Kwa tuhuma alizonazo Ole Sabaya, anaweza akakimbia nchi, awekwe chini ya ulinzi

Kwa tuhuma alizonazo Ole Sabaya, anaweza akakimbia nchi, awekwe chini ya ulinzi

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Kuna tuhuma ambazo zinamkabili Sabaya, ni nyingi na za ukatili kubwa, uvujifu wa haki za watu Hai, mateso mauaji , utekaji etc etc uliokithiri.

Katika hali ya kawaida, kwa level ya tuhuma hizo, za mauaji ya wazi, utekaji etc inatoa uhalali wa kumweka kizuizini asitoroke ili haki itendeke.

Huyu atatoroka hata pengine kujiua ili kuepuka kunyongwa/kufungwa na adhabu nyinginezo.

Awekwe chini ya ulinzi ili haki itedeke
 
Kuna tuhuma ambazo zinamkabili Sabaya, ni nyingi na za ukatili kubwa, uvujifu wa haki wa watu Hai, mateso mauaji , utekaji etc etc uliokithiri. Katika hali ya kawaida, kwa level ya tuhuma hizo, za mauaji ya wazi, utekaji etc inatoa uhalali wa kumweka kizuizini asitoroke ili haki itendeke.
Huyu atatoroka hata pengine kujiua ili kuepuka kunyongwa/kufungwa na adhabu nyinginezo.

Awekwe chini ya ulinzi ili haki itedeke
Sabaya akienda jela lazima apewe mimba ya watoto pacha
 
Kwa tuhuma hizo anatakiwa awekwe kizuizini hadi uchunguzi utoke la sivyo ni hatari sana usakama wake
 
Kuna tuhuma ambazo zinamkabili Sabaya, ni nyingi na za ukatili kubwa, uvujifu wa haki za watu Hai, mateso mauaji , utekaji etc etc uliokithiri.

Katika hali ya kawaida, kwa level ya tuhuma hizo, za mauaji ya wazi, utekaji etc inatoa uhalali wa kumweka kizuizini asitoroke ili haki itendeke.

Huyu atatoroka hata pengine kujiua ili kuepuka kunyongwa/kufungwa na adhabu nyinginezo.

Awekwe chini ya ulinzi ili haki itedeke
Akimbie tu mbona kina Lemma na Lissu wanalelewa huko.
 
Kuna tuhuma ambazo zinamkabili Sabaya, ni nyingi na za ukatili kubwa, uvujifu wa haki za watu Hai, mateso mauaji , utekaji etc etc uliokithiri.

Katika hali ya kawaida, kwa level ya tuhuma hizo, za mauaji ya wazi, utekaji etc inatoa uhalali wa kumweka kizuizini asitoroke ili haki itendeke.

Huyu atatoroka hata pengine kujiua ili kuepuka kunyongwa/kufungwa na adhabu nyinginezo.

Awekwe chini ya ulinzi ili haki itedeke
Wazo mujarabu.
Niliwaza hivyo tangu jana.
Nategemea na IGP atoe maamuzi kuhusu OCD wa Hai maana yeye ndie alikuwa mratibu mkuu wa huyu jambazi
Nategemea leo kusikia OCD naye ameshimamishwa kwa uchunguzi.
Badala ya kuwa mlinzi alikuwa kada mtiifu kwa jambazi Sabaya.. Hadi kutoa silaha za serikali kumpa Sabaya azitumie na majambazi ambao sio watumishi wa umma.
Kwa serikali makini nilitegemea muda huu kuwe na upekuzi ghala la silaha kituo kikuu Boma ili kuona movement ya silaha.
Otherwise silaha zina kwenda kuangukia mikononi mwa majambazi.
 
Kuna tuhuma ambazo zinamkabili Sabaya, ni nyingi na za ukatili kubwa, uvujifu wa haki za watu Hai, mateso mauaji , utekaji etc etc uliokithiri.

Katika hali ya kawaida, kwa level ya tuhuma hizo, za mauaji ya wazi, utekaji etc inatoa uhalali wa kumweka kizuizini asitoroke ili haki itendeke.

Huyu atatoroka hata pengine kujiua ili kuepuka kunyongwa/kufungwa na adhabu nyinginezo.

Awekwe chini ya ulinzi ili haki itedeke
Hivi huyu mtumishi wa Sabaya bado yupo ?
 
Kuna tuhuma ambazo zinamkabili Sabaya, ni nyingi na za ukatili kubwa, uvujifu wa haki za watu Hai, mateso mauaji , utekaji etc etc uliokithiri.

Katika hali ya kawaida, kwa level ya tuhuma hizo, za mauaji ya wazi, utekaji etc inatoa uhalali wa kumweka kizuizini asitoroke ili haki itendeke.

Huyu atatoroka hata pengine kujiua ili kuepuka kunyongwa/kufungwa na adhabu nyinginezo.

Awekwe chini ya ulinzi ili haki itedeke
Mkuu nawewe ni mzushi tu unasema kiujumla jumla tu wakati uongo tu.
 
Back
Top Bottom