KWA TULIOWAHI KUTAITIWA NA VIBAKA NA MAJAMBAZI TUKUTANE HAPA.

Nikaondoka dukani, lakini nilipowaangalia wale jamaa nikawaona bado wamesimama pale njiani, nikasema sipiti tena hapo ilikuwa njia panda nikabadili njia nikaona bora nizunguke tu. Taratibu nikiwa natembea kwa tahadhali kabla sijafika hata mbali nikageuka nyuma nikamuona mtu ananifuata, nikamuangalia kama sek. 5 hivi nikaangalia upande wa juu nikaona jamaa wawili wanakimbia kuniwahi kama wanataka kuni over take, nikajua enhe kazi imeanza ila leo hawanipati... Mzee nikala kona kwenye kichaka kikatoka nduki mpaka yalipo makazi ya watu nikarudi mpaka barabara kuu nikasema hapa nipo salama, nikamshukuru sana Mungu.
 
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dawa yao ni kutembea na bastola tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani hao wajinga waingie ktk mikono ya polisi/mjeshi alie valia kiraia.

imesomeka!!
Kuna mjeshi alikabwa mpaka akavunjwa bega siku ya mechi ya simba uwanja wa taifa wakaja wajeda watu walikula kichapo sana
 
Ukawalipua ki- black American kama wanugu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hunters ya ubungo au?mwaka gani huo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pablo Blanco hao jamaa wakikuwahi huna tena ujanja hata kama unayo silaha ya kujihami. Wana kawaida moja, wakitega sehemu huwa wanakuwa group si chini ya watu hata wa 4 au zaidi; jaribu kufikiri watu wa 4 wote wakikuweka kati lazima ucheze ndomboro ya soro.
 

Tuambie na sisi hzo mbinu.
 

Unatumia silaha gani mkuu ili tujue
 
Baada ya hapo?
 
Pole kiongozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Uliwafanyaje mkuu Freyzem:

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…