Hayo siyo maneno yangu, ni maneno ya mwanzilishi wa KATAA NDOA, the late Le Mutuz.
Baadhi ya mambo yanayokera kwenye kuanzia kwenye uchumba ni pamoja na maswali ya kijinga kama:-
*Umelala?
*Umekula?
*Unafanya nini?
*Uko wapi?
Kama haya yanajitokeza kwenye uchumba, vipi ndani ya ndoa? Ni walio nazo pungufu tu ndiyo wanaweza kuvumilia bughudha ya namna hii.
Baadhi ya mambo yanayokera kwenye kuanzia kwenye uchumba ni pamoja na maswali ya kijinga kama:-
*Umelala?
*Umekula?
*Unafanya nini?
*Uko wapi?
Kama haya yanajitokeza kwenye uchumba, vipi ndani ya ndoa? Ni walio nazo pungufu tu ndiyo wanaweza kuvumilia bughudha ya namna hii.