Kwa tafiti hizi tutafika Mbinguni tumechoka sana

Kwa tafiti hizi tutafika Mbinguni tumechoka sana

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1,484
Reaction score
2,852
Utafiti kutoka Chuo kimoja Kikuu huko London unasema kwamba, unapojikwaa au kupata maumivu, kiwango cha uchungu unachopata kinategemea na kiwango chako cha maisha.

Iwapo wewe ni maskini basi utahisi uchungu mwingi zaidi kuliko yule ambaye ni tajiri.

Una maoni gani kuhusiana na utafiti huu?
 
Utafiti kutoka Chuo kimoja Kikuu huko London unasema kwamba, unapojikwaa au kupata maumivu, kiwango cha uchungu unachopata kinategemea na kiwango chako cha maisha. Iwapo wewe ni maskini basi utahisi uchungu mwingi zaidi kuliko yule ambaye ni tajiri.

Una maoni gani kuhusiana na utafiti huu?
Hao waliofanya utafiti kuna masikini hata mmoja?
 
Back
Top Bottom