Kwa Tanganyika kuweni makini Matapeli wa kisiasa na matapeli wa madhabahu wameungana

love life live life

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2021
Posts
2,584
Reaction score
3,051
Watanganyika amkeni, hao wanasiasa na matapeli wa kidini kama shoo na wenzake wanagawana maokoto. Bado na ninyi mnawaamini na kuwapa sadaka na michango kujaza matumbo yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…