwapa ushindi?
Wakina Calinyos na Fiston?
Ao wachezaji majeruhi awawezi. washatumika sana ndo maana mkapewa kwa bei rahisi,viongozi wenu wamewapa mikataba ya wiki 24 kila mchezaji kwasabau washatumuka sana.Ni wachezaji wazuri tunawapa muda. Wapo alina Saido (Majeruhi) akina Kisinda ,Mukoko Tonombe, Deusi Kaseke n.k
Ao wachezaji majeruhi awawezi. washatumika sana ndo maana mkapewa kwa bei rahisi,viongozi wenu wamewapa mikataba ya wiki 24 kila mchezaji kwasabau washatumuka sana.
Alafu embu nijuze mkuu,Ntibayonkiza kapata majeraha kwenye mechi ipi?
Labda aliumia akiwa mazoezini, ila kwa ile mechi mliyobeba kombe la plastiki nakataa hakuumia.Simba vs Yanga. Au unadhani alipatia majeraha akiwa kitandani?[emoji16]
Ule ndio mpira wenu, pira gwaride makuruta fc, pili kwanini kocha na baadhi ya wachezaji wamfanyie fujo refa kama hamkwenda na matokeo yenuAliyelalamika ni nani? Hao mashabiki wachache walio jitokeza hapo uwanjani ndiyo ionekane mashabiki wote wa Yanga tunalalimika na kufanya fujo?
Ni kweli Yanga haikucheza vizuri kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya ubovu wa uwanja, na pia baadhi ya wachezaji kama huyo Sarpong na Fiston kupuyanga tu uwanjani, muda wote wa mchezo.
Kuhusu goli na penati, vyote vilikuwa ni halali. Ule mpira uliokolewa ndani. Na kuhusu penati, ilikuwa ni penati halali baada ya Yassin Mustafa kukosa umakini eneo la hatari.
Mimi nakushauri tu waache wachezaji na benchi la ufundi wafanyie kazi changamoto zilizo jitokeza. Mpira wa miguu una matokeo 3! Tumepata sare ugenini, bado tunaongoza ligi, timu inajipanga kwa mechi ijayo.
Bila shaka utakuwa hauna muda mrefu kwenye football mkuuUmeogea ukweli mtupu mkuu! Yanga wana shida aisee! Timu kubwa kama Yanga walishindwa kupata goli 2 au 3 mbele ya vibonde wa ligi ndani ya dakika za mchezo alafu mnakuja kumlalamikia refa ilihali hata goli leyewe walipewa tena dakika za jioni!? Hii i aibu kubwa!
Alafu nimshauri kocha wa Yanga naona nae anataka kupita njia alikopita Mwinyi Zahera.
Kocha lazima atambue kuwa ubingwa wa ligi haupatikani kwa kutamka kwa maneno kwamba sisi mabingwa! La hasha! a wala ubingwa haupatikani kwa ushindi wa mechi moja au mbili, bali ubingwa unapatikana kwa agregate ya ushindi wa asilimia kubwa ya mechi zote za ligi, sasa hii ya kuanza kujitangaza kuwa Yanga jni mabingwa wakati bado una mechi lukuki tena unashinda kwa mbinde inatoka wapi??
Kuhusu hilo nenda moja kwa moja kuwa Yanga ndo wanaogomea Nembo ya Mdhamini
Mkuu hayo mamo ya last season ndo unayowezamueleza mtu hakuwepo kwenye soka! nimewashududia mpaka akia Zamoyoi Mogella(Golden Boy), Gagario, Idd Pazy, Suday Juma(Pikipiki), Mambosasa, Said Zimbwe, Kenny Mkapa, Fredy felix Minziro, huko nje kwa EPL na nyinginezo, nikikutajia hata majina ya wachezaji wa enzi hizo hapa Tanzania tulikuwa tunasikiliza mpira kupitia Redio Tanzania (RTD) na kutoka huko majuu tulipata haari za michezo kutoka idhaa ya kiswahili ya Ujerumai Magharibi, hata nikikutajia watangazaji wa mpira maarufu wa enzi hizo sidhani kama unamfahamu hata mmoja!..........Kwa ufupi Yanga punguzeni malalamiko, pale mnaposhindwa jitazameni zaidi katika uthaifu weu a msiwe wepesi wa kutafta visigizio! Ni aibu kwa timu iliyosheheni wachezaji wa kimataifa tena wanaotisha kama akina Kisinda, Tonombe, Surpong, Fiston na wengine lakini mnashindwa kupata matokeo mbele ya timu isiyo na mchezaji wa kulipwa hata mmoja! Alafu mnakimbilia kulaum refa!Bila shaka utakuwa hauna muda mrefu kwenye football mkuu
Last season EPL Liverpool akiwa form alipigwa na Watford ambayo ilikuwa inashuka daraja
Kwa hiyo mkuu, Yanga anatakiwa Adroo/kufungwa na team gani VPL?Mkuu hayo mamo ya last season ndo unayowezamueleza mtu hakuwepo kwenye soka! nimewashududia mpaka akia Zamoyoi Mogella(Golden Boy), Gagario, Idd Pazy, Suday Juma(Pikipiki), Mambosasa, Said Zimbwe, Kenny Mkapa, Fredy felix Minziro, huko nje kwa EPL na nyinginezo, nikikutajia hata majina ya wachezaji wa enzi hizo hapa Tanzania tulikuwa tunasikiliza mpira kupitia Redio Tanzania (RTD) na kutoka huko majuu tulipata haari za michezo kutoka idhaa ya kiswahili ya Ujerumai Magharibi, hata nikikutajia watangazaji wa mpira maarufu wa enzi hizo sidhani kama unamfahamu hata mmoja!..........Kwa ufupi Yanga punguzeni malalamiko, pale mnaposhindwa jitazameni zaidi katika uthaifu weu a msiwe wepesi wa kutafta visigizio! Ni aibu kwa timu iliyosheheni wachezaji wa kimataifa tena wanaotisha kama akina Kisinda, Tonombe, Surpong, Fiston na wengine lakini mnashindwa kupata matokeo mbele ya timu isiyo na mchezaji wa kulipwa hata mmoja! Alafu mnakimbilia kulaum refa!
Mkuu kuna timu ambazo mkipoteza au kutoa nayo sare unasema hapa tulistahili matokeo haya na kuna timu ambayo ukipata matokeo hayo kwao inabidi wewe mwenyewe ujitathmini upya! Hapo juu nimekupeni ushauri wa bure si kama shabiki wa Simba bali mdau wa soka, Sasa msipoufanyia kazi ushauri wa bure kama huo mkang'ang'ana kutolea mifano ya Ligi za majuu ni sawa na kuhalalisha Yanga ifungwe na timu yoyote hata ya mchangani na bado watu waone ni sawa tuu!Kwa hiyo mkuu, Yanga anatakiwa Adroo/kufungwa na team gani VPL?
Au anatakiwa kushinda game 32 kasoro mbili za Simba SC?
Nikukumbushe tu msimu huu mwaka huu huu, United ikiwa na (pogba, Bruno, cavan, rashford etc) alifungwa na Sheffied United ambayo yuko last postion na mpaka anakutana na United alikuwa kashinda game 2 tu