kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Utashangaa anashinda na anakuja lipwa mihela kibao kwa kodi zetu! Ndoutajua Bongo noma sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesikia kutoka wapi?Naskia tayari yupo kituo fulani cha polisi toka jana.
Jamani tuhuma ndiyo hizo kla mtu anazisema.. uzushi uko wapi?Mkuu nawewe ni mzushi tu unasema kiujumla jumla tu wakati uongo tu.
Ubongo/akili wako uko sawa..? Kweli..!Acha akili za kibibi harusi.Unajidai unaelewa kinachopikwa jikoni wakati mumeo anataka kukupeleka honeymoy!?
Mtu anakua mtuhumiwa "Suspect" mpaka awe convicted na court of law,Hivi huyu mbwa kwanini watu 'wasimmalize' hili jizi na uaji juu kwa juu.
Angalia kwenye kioo.Utakayemuona muulize kama ubongo/akili wako uko sawa..? Kweli..!Ubongo/akili wako uko sawa..? Kweli..!
Jambo kusemwa na wengi hakufanyi jambo hilo kua sahihi hasa katika zama hizi ambayo Mawasiliano yamekua rahisi na kasi sana,Jamani tuhuma ndiyo hizo kla mtu anazisema.. uzushi uko wapi?
Mnawalea vibaya hao nyang'au.Muda mwingine the real mob justice inatakiwa kufanya kazi.Mtu anakua mtuhumiwa suspect mpaka awecinvicted na court of law,mambo ya kisheria yana taratibu zake na sio kwa matakwa ya mtu.
Mkuu kapumzike.Angalia kwenye kioo.Utakayemuona muulize kama ubongo/akili wako uko sawa..? Kweli..!
Lazima iwe hivyoNaskia tayari yupo kituo fulani cha polisi toka jana.
Unataka kunieleza kwamba nimevimbiwa pilau na balimi tu?Aaaah maalim nakataa!Mkuu kapumzike.
You give incorrect answer.
InawezekanaUnataka kunieleza kwamba nimevimbiwa pilau na balimi tu?Aaaah maalim nakataa!
Huyo jamaa mwenye lafuzi ya nyumbani anatakiwa ahamishiwe huko Vijiji vya Simiyu ili wakamrogeHivi huyu mtumishi wa Sabaya bado yupo ?
View attachment 1784153
Lakini they give a starting point! Unadhani bila watu wengi kulalamka Samia angelipata wapi CLUE?Jambo kusemwa na wengi hakufanyi jambo hilo kua sahihi hasa katika zama hizi ambayo Mawasiliano yamekua rahisi na kasi sana,
Uchunguzi ufanyike na taratibu zifuatwe.
Imeisha hiyo.....Kuna tuhuma ambazo zinamkabili Sabaya, ni nyingi na za ukatili kubwa, uvujifu wa haki za watu Hai, mateso mauaji , utekaji etc etc uliokithiri.
Katika hali ya kawaida, kwa level ya tuhuma hizo, za mauaji ya wazi, utekaji etc inatoa uhalali wa kumweka kizuizini asitoroke ili haki itendeke.
Huyu atatoroka hata pengine kujiua ili kuepuka kunyongwa/kufungwa na adhabu nyinginezo.
Awekwe chini ya ulinzi ili haki itedeke
Waungwana hukubaliana kutokukubaliana kwa kukubaliana makubaliano ya kutokukubaliana.Mkuu,kwa heshima na taadhima naomba ujinyonge hadi ufariki.Unaweza ukapata heshima ya kuitwa Hayati.😂😂😂Inawezekana
Maana sio kwa majibu haya unatoa..!
Mwambie huyo mkuu.Halafu yanasemwa na wanaCCM wenzake.The boy,Ole Mungiki should have been crucified quiteLakini they give a starting point! Unadhani bila watu wengi kulalamka Samia angelipata wapi CLUE?
exactly, yanasemwa na CCM wenzake pia...Mwambie huyo mkuu.Halafu yanasemwa na wanaCCM wenzake.The boy,Ole Mungiki should have been crucified quity a longer!