Kuwa kosa hakuondoi ukweli ukristo umetoka kwenye dini ya uyahudi😅😅We hata bibli hujui kule israel kuhubiri ukristo ni kosa kuwa makini .
Wamejaa wajinga ndiyo waliwao.Kwani kwa mwamposa wamejaa kina nani wakitafuta miujiza?? Acha kubisha tu km JUHA hata hufanyi uchunguzi we unaropokwa tu humu madai yako upate sifa
Na maisha unachagua uishije kikubwa usivunje sheria za nchiMwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa
Wadau kwema? Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana) Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi...www.jamiiforums.com
......
Ujinga mzigo.....
Ona ulivyokuwa mjinga na zile ni shuhuda za uongo 😅😅Mwamposa ni mganga tu.Kwani kwa mwamposa wamejaa kina nani wakitafuta miujiza?? Acha kubisha tu km JUHA hata hufanyi uchunguzi we unaropokwa tu humu madai yako upate sifa
Lile sio taifa lenu acheni shobo kwenu ni vatican ndio mnaenda kuhiji😅Kuwa kosa hakuondoi ukweli ukristo umetoka kwenye dini ya uyahudi
Wewe ni mpuuzi na mtu usiyejua kabisa kuhusu MunguNi meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Sawa mimi mwongo thibitisha ukweli wako
Ndo ndugu zako sasa hao ambao hata WAKRISTO wenyewe wanawashangaa wanavyojazana.Wamejaa wajinga ndiyo waliwao.
Juha wewe unaropoka hapa bila ushahidi. Na hata ukipata utakazana kubisha tu ili uonekane wa maana. Mjinga ni ww na hao ndugu zako ktk imani wanaomtajirisha mwampopoOna ulivyokuwa mjinga na zile ni shuhuda za uongo [emoji28][emoji28]Mwamposa ni mganga tu.
Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa
Wadau kwema? Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana) Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi...www.jamiiforums.com
Uthibitisho huu apa.....mwalimu wako aliokufundisha uongo,karopoka uongo....
Acha ulongo weyeee....Acha uchawa
Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa
Wadau kwema? Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana) Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi...www.jamiiforums.com
Uthibitisho huu apa.....mwalimu wako aliokufundisha uongo,karopoka uongo....
Acha ulongo weyeee....Acha uchawa
Yaaan wewe ndio mpuuz kweli kweli ficha ujinga wako basiNi meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Na mtumishi huyo ni Mwl Mwakasege.
A true man of God.
Mungu haangalii Dini zetu Bali Imani.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen
ndio mwenyewe
Rejea post yako no 9.....shida wewe ni muongo afu huna kumbukumbu....Mada yangu sijataja jina la hospitali wala mtumishi wewe unamtaja mtu huoni umechanganyikiwa
Rejea post yako no 9Kwenye mada huyo mwalimu aliyetajwa ni nani?