Kwa tamaa na Uchu wa Madaraka Lissu amejidhulumu nafasi ya Uongozi, Pia amejikosesha fursa ya wazi kugombea Urais kupitia CHADEMA

Kwa tamaa na Uchu wa Madaraka Lissu amejidhulumu nafasi ya Uongozi, Pia amejikosesha fursa ya wazi kugombea Urais kupitia CHADEMA

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kwa heka heka za uchaguzi wa chadema iliyogawanyika ngazi ya taifa zinazoendelea, wasomi vijana na wadau wa siasa nchini, wanapata fursa na nafasi muhimu sana ya kujifunza, kuelewa na kufahamu umuhimu wa kua na subra na kutathmini mambo kwa kina na umakini mkubwa kabla ya kufanya maamuzi na kuchukua hatua kuelekea mbele katika utekelezaji wa maamuzi yako, vinginevyo maamuzi yako yanaweza kua ni kujifungia fursa na kuzika ndoto zako mwenyewe.

Lakini pia,
wanasiasa vijana wasomi na wadau wa siasa humu nchini, wanapata fursa ya kipekee sana, kujionea kinagaubaga, mchana kweupe athari za maamuzi ya pupa, tamaa, makelele na mdomo, kwenye mambo muhimu ambayo yanahitaji mahesabu na tathmini ya kina kabla ya kufanya uamuzi.

Uchaguzi huu wa chadema Taifa, ni shule na darasa muhimu sana kwa watu wenye ndoto, matarajio na mipango, mathalani ya kua viongozi wakubwa wa kitaifa na kimataifa. Pamoja na mambo mengine, athari zitakazowakumba baadhi ya wagombea uongozi, zinafaa kutufundisha kuwa watulivu, kutumia hekima na busara kuamua, lakini pia kua sharp sana, katika kuasses faida, matokeo na hasara za uamuzi utakachukua.

Kujinyima fursa kwa uamuzi wa pupa ni sawa na kujidhulumu mwenyewe kwa kujidhuru.

Epuka tamaa na uchu wa madaraka. Usifanye maamuzi kwa hasira. Jihadhari na washauri wabaya.

Chadema inakwenda kupata fursa ya kumpendekeza na kumchagua mgombea urasi na mpeperusha bendera wake urais 2025, ikiwa na umoja wa kiwango cha juu sana licha ya kwamba hatashinda nafasi hiyo ya ukuu wa nchi. Hapatakua na makelele wala mdomo tena chadema 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Kwa heka heka za uchaguzi wa chadema iliyogawanyika ngazi ya taifa zinazoendelea, wasomi vijana na wadau wa siasa nchini, wanapata fursa na nafasi muhimu sana ya kujifunza, kuelewa na kufahamu umuhimu wa kua na subra na kutathmini mambo kwa kina na umakini mkubwa kabla ya kufanya maamuzi na kuchukua hatua kuelekea mbele katika utekelezaji wa maamuzi yako, vinginevyo maamuzi yako yanaweza kua ni kujifungia fursa na kuzika ndoto zako mwenyewe.

Lakini pia,
wanasiasa vijana wasomi na wadau wa siasa humu nchini, wanapata fursa ya kipekee sana, kujionea kinagaubaga, mchana kweupe athari za maamuzi ya pupa, tamaa, makelele na mdomo, kwenye mambo muhimu ambayo yanahitaji mahesabu na tathmini ya kina kabla ya kufanya uamuzi.

Uchaguzi huu wa chadema Taifa, ni shule na darasa muhimu sana kwa watu wenye ndoto, matarajio na mipango, mathalani ya kua viongozi wakubwa wa kitaifa na kimataifa. Pamoja na mambo mengine, athari zitakazowakumba baadhi ya wagombea uongozi, zinafaa kutufundisha kuwa watulivu, kutumia hekima na busara kuamua, lakini pia kua sharp sana, katika kuasses faida, matokeo na hasara za uamuzi utakachukua.

Kujinyima fursa kwa uamuzi wa pupa ni sawa na kujidhulumu mwenyewe kwa kujidhuru.

Epuka tamaa na uchu wa madaraka. Usifanye maamuzi kwa hasira. Jihadhari na washauri wabaya 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wewe kinachokuuma ni kipi?
Nasikia Samia ameanza kulalamika kwamba mmemtelekeza wal hamumtajitaji tena mitandaoni
 
Chimbo la kupiga hela la Mbowe na machawa wake wanaanza kuhaha! Mbowe anachoangalia ni kupiga hela za Ruzuku na za upinde
 
Kwa heka heka za uchaguzi wa chadema iliyogawanyika ngazi ya taifa zinazoendelea, wasomi vijana na wadau wa siasa nchini, wanapata fursa na nafasi muhimu sana ya kujifunza, kuelewa na kufahamu umuhimu wa kua na subra na kutathmini mambo kwa kina na umakini mkubwa kabla ya kufanya maamuzi na kuchukua hatua kuelekea mbele katika utekelezaji wa maamuzi yako, vinginevyo maamuzi yako yanaweza kua ni kujifungia fursa na kuzika ndoto zako mwenyewe.

Lakini pia,
wanasiasa vijana wasomi na wadau wa siasa humu nchini, wanapata fursa ya kipekee sana, kujionea kinagaubaga, mchana kweupe athari za maamuzi ya pupa, tamaa, makelele na mdomo, kwenye mambo muhimu ambayo yanahitaji mahesabu na tathmini ya kina kabla ya kufanya uamuzi.

Uchaguzi huu wa chadema Taifa, ni shule na darasa muhimu sana kwa watu wenye ndoto, matarajio na mipango, mathalani ya kua viongozi wakubwa wa kitaifa na kimataifa. Pamoja na mambo mengine, athari zitakazowakumba baadhi ya wagombea uongozi, zinafaa kutufundisha kuwa watulivu, kutumia hekima na busara kuamua, lakini pia kua sharp sana, katika kuasses faida, matokeo na hasara za uamuzi utakachukua.

Kujinyima fursa kwa uamuzi wa pupa ni sawa na kujidhulumu mwenyewe kwa kujidhuru.

Epuka tamaa na uchu wa madaraka. Usifanye maamuzi kwa hasira. Jihadhari na washauri wabaya.

Chadema inakwenda kupata fursa ya kumpendekeza na kumchagua mgombea urasi na mpeperusha bendera wake urais 2025, ikiwa na umoja wa kiwango cha juu sana licha ya kwamba hatashinda nafasi hiyo ya ukuu wa nchi. Hapatakua na makelele wala mdomo tena chadema 🐒

Mungu Ibariki Tanzania

Haya mahaba makubwa ya ghafla ya chawa na uvccm kwa chadema yanatisha na kufurahisha, ghafla mwashambwa na group zima la chawa linaitakia chadema mema, kweli zama mpya hizi. Ila adui yako akikupenda unapaswa kujitazama mara nyingi kidogo!

Nyuzi bin nyuzi yani bandika bandua kila ndani la lisaa za kuitakia chadema uchaguzi mwema na kuchagua mwenyekiti anayefaa sana😀!
 
Haahaa duh, Dunia Haina haki, Yaani aliyekaa madarakani miaka 0 na aliyekaa madarakani miaka 20 nani ana tamaa ya madaraka?

Mkuu ndio akili za vijana wa sasa, hawa ndio akili kama za ndugai, akiwa speaker alisema hatake asitake tutamlazimisha magufuri tuondoe ukomo wa madaraka, wakasahau kama kina mzee mwinyi, ben na JK nao wangesema waondoe ukomo hata huyo magufuri wao asingekuja kuwa rais wa nchi hii kamwe
 
Issue ni ruzuku ya fedha za walami...fedha za upinde
sifahamu hata,
kumbe hiyo nayo inaweza kua miongoni mwa sababu za mtifuano huu wa kidemokrasia ndani ya chadema?🐒
 
Ccm wanahaha kila aibu wataisema lakni ndio kawaida ya mwanamke malaya haachi kuandika vijembe. Lissu kamati hapohapo.
Gentleman,
zingatia mawaidha ya maana na mujarabu sana hapo juu, na si vinginevyo,

na kwakweli itakusaidia sana kuliko gubu 🐒
 
Wewe kinachokuuma ni kipi?
Nasikia Samia ameanza kulalamika kwamba mmemtelekeza wal hamumtajitaji tena mitandaoni
kitaalamu na kibobevu zaidi,
hairuhusiwi mtu kupata maumivu kwasababu ya maamuzi yake ya pupa na mabaya, japo majuto yapo.

ni muhimu zaidi kutumia mistakes katika maamuzi ya kisiasa na kuzafanya kua fursa ya kufanya vizuri zaidi wakati mwingine hapo hapo kwenye siasa,lakini pia kwenye maeneo mengine muhimu.

hakuna haja ya kuumia hata kidogo, sawa gentleman? :pedroP:
 
Back
Top Bottom