Kwa tuliosoma kayumba: Leo tukumbushane vitu tulivyokuwa tunatumwa na walimu wetu enzi tukiwa shule za msingi

Mkuu, bilashaka ulizoma shule za pale Mwandiga... teh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulikuwa mwanafunzi mwenye nidhamu, muoga ingawa ulikuwa una pendwa sana na walimu kwasababu ulikuwa una akili sana za darasani

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua mtundu sana afu sina viatu 😂😂
Mwalimu mkuu ndio alinisimamia kwenye sherehe ya kumaliza LY. Alikua rafiki angu sana hadi home alikuja kwa faza..Reason behind.. nilikua nafumua sana masomo yake ambayo ni Eng na Geografía.
Lazima niwe first kwenye mitihani yake
 
Ulikua na hela eeh. Ilikua unamuomba mtu mavi moja ya ng'ombe [emoji23][emoji23][emoji23] hafu unaenda kwa mwingine unamuomba lingine moja..ukiwa nayo ma4 basi unajua umeepuka kichapo
.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…