Kuna tuhuma ambazo zinamkabili Sabaya, ni nyingi na za ukatili kubwa, uvujifu wa haki za watu Hai, mateso mauaji , utekaji etc etc uliokithiri.
Katika hali ya kawaida, kwa level ya tuhuma hizo, za mauaji ya wazi, utekaji etc inatoa uhalali wa kumweka kizuizini asitoroke ili haki itendeke.
Huyu atatoroka hata pengine kujiua ili kuepuka kunyongwa/kufungwa na adhabu nyinginezo.
Awekwe chini ya ulinzi ili haki itedeke
Katika hali ya kawaida, kwa level ya tuhuma hizo, za mauaji ya wazi, utekaji etc inatoa uhalali wa kumweka kizuizini asitoroke ili haki itendeke.
Huyu atatoroka hata pengine kujiua ili kuepuka kunyongwa/kufungwa na adhabu nyinginezo.
Awekwe chini ya ulinzi ili haki itedeke