Mkuu hayo mamo ya last season ndo unayowezamueleza mtu hakuwepo kwenye soka! nimewashududia mpaka akia Zamoyoi Mogella(Golden Boy), Gagario, Idd Pazy, Suday Juma(Pikipiki), Mambosasa, Said Zimbwe, Kenny Mkapa, Fredy felix Minziro, huko nje kwa EPL na nyinginezo, nikikutajia hata majina ya wachezaji wa enzi hizo hapa Tanzania tulikuwa tunasikiliza mpira kupitia Redio Tanzania (RTD) na kutoka huko majuu tulipata haari za michezo kutoka idhaa ya kiswahili ya Ujerumai Magharibi, hata nikikutajia watangazaji wa mpira maarufu wa enzi hizo sidhani kama unamfahamu hata mmoja!..........Kwa ufupi Yanga punguzeni malalamiko, pale mnaposhindwa jitazameni zaidi katika uthaifu weu a msiwe wepesi wa kutafta visigizio! Ni aibu kwa timu iliyosheheni wachezaji wa kimataifa tena wanaotisha kama akina Kisinda, Tonombe, Surpong, Fiston na wengine lakini mnashindwa kupata matokeo mbele ya timu isiyo na mchezaji wa kulipwa hata mmoja! Alafu mnakimbilia kulaum refa!